peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ukimsikiliza makonda kwenye mikutano yake ,inaonyesha ccm imeshindwa kuisimamia serikali ngazi ya wilaya na mikoa.
Hao wenyeviti wa ccm wilaya na mikoa,kupitia kamati za siasa wanashindwa kukagua miradi na kutoa taarifa mapema hadi milioni 600 zinaibiwa?
Hizo kamati za siasa za wilaya zinafanya biashara Gani kama sio kuisimamia serikali kwa kukagua miradi kabla makonda hajafika eneo husika!
Hao wenyeviti wa ccm wilaya na mikoa,kupitia kamati za siasa wanashindwa kukagua miradi na kutoa taarifa mapema hadi milioni 600 zinaibiwa?
Hizo kamati za siasa za wilaya zinafanya biashara Gani kama sio kuisimamia serikali kwa kukagua miradi kabla makonda hajafika eneo husika!