CCM ijitathmini irekebishe madhaifu yake, ijenge umoja iendelee kuongoza Taifa. Hatuna wapinzani nchi hii

CCM ijitathmini irekebishe madhaifu yake, ijenge umoja iendelee kuongoza Taifa. Hatuna wapinzani nchi hii

Kwanza kitendo cha kuwa na vyama pinzani vingi tu ni ishara kwamba hata wao kwa wao ni wapinzani baina yao,hivyo hakuna cha maana watakacgofanya zaidi ya kelele

Wao wanasema vyma vingine vya upinzan vinaundwa na CCM Ili kudhoofisha wao kama chama kikuu Cha upinzan,

Anasahau kabisa kuwa alishawahi kuungana nao wakatengeneza ukawa,
 
Niwashauri tu vijana. Hii nchi haina wapinzani, ina wasaka tonge tu. Wasitumike kisiasa na hawa watu kwa maslahi yao na familia zao.
Kama kilivyo chama Cha mapinduzi kimejaza wasaka tonge, walafi na wanafiki tu
 
KATIBA mpya hata Mimi naihitaji,

Ila kwa kuongozwa na nani SASA??

..suala lenyewe ndio kwanza limeanza hivyo mbele ya safari wenye uwezo watajitokeza tu, na haitakuwa shida kuwatambua.

..kinachonisikitisha mimi ni ccm kuonekana kulipinga suala hili right from the gate, na hoja wanazotoa hazina uzito wowote.
 
Nimekusoma dogo una uccm asilimia 99 Ila udini unakusumbua.
Friends and Enemies,

From Monopartisim to Multipartism 1992 to 1995,nchi yetu imepitia chaguz kadhaa ambazo tunaweza sema nchi bado ilikua changa kwenye Siasa za vyama vingi,na wakati mwingine tunaweza sema kwamba tumepitia siasa ya aina yetu na ya kipekee kama Taifa ambayo hatuwez jifananisha na nchi yoyote ya kiafrika kwa ujumla,

Mfano mzur wa nchi ya kidemokrasia kwa Afrika ni Ghana,wengine tuna safar ndefu kidogo ila ni muhim kuzid kujenga vyama imara vya upinzan ambavyo vitakuwa tayar kuongoza nchi bila ya kuwa na chembe chembe za ubaraka kutoka nchi za magharibi,

Tuwe wakweli,kuongoza Taifa siyo jambo la kufanya Rehearsal ndug zangu,wapinzan tulionao bado wanatia shaka Sana kuwaamin na kuwapa Dola waongoze,labda kama watashirikishwa kwenye serikali ya mseto lakin kiukweli hawana misimamo yenye kueleweka kias Cha kufikia sisi kuwaamin na kuwapa ridhaa ya kuongoza Dola,

Wakati mwingine tuna piga Kura kuwapa upinzan siyo kwamba tuna amin Wana uwezo huo,Bali ni kukosa matumain na baadhi ya mienendo ya CCM,sasa CCM ikijirekebisha na kuwatumikia watanzania kwa haki na usawa,upinzan huu tulionao hautaweza fananishwa hata kidogo na uongoz wa ccm,

Wapinzani tunawahitaji kwa mustakabali wa Taifa letu lakini wana Kazi ya kufanya kwa miongo kadhaa kupata ukomavu huo wa kuongoza Dola.
 
Viongoz wenyewe wa upinzan hata ukiwangalia hawaish hiyo demokrasia wanayoihubir,mwangale profesa lipumba,kila siku yeye tuh,mwangale mbowe,kila siku yeye tuh,mwangalie mbatia na kadhalika,why hawatengenez generations za uhakika na kukasim madaraka kwao??
Ningekuwa sijaolewa ningekushawishi tuoane halafu turudi CCM. Hakuna upinzani nchi hii kuna wachumia tumbo tu.
 
Wewe ndo huwa unaamua nani akamate dola au laah? Kama nchi iliweza kusimamiwa na wakolomije, nani atashindwa?! Imagine mwakilishi wa Rais wa nchi ktk wilaya ya Hai alikuwa Ole Sabaya. Aiseee?!
Nikipata nafasi ya kutoa maoni yangu kwenye mchakato wa katiba mpya nitapendekeza kila chama cha siasa kiwe na jeshi lako ili kuondoa utata
 
Friends and Enemies,

From Monopartisim to Multipartism 1992 to 1995,nchi yetu imepitia chaguz kadhaa ambazo tunaweza sema nchi bado ilikua changa kwenye Siasa za vyama vingi,na wakati mwingine tunaweza sema kwamba tumepitia siasa ya aina yetu na ya kipekee kama Taifa ambayo hatuwez jifananisha na nchi yoyote ya kiafrika kwa ujumla,

Mfano mzur wa nchi ya kidemokrasia kwa Afrika ni Ghana,wengine tuna safar ndefu kidogo ila ni muhim kuzid kujenga vyama imara vya upinzan ambavyo vitakuwa tayar kuongoza nchi bila ya kuwa na chembe chembe za ubaraka kutoka nchi za magharibi,

Tuwe wakweli,kuongoza Taifa siyo jambo la kufanya Rehearsal ndug zangu,wapinzan tulionao bado wanatia shaka Sana kuwaamin na kuwapa Dola waongoze,labda kama watashirikishwa kwenye serikali ya mseto lakin kiukweli hawana misimamo yenye kueleweka kias Cha kufikia sisi kuwaamin na kuwapa ridhaa ya kuongoza Dola,

Wakati mwingine tuna piga Kura kuwapa upinzan siyo kwamba tuna amin Wana uwezo huo,Bali ni kukosa matumain na baadhi ya mienendo ya CCM,sasa CCM ikijirekebisha na kuwatumikia watanzania kwa haki na usawa,upinzan huu tulionao hautaweza fananishwa hata kidogo na uongoz wa ccm,

Wapinzani tunawahitaji kwa mustakabali wa Taifa letu lakini wana Kazi ya kufanya kwa miongo kadhaa kupata ukomavu huo wa kuongoza Dola.
Kujikomba kwa ccm ndo shida kubwa nchi hii, hivi mazingira ya siasa nisafi kiasi cha kuwezesha vyama vikue na kujiimarisha kuchukua dola?

Kila siku dola inavikandamiza vyama visipate nguvu na ushawishi ili vichukue dola
Dola inaogopesha watu watu wenye nguvu na mvuto ujiunga na vyama I'll kuvipa nguvu

Kwa kuwa Raisi ni muislam umejitokeza kuviponda vyama, ili kuisifia serekali dhaifu kuliko hivyo vyama
 
Kujikomba kwa ccm ndo shida kubwa nchi hii, hivi mazingira ya siasa nisafi kiasi cha kuwezesha vyama vikue na kujiimarisha kuchukua dola?

Kila siku dola inavikandamiza vyama visipate nguvu na ushawishi ili vichukue dola
Dola inaogopesha watu watu wenye nguvu na mvuto ujiunga na vyama I'll kuvipa nguvu

Kwa kuwa Raisi ni muislam umejitokeza kuviponda vyama, ili kuisifia serekali dhaifu kuliko hivyo vya

Kujikomba kwa ccm ndo shida kubwa nchi hii, hivi mazingira ya siasa nisafi kiasi cha kuwezesha vyama vikue na kujiimarisha kuchukua dola?

Kila siku dola inavikandamiza vyama visipate nguvu na ushawishi ili vichukue dola
Dola inaogopesha watu watu wenye nguvu na mvuto ujiunga na vyama I'll kuvipa nguvu

Kwa kuwa Raisi ni muislam umejitokeza kuviponda vyama, ili kuisifia serekali dhaifu kuliko hivyo vyama
Mbona wakati Rais mkristo mliufyata? Mlikuwa kila siku mnaswekwa magerezani na hamkutishia kuandamana. Leo mmefutiwa kesi, mmepewa uhuru wa kufanya siasa ndio mnatishia kuingia barabarani...hatudanganyiki
 
Viongoz wenyewe wa upinzan hata ukiwangalia hawaish hiyo demokrasia wanayoihubir,mwangale profesa lipumba,kila siku yeye tuh,mwangale mbowe,kila siku yeye tuh,mwangalie mbatia na kadhalika,why hawatengenez generations za uhakika na kukasim madaraka kwao??
Succession Plan yao ni kina Mdude js imagine!!
 
Hii nchi upinzani heri uwe chama kimoja tu

na Zitto ndo aongoze
Ma'dish yanacheza sana huko kwingine
 
Wewe unataka vyama vya upinzani viweje ndo ujue ni vyama vya upinzani.Ata ccm wakati kina nyerere wanaanza kuongoza sidhani kama walishawai kuongoza nchi popote.Mapungufu unayoyaona kwenye vyama vya upinzani ni matatizo hayo hayo yaliyoko ccm ila kwa ccm huwezi kuyaona kiraisi kwasababu wao tayari wako madarakani kwahiyo mapungufu yao mengi yanafichwa na shughuli za serikali. ila tatizo letu la msingi kama wananchi wa nchi hii ambao ndio wanachama wa hivi vyama yako kote kote.Siku ccm ikiwa nje ya madaraka usitegemee watakua na jambo jipya.kama sasa hivi wanaongoza nchi lakini madudu ndo hayo jiulize itakuaje bila madaraka.kwahiyo usifananishe ukomavu wa siasa za ghana wakati unaona kabisa waghana wana uelewa wa fikra mail nyingi kuliko sisi.Ukomavu wa vyama vya upinzani unapimwa na mambo mengi ikiwepo aina ya siasa na ukomavu wake ndani ya nchi.Mahitaji ya wananchi pamoja na hali yakiusalama.Nchi ikipooza sana kama hii tegemea pia siasa zake kupooza.sasa kwa hali hiyo usitegemee kuona vyama vya upinzani vikiwa na aina tofauti ya siasa.Ni wazi hiyo ccm unayoipigia chapuo ishakua nzee na haiwezi kua na jipya sana ata kama watarekebisha mapungufu unayoyajua.Ubora wa vyama vya siasa unategemea sana na aina ya jamii iliyopo.
 
Back
Top Bottom