Uchaguzi 2020 CCM ikianguka, kitachofuata ni Magufuli na timu yake kutakiwa kujiuzulu nafasi zao ndani ya CCM

Uchaguzi 2020 CCM ikianguka, kitachofuata ni Magufuli na timu yake kutakiwa kujiuzulu nafasi zao ndani ya CCM

Wewe sio masikini ila ni mvivu tuu. Na hata baada ya miaka 10000 bado watu kama nyie mtakuwepo tuu.
Naweza kuwa mvivu lakini wewe mpumbavu, Korea kusini kwenye 60s walikuwa masikini leo matajiri, je hazikuwa approach sahihi ya viongozi wao? Au walikuwa masikini sababu ya uvuvi? Pathetic fool
 
Twende mbele turudi nyuma JIWE kila kitu chake kina utata, kuanzia elimu yake mpaka uraia, mark my words baada ya September Mh Lissu kuwa Rais kila kitu kitajulikana. Ndege wafananao huruka pamoja, refere Bashite na Jiwe

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ndoto za mchana!!
 
Haya maneno ni yakuwaambia wana CCM ambao hawaifahamu Chadema, wakati CCM inafanya kampeni nchi nzima wakati huu, Kila jimbo, kila tarafa, kila Kata, Kila Kitongoji Chamema wameng'ang'ania Lissu na maeneo machache ya mijini halafu unategemea matokeo chanya, acheni kujidanganya.

Mimi najua tatizo liko wapi kwa Chadema, you can only fool the fools lakini sio waelewa. Na mnajidanganya kuwa chadema waelewa labda ? ndio maana mnaungozi wa juu kabisa wa Chama wa wajinga ni kujivika ujinga na kuuamini. Werevu karibu wote wamesepa.

The best faculties of this land belongs to CCM. You will only know this fact only when you cross over to this side. CCM Oyeeeeeeee.
Anyway, where is Jiwe as he was supposed to be in Iringa if am not misteken

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Afu mbona hamkubali mdahalo ?

midahalo si watu waliosoma arts ndo wanaweza. magufuli mdahalo sio rahisi awe mtalamu wa midahalo maana yeye route yake ni PCM.
PHD ya chemistry, na uyo aliechukua diploma ya HGE huoni tafauti apo? its very unlikely utakuta mtu wa science yupo kwenye midahalo rather than research and activities, tuseme mfano corona ilivoingia tanzania
ingekua ni president wa midahalo waulize kenya wanapitia nn saaahv, sasa uzuri wa phd ya chemistry unajitokeza apa! kwanza watu wa science hata mwandiko hua ni ugly, lakini kwenye decision kaa mbali
 
Afu mbona hamkubali mdahalo ?

madhara ya kua na mtu wa diploma si unaona sasa: anakwambia miundo mbinu haina kazi, ndege hazina kazi wakati wao wanapanda kama kawaida, anasema barabara hazina faida, treni naskia anasema haina umuhimu juzi nlikua naskiliza youtube kasema ongezeko la mazao pia sio maendeleo, WTF is wrong with you people
 
Anyway, where is Jiwe as he was supposed to be in Iringa if am not misteken

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app

His Ecellence the President will be in Iringa from tomorrow to lead the biggest assault to remove non-descript in Iringa and Mbeya.
Msigwa na Sugu nanihiii tayari imegota kwenye chupi.

A good opportunity, the Chadema party I want is coming into benign.
 
midahalo si watu waliosoma arts ndo wanaweza. magufuli mdahalo sio rahisi awe mtalamu wa midahalo maana yeye route yake ni PCM.
PHD ya chemistry, na uyo aliechukua diploma ya HGE huoni tafauti apo? its very unlikely utakuta mtu wa science yupo kwenye midahalo rather than research and activities, tuseme mfano corona ilivoingia tanzania
ingekua ni president wa midahalo waulize kenya wanapitia nn saaahv, sasa uzuri wa phd ya chemistry unajitokeza apa! kwanza watu wa science hata mwandiko hua ni ugly, lakini kwenye decision kaa mbali

Ume nyoosha, hao mambulula wengine taabu kulijua hili.
 
madhara ya kua na mtu wa diploma si unaona sasa: anakwambia miundo mbinu haina kazi, ndege hazina kazi wakati wao wanapanda kama kawaida, anasema barabara hazina faida, treni naskia anasema haina umuhimu juzi nlikua naskiliza youtube kasema ongezeko la mazao pia sio maendeleo, WTF is wrong with you people
Hio miradi inagusa wachache,mfano tz nzima wenye kumudu kupanda ndege awafiki hata milioni moja,ndege zote zimeajiri watu 404 zimegharimu zaidi ya tirioni moja, wakati hio tilioni moja ingewekwa kwwenye kilimo ingeajiri zaidi wa watu milioni 3 kwa faida endelevu.Hata hio sgr ikikamilika ambayo still chance ya kukamilika Ni zero Nani atamudu nauli yake.Usishangilie ndege Hali hata uwezo wa kununua muhogo huna
 
Yupo Dodoma na watendaji, wakurugenzi anapanga goli la mkono a.k.a. ushindi wa mezani
Asijaribu hilo wataishia the Hague milango ipo wazi kupokea wahalifu.
Yule mwanasheria wa Robert kiboko ya madikteta ana file kesi moja kwa moja the Hague,
Pia police sio wa kuwategemea itakula kwao Wana hasira mbaya ya miaka 5 bila nyongeza ya mishahara
 
Kuna watu ukiwaambia habari au uwezekano wa CCM kutoka madarakani, wanakuona unaongea jambo ambalo haliwezi kutokea leo wala kesho na zaidi wataishia kukushangaa tu na hii ni kwasababu wamekariri.

Tunachosau wanadamu wengi ni kuwa,katika huu ulimwengu ambao umekuwepo kwa mamilioni ya miaka, hakuna kinachotokea leo hii ambacho ni kipya, bali yote ni marudio tu na ndio maana mtu ukiwa muumini mzuri wa historia, watu wanaweza kukuona wewe kamaa Nabii au mtu mwenye maono wanasahau kuwa katika dunia ya leo, hakuna jipya zaidi ya teknolojia.

CCM hakitakuwa chama cha kwanza kaanguka baada ya kuwepo madarakani kwa muda mrefu kama ambavyo imetokea kwa vyama vingine duniani, na pia Magufuli hatokuwa mtawala wa kwanza asietarajiwa kuanguka kutoka madarakani, ila mwisho wa siku akaanguka kama ilivyotokea kwa watawala wengine tangu kuombwa kwa ulimwengu huu.

Eleweni tu hata dini ni historia katika imani na kwasababu historia(imani) hii inazingatiwa zaidi, ndio maana leo hii mnaona watu wanatumia mistari ya Bibilia(Maandiko Matakatifu) kutabiri anguko la Magufuli na ushindi wa Lissu.

Kwa msingi huu,Magufuli na CCM yake wanaweza kuanguka mara baada ya uchaguzi au kutokana na yatayojiri baada ya matokeo kutangazwa.

Kwahiyo, ikitokea Magufuli anashindwa uchaguzi, na Lissu akasimamia kauli yake na Magufuli akaondoka madarakani kwa amani au vinginevyo, kitachofuata ni wana-CCM kutaka Magufuli na timu yake kujiuzulu uongozi wa chama kama sehemu ya wao kuwajibika kisiasa-utabiri.

Hivyo,Magufuli,iwapo atashindwa uchaguzi, si tu atapoteza nafasi ya kuwa Raisi,bali ana hatari ya kupoteza na nafasi ya kuwa kiongozi mkuu wa chama(uenyekiti) na kuwa raia wa kawaida mwenye hadhi ya Raisi aleshindwa kutetea nafasi yake kwa mara ya pili.

Time will tell.
Saccos yako ishajifia, Chadema sasa kila mtu akikataa mmebaki wakereketwa wa mitandaoni tu. October 28,tunawakata ngebe.
 
Magufuli hawezi kushindana uchaguzi huu
Ng' oooo
Mtasubir sana


1601211039556.png
 
Unakosea sana, viongozi wa aina hiyo huwa hawatoki madarakani kwa style hiyo. Huwa wanang'ang'ania ila mambo yakigeuka husepa mapema, mpaka vumbi litulie matokeo yatoke, unakuta tayari kashafika kwa "Mr Nose"
Kuna watu ukiwaambia habari au uwezekano wa CCM kutoka madarakani, wanakuona unaongea jambo ambalo haliwezi kutokea leo wala kesho na zaidi wataishia kukushangaa tu na hii ni kwasababu wamekariri.

Tunachosau wanadamu wengi ni kuwa,katika huu ulimwengu ambao umekuwepo kwa mamilioni ya miaka, hakuna kinachotokea leo hii ambacho ni kipya, bali yote ni marudio tu na ndio maana mtu ukiwa muumini mzuri wa historia, watu wanaweza kukuona wewe kamaa Nabii au mtu mwenye maono wanasahau kuwa katika dunia ya leo, hakuna jipya zaidi ya teknolojia.

CCM hakitakuwa chama cha kwanza kaanguka baada ya kuwepo madarakani kwa muda mrefu kama ambavyo imetokea kwa vyama vingine duniani, na pia Magufuli hatokuwa mtawala wa kwanza asietarajiwa kuanguka kutoka madarakani, ila mwisho wa siku akaanguka kama ilivyotokea kwa watawala wengine tangu kuombwa kwa ulimwengu huu.

Eleweni tu hata dini ni historia katika imani na kwasababu historia(imani) hii inazingatiwa zaidi, ndio maana leo hii mnaona watu wanatumia mistari ya Bibilia(Maandiko Matakatifu) kutabiri anguko la Magufuli na ushindi wa Lissu.

Kwa msingi huu,Magufuli na CCM yake wanaweza kuanguka mara baada ya uchaguzi au kutokana na yatayojiri baada ya matokeo kutangazwa.

Kwahiyo, ikitokea Magufuli anashindwa uchaguzi, na Lissu akasimamia kauli yake na Magufuli akaondoka madarakani kwa amani au vinginevyo, kitachofuata ni wana-CCM kutaka Magufuli na timu yake kujiuzulu uongozi wa chama kama sehemu ya wao kuwajibika kisiasa-utabiri.

Hivyo,Magufuli,iwapo atashindwa uchaguzi, si tu atapoteza nafasi ya kuwa Raisi,bali ana hatari ya kupoteza na nafasi ya kuwa kiongozi mkuu wa chama(uenyekiti) na kuwa raia wa kawaida mwenye hadhi ya Raisi aleshindwa kutetea nafasi yake kwa mara ya pili.

Time will tell.
 
Nawasikitia watz wenzangu wamefanyiwa masikini kimakusudi.Mimi sukari hata iuzwe elf 10 namudu,
We kula kulala utayajulia wapi maumivu ya watz.Kama we ni mnufaika wa upigaji dili utaujulia.Umasikini unaletwa na sera mbovu za ujima Kama mtawala anawakomoa watu ili wawe masikini ili awatawale kwa kuwabomolea nyumba zao, kuzulumu fedha zao, mazao yao,Kodi komozi ili wafilisike,unajua malori mangap ya watz yamehamishiwa nchi jirani ili wasifilisiwe je Ni ajira ngapi, quality plaza tu ya manji ilitoa ajira zaidi ya watu elf 2 Leo kumeota nyasi sababu ya chuki, wafanyakazi wamezulumiwa Hali zao sababu ya chuki hapa vibarua wangapi wamekosa ajira.ukiuwa diplomasia,ukiuwa sekta binafsi,ukizuia mzunguko wa pesa umeua ajira na ukiuwa ajira umeleta umasikini nchini hizi Ni mbinu watumiazo madikteta sababu awajiamini madikteta wote ni lzm wawashughulikie matajiri na wasomi sababu wanaogopa kukosolewa sababu ni weupe kichwani.
Ni kundi dogo lenye kumudu kupanda ndege nauli tu ya dar Mwanza bila laki 5 ujasafiri . Ndege zimetoa ajira watu 404 wakati zingetumika kwenye kilimo zaidi ya watu milioni 6 wangepata ajira,mfano mto mmoja tu ruvu ungeweza ajiri si chini ya watu laki 7 kupitia kilimo, viwanda, usafiri, huduma,nk.Toka kwa shemeji jiajiri uone Hali halisi

ndo maana nkasema mwanzoni, wewe ni shangazi yake lissu! u will never understand economics,
1) kwenye uchumi wowote lazima kue na watu ambao maisha kwao ni magumu, na sio tatizo its slogan ya dunia ilivo,
2) umaskini sio sera, umaskini upo ndan ya mtu mwneyewe, unaweza zaliwa kama mkimbizi na ukatoka kimaisha, mf. ZIMBABWE hawana hata pesa ya nchi kwa sababu ilishakufa thamani , but wana bilionea kwenye list ya matajiri dunia, as i said before kuelewa economics hutaweza
3) serikali kazi yake ni kuweka sera tu, 99% depends on you! unaweza ukawa unaisha tanzania lakini unafanya kazi nje ya nchi na unalipwa nje ya nchi
4) hakuna mtu anakomolewa kwa sababu mm nko tanzania na nafanya biznez zangu na maisha yapo poa kabisa, sina cheo chochote na sjawhi fanya siasa na sjawahi ajiriwa na hata shule skumaliza
5) diplomasia sio sheria, i.e kama mahusiano hayana beneficiary hayana umuhimu kuwepo, saudi arabia, cuba, china, afganistan and russia hawana central bank kama BOT , hawahifadhi hata dola infact china wameshachoma majengo ya ubalozi wa marekani kitambo na kufungia mitandao yao, je wamekufa?

6)serikali haimiliki pesa, infact wenyewe wanategemea kodi kupata mapato ya kujiendesha,! unahitaji shule zaidi
7) hakuna nchi inaweza kuajiri wananchi wake wote, pesa sko zote ni limited, wale watakaofanya kazi kwa bidii watazipata! kuna mwanasayansi mmoja alishawahi kusema. ukichukua pesa zote duniani na kugawa kwa wananchi wote duniani, kila mtu atapata ~50M TSH lakini baada ya mwaka ztarudi kwa wale wale waliokua wanazimiliki kabla( wafanya biashara)


8) ndege sku zote znapandwa na watu wachache duniani kote na mashirika mengi tu duniani wanarusha ndege zkiwa na wtu wachache na zingine znaacha biashara kabisa, which is very normal but same time kuna umuhimu sana wa kuwepo nazo, fuatilia south african airways, thomas cook, kenya airways and many more mashirika yenye majina uone wanajiendeshaje na kwann lazima ziwepo, as usual unahitaji shule zaidi

9) sio kila mtu anafanya kilimo kwenye hii nchi, dunia tayar ishageuka kwenye mapinduzi, watu wanafanya kilimo cha kisasa, watu 20 tu wanaproduce mazao nchi nzima kwa technology we bado unaongea kuwawezesha wakulima, uko dunia hii kweli?
 
Nawasikitia watz wenzangu wamefanyiwa masikini kimakusudi.Mimi sukari hata iuzwe elf 10 namudu,
We kula kulala utayajulia wapi maumivu ya watz.Kama we ni mnufaika wa upigaji dili utaujulia.Umasikini unaletwa na sera mbovu za ujima Kama mtawala anawakomoa watu ili wawe masikini ili awatawale kwa kuwabomolea nyumba zao, kuzulumu fedha zao, mazao yao,Kodi komozi ili wafilisike,unajua malori mangap ya watz yamehamishiwa nchi jirani ili wasifilisiwe je Ni ajira ngapi, quality plaza tu ya manji ilitoa ajira zaidi ya watu elf 2 Leo kumeota nyasi sababu ya chuki, wafanyakazi wamezulumiwa Hali zao sababu ya chuki hapa vibarua wangapi wamekosa ajira.ukiuwa diplomasia,ukiuwa sekta binafsi,ukizuia mzunguko wa pesa umeua ajira na ukiuwa ajira umeleta umasikini nchini hizi Ni mbinu watumiazo madikteta sababu awajiamini madikteta wote ni lzm wawashughulikie matajiri na wasomi sababu wanaogopa kukosolewa sababu ni weupe kichwani.
Ni kundi dogo lenye kumudu kupanda ndege nauli tu ya dar Mwanza bila laki 5 ujasafiri . Ndege zimetoa ajira watu 404 wakati zingetumika kwenye kilimo zaidi ya watu milioni 6 wangepata ajira,mfano mto mmoja tu ruvu ungeweza ajiri si chini ya watu laki 7 kupitia kilimo, viwanda, usafiri, huduma,nk.Toka kwa shemeji jiajiri uone Hali halisi

kwa kumalizia, staki kua mwalimu wako, nenda shule utajifunza mengi! but. watanzania wengi wanaelewa kila kitu kinachoendelea, magufuli has been the african person of the year on the african report magazine 2016, izo zote mnazosubiri magufuli aongee mpate cha kujibu wananchi kampeni tambueni sio mabwege, magufuli has ~ 1M fans himself as himself, you will add that with ccm fans, kwa kurahisisha kazi tegemeeni kuanzia 18% or 25% ya kura kwa chadema, but mostly itakua less than 20%
 
kwa kumalizia, staki kua mwalimu wako, nenda shule utajifunza mengi! but. watanzania wengi wanaelewa kila kitu kinachoendelea, magufuli has been the african person of the year on the african report magazine 2016, izo zote mnazosubiri magufuli aongee mpate cha kujibu wananchi kampeni tambueni sio mabwege, magufuli has ~ 1M fans himself as himself, you will add that with ccm fans, kwa kurahisisha kazi tegemeeni kuanzia 18% or 25% ya kura kwa chadema, but mostly itakua less than 20%
Sio kosa lako hukusoma uchumi ujui chochote kuhusu maendeleo ya watu.Vijarida uchwara vipo vingi yeyeto anaweza kuwa person of the year kwa vijarida vyao,lkn haiondoi ukweli halisi viatu vikubwa
 
Sio kosa lako hukusoma uchumi ujui chochote kuhusu maendeleo ya watu.Vijarida uchwara vipo vingi yeyeto anaweza kuwa person of the year kwa vijarida vyao,lkn haiondoi ukweli halisi viatu vikubwa

umeshakosa cha kujibu eeh, vizuri! next time make sure u get good studies before u dive yourself into any battle
 
Back
Top Bottom