CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

Nawaonya CCM kwa mara ya kwanza kwamba, kupuuza na kutupilia mbali mtindo wa kuendesha nchi kwa alivyokuja nao hayati JPM, 2025 lazima iwagharimu

Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!

Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko

Ndiyo, Hayati JPM anayo makosa mengi, ila pia anayo mazuri mengi

Machache kati ya mengi mazuri aliyokuwa nayo,

# Hakupendelea nchi yetu iwe ombaomba

#Hakupendelea nchi yetu tujione wanyonge na kujiita sisi ni masikini, hakupenda kabisa tujivunie umasikini, kokote alikotembea alisema kwa ujasiri kuwa Tanzania sio masikini

# Alitupilia mbali na kukataa katakata miradi yote ya kinyonyaji kama mradi wa Nandari ya Bagamoyo

#Alielewa madhara ya kama kiongozi mkuu kukubali kuwa sasa tumeelemewa na Korona na tunahitaji misaada zaidi ya Msaada kutoka Kwa Mungu Hili nakili kuwa linaupinzani mkubwa kwa sababu kuna wanasayansi hudhani Mungu na sayansi ni kama vita vya tembo na nyasi licha ya hivyo huwa inaeleweka siku zote kuwa Mungu ni zaidi ya sayansi

#Aliwakemea wote wenye kutaka kuleta fyokofyoko bila kujali umaarufu wao, na ndiyo maana hatukushuhudia ujingaujinga wa shirika la Tanesko kukatakata umeme kama ilivyo sasa, misingi hii inapaswa isimamiwe kwa nguvu zote ili tutoke

Jambo lingine la kusisimua, JPM aliamini hasa ukiwa kiongozi unayesimama kwa ajili ya kutetea rasilimali za nchi, kifo huwa ni rafiki mkuu wa mtu huyo, Yeye hakujali
.
Tumpate wapi mtu kama huyu asiyeogopa chochote kwa ajili ya wengi?

Naam..! kwa maana hii, huu ndio unapaswa kuwa msingi wa nchi yetu, anayestahili haki apewe na mwenye kuvunja sheria bila kujali anacheyo gani naye awajibike

Uingozi, sio kumfurahisha kila mtu pia sio kumfedhehesha kila mtu
Yani mtu alikua n mentalcase mpka madc,marc wake nao walikua n mentalcase,vibaka,wauaji...mtu wa hivyo hupuuzwa na tumeshasahau kma alikuepo
 
Mimi sijawahi kuwa CCM lakini ni muumini wa mapenzi mema kwa nchi yangu yeyote ataye kuwa tayari kuipiginia nchi yangu kama Magufuli huyo amebeba kura yangu pamoja na jamii yangu yote.

Except Lissu huyu anafaa kufungiwa jiwe la kusagia na kutupwa.
Maghufuli hakuwahi kuwa mzalendo zaidi ya Lissu .
Hajawahi
 
Mbona mabaya yake hukuyaainisha ?!. Hivi kweli kupotezana na wasiojulikana ni mambo ya kuendeleza ?!. Uporaji ule wa uchaguzi ni mambo ya kuendeleza ?! Au ukanda uliokuwa ukistawi nao uendelezwe !!.

U dictator wa mwendazake nao uendelezwe ?! . Ridhika kuwa jamaa keisha kufa. Hawezi kurudi asilani
Anzishia uzi wake wewe
 
Kwani uchaguzi uliopita walipata hizo jura wanazojisifia si waliharibu uchaguzi wote na kujitangaza walivyotaka kwa taarifa yako mama atashinda uchaguzi ujao kwa uhalisia c kwa kiwango hicho cha wizi na dhulma cha magufuli na msaidizi wake dr.bashiru na pole pole mpaka mungu akawafedhehesha.
Huitaki tena ikulu wewe
 
Mimi sijawahi kuwa CCM lakini ni muumini wa mapenzi mema kwa nchi yangu yeyote ataye kuwa tayari kuipiginia nchi yangu kama Magufuli huyo amebeba kura yangu pamoja na jamii yangu yote.

Except Lissu huyu anafaa kufungiwa jiwe la kusagia na kutupwa.
Wew na Jiwe mnafaa kuwa pamoja
 
Mimi sijawahi kuwa CCM lakini ni muumini wa mapenzi mema kwa nchi yangu yeyote ataye kuwa tayari kuipiginia nchi yangu kama Magufuli huyo amebeba kura yangu pamoja na jamii yangu yote.

Except Lissu huyu anafaa kufungiwa jiwe la kusagia na kutupwa.
The one you think he deserve to die he is alive and the one you wanted him to live he is no more alive. Pole sana
 
Nawaonya CCM kwa mara ya kwanza kwamba, kupuuza na kutupilia mbali mtindo wa kuendesha nchi kwa alivyokuja nao hayati JPM, 2025 lazima iwagharimu

Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!

Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko

Ndiyo, Hayati JPM anayo makosa mengi, ila pia anayo mazuri mengi

Machache kati ya mengi mazuri aliyokuwa nayo,

# Hakupendelea nchi yetu iwe ombaomba

#Hakupendelea nchi yetu tujione wanyonge na kujiita sisi ni masikini, hakupenda kabisa tujivunie umasikini, kokote alikotembea alisema kwa ujasiri kuwa Tanzania sio masikini

# Alitupilia mbali na kukataa katakata miradi yote ya kinyonyaji kama mradi wa Nandari ya Bagamoyo

#Alielewa madhara ya kama kiongozi mkuu kukubali kuwa sasa tumeelemewa na Korona na tunahitaji misaada zaidi ya Msaada kutoka Kwa Mungu Hili nakili kuwa linaupinzani mkubwa kwa sababu kuna wanasayansi hudhani Mungu na sayansi ni kama vita vya tembo na nyasi licha ya hivyo huwa inaeleweka siku zote kuwa Mungu ni zaidi ya sayansi

#Aliwakemea wote wenye kutaka kuleta fyokofyoko bila kujali umaarufu wao, na ndiyo maana hatukushuhudia ujingaujinga wa shirika la Tanesko kukatakata umeme kama ilivyo sasa, misingi hii inapaswa isimamiwe kwa nguvu zote ili tutoke

Jambo lingine la kusisimua, JPM aliamini hasa ukiwa kiongozi unayesimama kwa ajili ya kutetea rasilimali za nchi, kifo huwa ni rafiki mkuu wa mtu huyo, Yeye hakujali
.
Tumpate wapi mtu kama huyu asiyeogopa chochote kwa ajili ya wengi?

Naam..! kwa maana hii, huu ndio unapaswa kuwa msingi wa nchi yetu, anayestahili haki apewe na mwenye kuvunja sheria bila kujali anacheyo gani naye awajibike

Uingozi, sio kumfurahisha kila mtu pia sio kumfedhehesha kila mtu
Magufuli hakuwa CCM, alitumika tu. R.I.P
CCM imerudi.
 
Hizo ndizo CCM Chama cha Mapinduzi na Chukua Chako Mapema.

Wache wasambalitike tu dira hakuna na wanatulaghai na ilani, wakati sasa tunaona kuwa kila Raisi akiingia basi anabadilisha taswira ya kuwa au kutokuwa na Dira ya Taifa
Full stop.
 
Hapana mkuu, kuuwa, kudhurumu watu ni kosa kubwa mbele za Mungu na kwa watu wenye mfano wako, ila kuacha wezi na mafisadi yakiendelea kutesa maisha ya wengi ndio dhambi kubwa
Hivi toka Tanzania imeumbwa ishawahi kutana na fisadi wa kupiga 1.5 tirion kwa wakati mmoja kama mwendazake?
 
Hivi toka Tanzania imeumbwa ishawahi kutana na fisadi wa kupiga 1.5 tirion kwa wakati mmoja kama mwendazake?
Usiamini katika kuangalizia siku ya mtihani, utaanguka, iamini akili yako
 
Nawaonya CCM kwa mara ya kwanza kwamba, kupuuza na kutupilia mbali mtindo wa kuendesha nchi kwa alivyokuja nao hayati JPM, 2025 lazima iwagharimu

Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!

Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko

Ndiyo, Hayati JPM anayo makosa mengi, ila pia anayo mazuri mengi

Machache kati ya mengi mazuri aliyokuwa nayo,

# Hakupendelea nchi yetu iwe ombaomba

#Hakupendelea nchi yetu tujione wanyonge na kujiita sisi ni masikini, hakupenda kabisa tujivunie umasikini, kokote alikotembea alisema kwa ujasiri kuwa Tanzania sio masikini

# Alitupilia mbali na kukataa katakata miradi yote ya kinyonyaji kama mradi wa Nandari ya Bagamoyo

#Alielewa madhara ya kama kiongozi mkuu kukubali kuwa sasa tumeelemewa na Korona na tunahitaji misaada zaidi ya Msaada kutoka Kwa Mungu Hili nakili kuwa linaupinzani mkubwa kwa sababu kuna wanasayansi hudhani Mungu na sayansi ni kama vita vya tembo na nyasi licha ya hivyo huwa inaeleweka siku zote kuwa Mungu ni zaidi ya sayansi

#Aliwakemea wote wenye kutaka kuleta fyokofyoko bila kujali umaarufu wao, na ndiyo maana hatukushuhudia ujingaujinga wa shirika la Tanesko kukatakata umeme kama ilivyo sasa, misingi hii inapaswa isimamiwe kwa nguvu zote ili tutoke

Jambo lingine la kusisimua, JPM aliamini hasa ukiwa kiongozi unayesimama kwa ajili ya kutetea rasilimali za nchi, kifo huwa ni rafiki mkuu wa mtu huyo, Yeye hakujali
.
Tumpate wapi mtu kama huyu asiyeogopa chochote kwa ajili ya wengi?

Naam..! kwa maana hii, huu ndio unapaswa kuwa msingi wa nchi yetu, anayestahili haki apewe na mwenye kuvunja sheria bila kujali anacheyo gani naye awajibike

Uingozi, sio kumfurahisha kila mtu pia sio kumfedhehesha kila mtu
kwa kizazi hiki cha waongo na walamba viatu. mna uwezo gani wa kuitoa ccm?

yaan kwa mfumo ulivyo hata waweke jiwe linashinda.
upinzani nao ndio huo haueleweki
 
Nawaonya CCM kwa mara ya kwanza kwamba, kupuuza na kutupilia mbali mtindo wa kuendesha nchi kwa alivyokuja nao hayati JPM, 2025 lazima iwagharimu

Ninao uhakika juu ya hili, endapo CCM Kitaendelea kupuuza yote mema, na misimamo thabiti ya namna alivyokuwa nayo kiongozi wa awamu iliyopita hayati JPM kwa kuitupilia mbali, 2025 siyo mbali, Historia itaenda kuandikwa upya na kwa mara ya kwanza, Tanzania itakuwa mikononi mwa msiowapenda!

Bibafs, kwa chama chochote kitakachokuja na slogani ya Magufulification kitapata kura yangu, na nitakuwa wa kwanza kufanya kampeni ili kumng'oa CCM, naamini stakuwa peke yangu, ni wimbi kubwa la Watanzania watakaounga mkono chama hiko

Ndiyo, Hayati JPM anayo makosa mengi, ila pia anayo mazuri mengi

Machache kati ya mengi mazuri aliyokuwa nayo,

# Hakupendelea nchi yetu iwe ombaomba

#Hakupendelea nchi yetu tujione wanyonge na kujiita sisi ni masikini, hakupenda kabisa tujivunie umasikini, kokote alikotembea alisema kwa ujasiri kuwa Tanzania sio masikini

# Alitupilia mbali na kukataa katakata miradi yote ya kinyonyaji kama mradi wa Nandari ya Bagamoyo

#Alielewa madhara ya kama kiongozi mkuu kukubali kuwa sasa tumeelemewa na Korona na tunahitaji misaada zaidi ya Msaada kutoka Kwa Mungu Hili nakili kuwa linaupinzani mkubwa kwa sababu kuna wanasayansi hudhani Mungu na sayansi ni kama vita vya tembo na nyasi licha ya hivyo huwa inaeleweka siku zote kuwa Mungu ni zaidi ya sayansi

#Aliwakemea wote wenye kutaka kuleta fyokofyoko bila kujali umaarufu wao, na ndiyo maana hatukushuhudia ujingaujinga wa shirika la Tanesko kukatakata umeme kama ilivyo sasa, misingi hii inapaswa isimamiwe kwa nguvu zote ili tutoke

Jambo lingine la kusisimua, JPM aliamini hasa ukiwa kiongozi unayesimama kwa ajili ya kutetea rasilimali za nchi, kifo huwa ni rafiki mkuu wa mtu huyo, Yeye hakujali
.
Tumpate wapi mtu kama huyu asiyeogopa chochote kwa ajili ya wengi?

Naam..! kwa maana hii, huu ndio unapaswa kuwa msingi wa nchi yetu, anayestahili haki apewe na mwenye kuvunja sheria bila kujali anacheyo gani naye awajibike

Uingozi, sio kumfurahisha kila mtu pia sio kumfedhehesha kila mtu
Ccm haiwezi kukosaa kura jombaa kwa hivi karibuni..watz bado ni mbumbumbu vichwani mwao..kamwee hawawez kugomea matokeo kama nchi zingine.
 
Lakini ccm ijiandae kua chama cha upinzani au nasema uongo ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom