CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

Unaongelea slogan ya kutia watu kwenye viroba na kupoteza watu na kuwabambikizia kesi au ipi ?
Hapana mkuu, kuuwa, kudhurumu watu ni kosa kubwa mbele za Mungu na kwa watu wenye mfano wako, ila kuacha wezi na mafisadi yakiendelea kutesa maisha ya wengi ndio dhambi kubwa
 
Nawaonya CCM kwa mara ya kwanza kwamba, kupuuza na kutupilia mbali mtindo wa kuendesha nchi kwa alivyokuja nao hayati JPM, 2025 lazima iwagharimu

Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!

Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko

1624698355017.png
 
Kalale naye kaburini, mpuuzi mkubwa.
Kwa mf, kwa tusi kubwa kama hili, mkuu umepata faida gani hapo??

Punguza ujinga kidogo kidogo ili ujione udhaifu wako mbele ya Kifo na roho ya mauti isivyokuwa na rafiki wala adui wote ni wa kwake, hata wewe ni rafiki mkubwa wa roho hiyo maiti
 
Tutakuwa taifa la ajabu kuamini kwamba wewe ndo mwenye mawazo sahihi kuliko wengine. Yaani tuamini bila wewe na huyo mungu wako nchi haitaendelea? Ni miezi 3 tangu ameondoka duniani, umeona upungufu wowote wa kutokuwepo kwake? Nyie mmepoteza nafasi alizowapa kwa upendeleo, kwa hiyo mnajaribu kutisha watu ili waone bila kundi lenu nchi haiendi.
Bashiru,
Makonda,
Mnyeti,
Dotto,
Nk
Hawako kwenye system, lakini umeona system imecolapse?
Acheni majungu wakati si rafiki kwenu. Aidha mjirudi twende pamoja, au nendeni peke yenu mpotee daima.
Ukiulizwa hao uliowataja wana kosa gani utaishia kujichomeka tu vidole puani...
Mfano mnyeti mko bize eti haiwezekani akawa tajiri ndani ya muda mfupi, mkibiwa oke thibitisheni kwa nini haiwezekani hamna ushahidi...
Ni chuki tu za wivu...
 
Nawaonya CCM kwa mara ya kwanza kwamba, kupuuza na kutupilia mbali mtindo wa kuendesha nchi kwa alivyokuja nao hayati JPM, 2025 lazima iwagharimu

Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!

Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko
Mama kisiasa anacheza kwenye mikono hatari. Mswahili akiahidiwa fedha ya msaada na wazungu anaona hapo chini tu haoni mbali. Kwao maisha ni sasa hivi.
 
Nawaonya CCM kwa mara ya kwanza kwamba, kupuuza na kutupilia mbali mtindo wa kuendesha nchi kwa alivyokuja nao hayati JPM, 2025 lazima iwagharimu

Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!

Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko
Mkuu unatok dunia gani?
Mwendazake ameondoka na hatarudi, mliofaidika pamoja na kina Polepole na Bashiru, enzi zenu ndo kalas.
Watu wameteswa
Watu wamedhulumiwa
Watu wamefukuzwa kazi eti vyeti feki(wakati mwenyewe ana Phd yenye utata)
Watu wamenyang'anywa mali zao
Watu wamebobolewa nyumba zao Kimara
Watu wamebambikwa kesi za uhujumu uchumi
Watu wameuwawa
Watu..........jaza mwenyewe!

Hizo ndo sera za CCM zilizo enziwa na Mwendazake!
Heri sasa tunapumua kama binadamu, siyo kuishi kama mashetani aliyoyashabikia Mwendazake.
 
Tukusaidie:

Magufulification = Ujinga = Ujambazi = Kuua raia unaopaswa kuwalinda = Uhuni = Ulevi wa Madaraka = Ujinga tena = Laana

Ndo maana Mungu akamfutilia mbali pamoja na yale mabomu, vifaru vya jeshi, helcopter za jeshi, na mabunduki yote aliyokuwa kajizungushia

Get education stupid chap
Kuuwa na kuumiza watu bila kosa, ni upumbavu, ila kuacha wezi na mafisadi, wauza ngada wakiendelea kuuwa watu, kunyanyasa wajane ndio upumbavu zaidi
 
Mkuu unatok dunia gani?
Mwendazake ameondoka na hatarudi, mliofaidika pamoja na kina Polepole na Bashiru, enzi zenu ndo kalas.
Watu wameteswa
Watu wamedhulumiwa
Watu wamefukuzwa kazi eti vyeti feki(wakati mwenyewe ana Phd yenye utata)
Watu wamenyang'anywa mali zao
Watu wamebobolewa nyumba zao Kimara
Watu wamebambikwa kesi za uhujumu uchumi
Watu wameuwawa
Watu..........jaza mwenyewe!

Hizo ndo sera za CCM zilizo enziwa na Mwendazake!
Heri sasa tunapumua kama binadamu, siyo kuishi kama mashetani aliyoyashabikia Mwendazake.
Mkuu, ni kweli usemacho, Kuuwa na kutesa watu bila kosa, ni jambo lisilovumilika kokote kule

Lakini kuacha majambazi, mafisadi, majizi na wauza ngada wakiendelea kutesa wengi, ni jambo lisilovumilka zaidi na ni kosa kubwa zaidi
 
Hatutaki kusikia habari za shetani
Tena ukimwita shetani ndio kabisaa hutaacha kumkumbuka, ni heri umwite binadamu

maana shetani amekuwepo duniani kabla ta mababu zako wote we pimbi
 
Hata mimi pia jana niliandika comment kama hii yako.

Iko hivi:
Ukiona Rais wa nchi anapongezwa na "wapinzani" wake kwenye kila jambo analolifanya basi tambua kwamba huyo Rais anafanya kazi ya kuua siasa.

Ndani ya chama chake atakataliwa, na nje ya chama chake atakubalika. Sasa ufalme unapojifitini wenyewe huwa hausimami. Tutegemee anguko kubwa sana la huyu SSH hapo ifikapo 2025.

Wapinzani hawana uwezo wa kushinda Urais lakini CCM inaweza kugawanyika na chanzo kikawa huyu Madam SSH.
Onywanebhe
 
Shetani tunamkumbuka kila siku kama usemavyo lakini kwa kumlaani na kumuomba Mungu amuangamize kwenye moto wa jehanamu.
wewe ni duni mno
 
Mkuu, ni kweli usemacho, Kuuwa na kutesa watu bila kosa, ni jambo lisilovumilika kokote kule

Lakini kuacha majambazi, mafisadi, majizi na wauza ngada wakiendelea kutesa wengi, ni jambo lisilovumilka zaidi na ni kosa kubwa zaidi
Hizo side show za Mwendazake ndio zilimuondolea kabisa uhalalil wa kuwa Rais Bora nchini Tanzania.
Na hili tayari limeshaandikwa kwenye histiria.
Walioteswa, kudhulumiwa, kuuwawa, kubambikwa kesi, kutesa watu. kamwe HAWAWEZI kumsamehe Mwendazake hata kama kuna negative elements katika Taifa, elements ambazo watashughulikiwa kwa nguvu ya sheria.
 
Back
Top Bottom