CCM hawakurupuki kwenye mambo yao na mtu akizingua anafinywa ndani huwezi kuta wanaparuana nje. Hapa ndio CHADEMA mnafeli

CCM hawakurupuki kwenye mambo yao na mtu akizingua anafinywa ndani huwezi kuta wanaparuana nje. Hapa ndio CHADEMA mnafeli

Tufanye uchaguzi uwe huru sio siku ya uchaguzi uvccm wavamie vituo kutoa mawakala wa upinzani!
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Tatizo mbowe alipata zero na hana elimu. Unategemea nini kikundi cha uanaharakati. Ni ajabu eti kila kiongozi hata wa ngazi za chini ana mkia. Yaani hawana kabisa utaratibu wa uongozi ni kama ilivyo kwa wana harakati
 
Issue ya rushwa za Abdul kwa Chadema sio propaganda .

Ukweli unamweka Tundu Lissu huru.
N8neshangaa sana hoja serious kama hii, tena ambayo haijajibiwa, ineitwa propaganda.

Tundu Lissu aliitwa na chama kuhojiwa, akahojiwa, tena kwa kurekodiwa mahojiano, kitu ambacho hakijawahi kutokea.

Ali protest kwa nini mnanirekodi? Mwisho akakubali.

Baada ya kuhojiwa, akaomba zike taoes alivyorekodiwa, CHADEMA wamekataa kumpa mpaka leo, na zike rekodi wamezificha hawataki zisikike.

Kwa sababu mambo anayosema Lissu hadharani hata robo ya mambo halisi hayafiki.
 
Tatizo mbowe alipata zero na hana elimu. Unategemea nini kikundi cha uanaharakati. Ni ajabu eti kila kiongozi hata wa ngazi za chini ana mkia. Yaani hawana kabisa utaratibu wa uongozi ni kama ilivyo kwa wana harakati
Mkuu,

Nikimsikiliza Mbowe na Lissu naona kabisa tofauti ya kielimu.

Kwa mtu anayejua mantiki ukimsikiliza Mbowe unaona kabisa huyu mjanjamjanja tu, hana logical consistency wala depth.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Daah vilaza mna taabu sana, ushaambiwa mambo yanayogusa umma hayaongelewi. Chumbani. Ndo maana CCM NI MAJIZI NA YANALINDANA
 
Mkuu,

Nikimsikiliza Mbowe na Lissu naona kabisa tofauti ya kielimu.

Kwa mtu anayejua mantiki ukimsikiliza Mbowe unaona kabisa huyu mjanjamjanja tu, hana logical consistency wala depth.
Lissu hana uelewa mpana wa uchumi kuliko Mbowe, anajua sheria na historia zaidi.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Mkuu, utatoka CCM na kwenda kurusha vijembe dola ikuache? Knachoisadia CCM ni kwa sababu ni chama-dola na kimeshika madaraka. Nadhani unakumbuka spika Ndugai alivyotolewa kibabe baada ya kusema ukweli. Utoke CCM halafu umseme Samia kama Msigwa anavyomsema Mbowe halafu wakuache mtaani? Labda ile CCM ya zamani ya kina Mwinyi ndiyo ilikuwa na uvumulivu kidogo. Hii ya sasa hata kukuua ni mara moja.
 
Mkuu,

Nikimsikiliza Mbowe na Lissu naona kabisa tofauti ya kielimu.

Kwa mtu anayejua mantiki ukimsikiliza Mbowe unaona kabisa huyu mjanjamjanja tu, hana logical consistency wala depth.
Lisu anaweza kujenga hoja na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo. Tatizo lake kubwa tu ni hana flexibility, yaani akitokea kadanganywa basi anashikilia hicho hicho yaani akili ya kusikiliz wengine hana sana. Ndiyo maana hata akigombea tena urais hawezi shinda. Hiyo NGO wakitaka ipate unafuu waweke wenyeviti vijana kama Heche ila angalizo siasa za kuitukana CCM hazina afya zaidi ya kujenga chuki.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Wanatumia dola. Utatishwa kufikisiwa, kuondolewa upendeleo na vueo.

Sasa upinzani unataka watishane kwa ajili ya nini? Kuwa kiongozi tu wa chama ni mzigo.
 
Ccm
Chukua
Chako
Mapema

Sisiemu Asali inamfikia kila MTU hicho ndo kinawabeba nimewahi kufanya Kazi CCM katika level za chini Sana

So hela ya ruzuku na ya ..... Zilikuwa zinatufikia
CCM inasaidiwa na dola. Ikishindwa uchaguzi inafutika kwenye uso wa dunia.
 
Lissu hana uelewa mpana wa uchumi kuliko Mbowe, anajua sheria na historia zaidi.
Hakuna uchumi usio na legal framework.

Mbowe kafanya nini kwenye uchumi? Ana distinction gani?
 
Lisu anaweza kujenga hoja na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo. Tatizo lake kubwa tu ni hana flexibility, yaani akitokea kadanganywa basi anashikilia hicho hicho yaani akili ya kusikiliz wengine hana sana. Ndiyo maana hata akigombea tena urais hawezi shinda. Hiyo NGO wakitaka ipate unafuu waweke wenyeviti vijana kama Heche ila angalizo siasa za kuitukana CCM hazina afya zaidi ya kujenga chuki.
Kuitukana CCM ni vipi na kuiambia CCM ukweli ni vipi na unatofautishaje?

Lissu kaitukana vipi CCM? Weka mfano hapa.
 
Ivii izi Uzii za Chadema mtaaziandikaa adi lini ngie machawaa??maaana mnazido kufanya Chadema inazidi kuwa popular.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
So,
kwahiyo CCM wanafinyia kwa ndani right?

halafu chadema wana bwekabweka tu bila uratibu right?🐒
 
Haiwezekani rushwa ndani ya CHADEMA ikawa imeanza miaka 3 tu iliyopita?
Pesa za Sabodo zilikuwa rushwa kivipi??
Mkuu heshima kwako,

unadhani Marehem Sabodo alikuwa anaendesha agenda gani kufund CDM na CCM at the same time?

Hizo fedha zilikuwa zimetoka kwenye mapato gani yaliyolipiwa kodi?

Nani anajua?

Tunatengeneza watakatifu kwenye siasa only for dissapointment in the near future...
 
Chama cha kidikteta ndio sifa yake kuu hiyo - unayoifurahia. Na sio suala la chama, bali ni vigenge modeli ya kimafia ndivyo yanavyodhibitiana ndani ya CCM. Ni totaliarianism tu. Ukipishana na walio juu yako unakiona cha mtema kuni. Halafu hawafanyi kimya. Tunasikia. Kule Russia ukipishana na Putin hata kimya kimya lazima upate ajali ya gari au ndege, kifaru au corona sugu mixx na polonium. Hapo jirani kwa PK utapotelea Dubai au mitaa ya Cape Town ukiwa kwenye bata.

CHADEMA wanafuata modeli ya Republican na Democrats au Conservatives na Labour. Uliona mzee Biden alivyotemeshwa mzigo kule US. Au mtiririko wa kina Cameron, May, Boris, Truss ulivyokuwa UK na kelele zake. Hayo ndiyo mambo muafaka kwa CHADEMA. Acha dozi za polonium na corona zibakie CCM.
Pamoja na kauli za "SUMU HAIONJWI"
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Ni kweli ccm, hawapendi ushetani wao uwekwe wazi wewe Lilia chinichini tu, hukumbuki yaliyompata Mzee Horace Kolimba (aliwahi kuwa katibu mkuu ccm)alivyoibuka na hoja ya ccm imepoteza dira, alivyoitwa kwenye kamati hakurudi tena, alipotea yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom