Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mbowe alipata zero na hana elimu. Unategemea nini kikundi cha uanaharakati. Ni ajabu eti kila kiongozi hata wa ngazi za chini ana mkia. Yaani hawana kabisa utaratibu wa uongozi ni kama ilivyo kwa wana harakatiWakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu
Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.
CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.
Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).
Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.
Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.
Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.
CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.
Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.
Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
N8neshangaa sana hoja serious kama hii, tena ambayo haijajibiwa, ineitwa propaganda.Issue ya rushwa za Abdul kwa Chadema sio propaganda .
Ukweli unamweka Tundu Lissu huru.
Mkuu,Tatizo mbowe alipata zero na hana elimu. Unategemea nini kikundi cha uanaharakati. Ni ajabu eti kila kiongozi hata wa ngazi za chini ana mkia. Yaani hawana kabisa utaratibu wa uongozi ni kama ilivyo kwa wana harakati
Daah vilaza mna taabu sana, ushaambiwa mambo yanayogusa umma hayaongelewi. Chumbani. Ndo maana CCM NI MAJIZI NA YANALINDANAWakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu
Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.
CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.
Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).
Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.
Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.
Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.
CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.
Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.
Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Lissu hana uelewa mpana wa uchumi kuliko Mbowe, anajua sheria na historia zaidi.Mkuu,
Nikimsikiliza Mbowe na Lissu naona kabisa tofauti ya kielimu.
Kwa mtu anayejua mantiki ukimsikiliza Mbowe unaona kabisa huyu mjanjamjanja tu, hana logical consistency wala depth.
Mkuu, utatoka CCM na kwenda kurusha vijembe dola ikuache? Knachoisadia CCM ni kwa sababu ni chama-dola na kimeshika madaraka. Nadhani unakumbuka spika Ndugai alivyotolewa kibabe baada ya kusema ukweli. Utoke CCM halafu umseme Samia kama Msigwa anavyomsema Mbowe halafu wakuache mtaani? Labda ile CCM ya zamani ya kina Mwinyi ndiyo ilikuwa na uvumulivu kidogo. Hii ya sasa hata kukuua ni mara moja.Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu
Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.
CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.
Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).
Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.
Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.
Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.
CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.
Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.
Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Lisu anaweza kujenga hoja na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo. Tatizo lake kubwa tu ni hana flexibility, yaani akitokea kadanganywa basi anashikilia hicho hicho yaani akili ya kusikiliz wengine hana sana. Ndiyo maana hata akigombea tena urais hawezi shinda. Hiyo NGO wakitaka ipate unafuu waweke wenyeviti vijana kama Heche ila angalizo siasa za kuitukana CCM hazina afya zaidi ya kujenga chuki.Mkuu,
Nikimsikiliza Mbowe na Lissu naona kabisa tofauti ya kielimu.
Kwa mtu anayejua mantiki ukimsikiliza Mbowe unaona kabisa huyu mjanjamjanja tu, hana logical consistency wala depth.
CCM ukiongelea hadharani unauawa. Ndugai alitoa maoni ya kweli kabisa unakumbuka alivyosulubiwa?Daah vilaza mna taabu sana, ushaambiwa mambo yanayogusa umma hayaongelewi. Chumbani. Ndo maana CCM NI MAJIZI NA YANALINDANA
Wanatumia dola. Utatishwa kufikisiwa, kuondolewa upendeleo na vueo.Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu
Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.
CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.
Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).
Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.
Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.
Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.
CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.
Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.
Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
CCM inasaidiwa na dola. Ikishindwa uchaguzi inafutika kwenye uso wa dunia.Ccm
Chukua
Chako
Mapema
Sisiemu Asali inamfikia kila MTU hicho ndo kinawabeba nimewahi kufanya Kazi CCM katika level za chini Sana
So hela ya ruzuku na ya ..... Zilikuwa zinatufikia
Hakuna uchumi usio na legal framework.Lissu hana uelewa mpana wa uchumi kuliko Mbowe, anajua sheria na historia zaidi.
Kuitukana CCM ni vipi na kuiambia CCM ukweli ni vipi na unatofautishaje?Lisu anaweza kujenga hoja na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo. Tatizo lake kubwa tu ni hana flexibility, yaani akitokea kadanganywa basi anashikilia hicho hicho yaani akili ya kusikiliz wengine hana sana. Ndiyo maana hata akigombea tena urais hawezi shinda. Hiyo NGO wakitaka ipate unafuu waweke wenyeviti vijana kama Heche ila angalizo siasa za kuitukana CCM hazina afya zaidi ya kujenga chuki.
So,Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu
Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.
CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.
Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).
Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.
Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.
Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.
CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.
Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.
Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Mkuu heshima kwako,Haiwezekani rushwa ndani ya CHADEMA ikawa imeanza miaka 3 tu iliyopita?
Pesa za Sabodo zilikuwa rushwa kivipi??
Pamoja na kauli za "SUMU HAIONJWI"Chama cha kidikteta ndio sifa yake kuu hiyo - unayoifurahia. Na sio suala la chama, bali ni vigenge modeli ya kimafia ndivyo yanavyodhibitiana ndani ya CCM. Ni totaliarianism tu. Ukipishana na walio juu yako unakiona cha mtema kuni. Halafu hawafanyi kimya. Tunasikia. Kule Russia ukipishana na Putin hata kimya kimya lazima upate ajali ya gari au ndege, kifaru au corona sugu mixx na polonium. Hapo jirani kwa PK utapotelea Dubai au mitaa ya Cape Town ukiwa kwenye bata.
CHADEMA wanafuata modeli ya Republican na Democrats au Conservatives na Labour. Uliona mzee Biden alivyotemeshwa mzigo kule US. Au mtiririko wa kina Cameron, May, Boris, Truss ulivyokuwa UK na kelele zake. Hayo ndiyo mambo muafaka kwa CHADEMA. Acha dozi za polonium na corona zibakie CCM.
Ni kweli ccm, hawapendi ushetani wao uwekwe wazi wewe Lilia chinichini tu, hukumbuki yaliyompata Mzee Horace Kolimba (aliwahi kuwa katibu mkuu ccm)alivyoibuka na hoja ya ccm imepoteza dira, alivyoitwa kwenye kamati hakurudi tena, alipotea yeye mwenyewe.Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu
Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.
CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.
Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).
Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.
Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.
Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.
CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.
Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.
Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.