CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

Mimi sijawahi kuwa CCM lakini ni muumini wa mapenzi mema kwa nchi yangu yeyote ataye kuwa tayari kuipiginia nchi yangu kama Magufuli huyo amebeba kura yangu pamoja na jamii yangu yote.

Except Lissu huyu anafaa kufungiwa jiwe la kusagia na kutupwa.
Wewe ni ccm, rejelea uzi wako wa "chombo bila nahodha " wa 2015 ,ulijifanya eti mwana cdm mnafiki mkubwa wewe. Una mapenzi mema na nchi hii wewe??
 
Mimi sijawahi kuwa CCM lakini ni muumini wa mapenzi mema kwa nchi yangu yeyote ataye kuwa tayari kuipiginia nchi yangu kama Magufuli huyo amebeba kura yangu pamoja na jamii yangu yote.

Except Lissu huyu anafaa kufungiwa jiwe la kusagia na kutupwa.
Yalishindwa mauti sembuse jiwe
 

Kwani Magufuli alikuwa anapata kura, zaidi ya kuagiza mauji, utekaji, uporaji wa kiburi cha madaraka? Au unadhani siasa za kishenzi na kihayawani za Magufuli hatuzijui? Labda mkawadanganye watu wa vijijini wasiojua lolote, lakini ushenzi wake wote tunaujua.
 
Kwa ushahidi upi? kama siyo kubwabwaja tu hapa
Ww inaonekana utakuwa ni bonge la mzee, maana ndio huwa wanalishwa propaganda za kijinga na kuzimeza kama zilivyo. Kwa taarifa yako wapiga wala hawakufika 10m, na kwa jinsi ile uchaguzi ulivyokuwa wa kipuuzi, ingia hata leo kwenye tovuti ya Tume ya uchaguzi uone hata kama matokeo wamethubutu kuweka. Yaani nchi hii ndani ya hiyo miaka mitano ilikuwa mikononi mwa mtu muovu. Tunashukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu mchafu, na kuleta mabadiliko bila damu kumwagika.
 
Ccm ilimleta Jpm ikampa ilani na jukwaa la kuinadi hiyo ilani. Sasa huo umagufulication ni ilani tofauti na aliyopewa ccm?
 
Niko nawe ktk hii meli. Chama kitakachokuja na slogan ya uongozi alioutia jpm wana kura yangu.
 
aiseeeee
 
sisikii nani katumbuliwa kwenye uzinduzi wa mfugare wala shamba la mahindi[emoji23][emoji39][emoji3][emoji28][emoji2][emoji23][emoji13][emoji38][emoji1787][emoji13]
 
Kura yako hatuitaki anzisha chama chako,nchi imerudi kwa wenyewe tulikosea sana mpaka Mungu akaingilia kati kuonyesha makosa yetu,haturudi nyuma bloo.
 
Magufuri alikua na sera gani nikumbushe!??
 
Mataga bwana yaani kweli mna akili kisoda ndio maana mama anaamua Bora awapatie teuzi wakina lijualikali kuliko zero brain kama nyinyi!

Yaani unataka kila mtu aje na propaganda Kama za mtu pori?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…