antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Yupo Dodoma na watendaji, wakurugenzi anapanga goli la mkono a.k.a. ushindi wa mezaniAlikuwa akibebwa na mzee wa lupaso Safari mambo magumu, ngoja tuone atakavochomoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo Dodoma na watendaji, wakurugenzi anapanga goli la mkono a.k.a. ushindi wa mezaniAlikuwa akibebwa na mzee wa lupaso Safari mambo magumu, ngoja tuone atakavochomoka
Dictator wa JF mwenye mawazo mgando hujambo ?. Kwa mazoea ya kukataa kila kitu hata ukipewa hela , kwa kuwa ni kawaida yako basi utazikataa.
Nyie ndiyo huliwa kirahisi kwa vipande vya fedha.Dictator wa JF mwenye mawazo mgando hujambo ?. Kwa mazoea ya kukataa kila kitu hata ukipewa hela , kwa kuwa ni kawaida yako basi utazikataa.
Diamond, Ali Kiba, chinga boy and coVipi wewe hujui?
Acha wapotee chama hiki ni laana kwa watanzaniaNi vema lakini chama kilichozoea kubebwa na dola kikitoka madarakani mara nyingi huwa vinaanguka na kipotea kabisa
Hujawahi kumpenda Lissu hata siku moja maana usingemzushia uwongo wa kitoto namna hiyo. Lissu hajawahi kusema hivyo na hatawahi kusema hivyo. Uwongo wa bei rahisi kama huo hakuna mtanzania anayeweza kuutunga isipokuwa mmoja tu nae ni Meko maana ndo mwenye uwezo wa level hiyo ya kufikirimimi hapo zamani nilikua namkubali lisu.ila kwa sasa haelewel elewek.Anasema anatoa kodi.hivi kwa akilonya kawaida nchi gani hailipi tax payer.marekan lwenyewe ni tax mpaka lwekena lwake.
vyama tawala vemeji reform na kuweka sera na mikakati usifikiri wewe peke yako ndio una uwezo wa kufikiria
Dogo nimevuka mbali mno kwenye suala la pesa, tuu huwa hazitoshi.Nyie ndiyo huliwa kirahisi kwa vipande vya fedha.
Watanzania wapi hao? Watanzania timamu wote kwa pamoja tunasema ushindi kwa LissuHakuna haja ya kuiba kura! Watz wanampenda Rais Magufuli kuliko unavyofikiria.
2100 ? Kwa kipi cha ziada watakachokuwa nacho ?
Je unajua mpaka polis kwa sasa hawamtaki Jiwe?Nani alisema hatarudi? Sisi tulijua mapema tu lini atarudi na kwa sababu gani na nia yake inajulikana lakini mpaka sasa ameshapigwa bao 3 kwa 0. Subiri uone baada ya uchaguzi ndiyo utajua TZ kwa intel ni mwisho wa maneno....!!
Wewe ndiyo huelewi na hueleweki.mimi hapo zamani nilikua namkubali lisu.ila kwa sasa haelewel elewek.Anasema anatoa kodi.hivi kwa akilonya kawaida nchi gani hailipi tax payer.marekan lwenyewe ni tax mpaka lwekena lwake.
vyama tawala vemeji reform na kuweka sera na mikakati usifikiri wewe peke yako ndio una uwezo wa kufikiria
Twende mbele turudi nyuma JIWE kila kitu chake kina utata, kuanzia elimu yake mpaka uraia, mark my words baada ya September Mh Lissu kuwa Rais kila kitu kitajulikana. Ndege wafananao huruka pamoja, refere Bashite na JiweKwao wapi? Huyo ni ngosha na sisi akina ngosha huwa hatutishwi na mtu kwa taarifa yako!
Acha hizo, lazima na wao wakae miaka 60+itaichukua miaka 30 kurudi madarakani
Subirini tu mtakiona kiama chenu. Na uhalisia umeanza jionyesha wenyewenshakwambia tegemea ccm kuwepo madarakani mpaka 2100, haina maswali hio
Wapi alisema anatoa kodi halafu mishahara atalipaje. Nyie hata mtu aongeeje lazima tu mtaleta yenu.mimi hapo zamani nilikua namkubali lisu.ila kwa sasa haelewel elewek.Anasema anatoa kodi.hivi kwa akilonya kawaida nchi gani hailipi tax payer.marekan lwenyewe ni tax mpaka lwekena lwake.
vyama tawala vemeji reform na kuweka sera na mikakati usifikiri wewe peke yako ndio una uwezo wa kufikiria
Nilisoma upuuzi huu kama sikosei darasa la nne mwanzoni mwa 70s hadithi ya kibanga kampiga mkoloni, nikamuona ni shujaa mkubwa. Leo hii wapuuzi mnaleta hadithi za mazungumzo baada ya habari hivi nyinyi ni:Wakati huo naomba nikujibu kuwa mtafute na vitanda mkalale mana ccm hawezi shindwa hasa na chama ambacho kinataka kuweka rehani rasilimali za Taifa lake View attachment 1582062
Subirini tu mtakiona kiama chenu. Na uhalisia umeanza jionyesha wenyewe
Sasa mapovu ya nini? Tuamini upumbavu kama wewe?Acheni upuuzi..we ni nani tusimamie maneno yako ya kijinga,wanachi hawa wanaona jinsi JPM alichofanya hapa nchini,wananchi hawa wanajua jinsi JPM alipokua ktk nafasi ya uwaziri alifany nini kwa miaka 20 hapa nchini, mtatudanganya nini tusichokijua? Kuna waziri aliwahi kufanya kwa viwango vya kumshinda JPM?
Acheni upuuzi wenu
Watanzania wapi hao? Watanzania timamu wote kwa pamoja tunasema ushindi kwa Lissu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sasa mapovu ya nini? Tuamini upumbavu kama wewe?
Miaka 59 ya uhuru akina Magufuli na chama chao wamefanya nini kututoa kwenye umasikini?