Na wewe ni miongoni mwa mliofunga pingu za maisha na ujingaNani amekudanganya!!uganda nayo ipo kwenye COVAX, kama nchi zote za afrika, msaada ni tofauti na mkopo!!kwani huyo jemedari wenu alikuwa hata mkopo anaomba kweli?kama kila kitu alikuwa anatumia pesa za ndani mikopo ya nini!!hahaaaa, tena kwa huyo jamaa yenu alivyoirudisha nyuma nchi kiuchumi , ina bidi mama afanye kazi kweli kweli, jamaa alikuwa mshamba sana yaani propaganda za kwenye kukombania uhuru ndio unazitumia miaka hii!!laxima u fail to mjini!!MUNGU FFU
Hahaaa!!Kama mwendazake alivyokuwa amefunga pingu za maisha na siasa za uongo uongo!!na kufanikiwa kuwapata watu kama nyie!!!"eti tumechezewa sana ndugu zangu"sasa ni siasa za kistarabu sio zile za kishamba kishamba!!eti lazima dar watu mtahama tu na kurudi kijijini"'unawatishia wazee wa BORN HERE, HERE DEAD HERE, HERE!!MUNGU FUNDINa wewe ni miongoni mwa mliofunga pingu za maisha na ujinga
😂😝 Ni kweli bhana, kwani ccm ni nani bhanawacha wajichanganye kwani Tanzania Imefunga pingu za maisha na CCM?
Hata kwa hilo bado litakuwa gumu..labda nikupe njia kubwa mojawapo ni hi.hapana mkuu, nakuhakikishia kwamba, CCM wenyewe hatutakubaliana, tutagawanyika nakwambia na tutakuwa wapiga debe na kampenia wa vyama pinzani nakwambia
Mkuu, haya mambo huwa magumu kufanyika pindi vigogo wanapukuwa wanaelewana,Hata kwa hilo bado litakuwa gumu..labda nikupe njia kubwa mojawapo ni hi.
Ili mfanikiwe ni lazima kwanza muishawishi dola kuhusu upigaji kura, kwamba dola isingilie kati kutetea mtawala wa ccm katika kapu la kura. Dola isimamie kwa uthabiti mshindi anapatikana bila kificho wala wizi wa kura.
Dola ikilinda hilo sasa nguvu ihamie kwenye campaign kushawishi wananchi kutopigia kura ccm..kama enzi za lowasa..mkifanikiwa kushawishi dola bas nina hakika ccm itang'oka hapo magogoni.