CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

Na wewe ni miongoni mwa mliofunga pingu za maisha na ujinga
 
Na wewe ni miongoni mwa mliofunga pingu za maisha na ujinga
Hahaaa!!Kama mwendazake alivyokuwa amefunga pingu za maisha na siasa za uongo uongo!!na kufanikiwa kuwapata watu kama nyie!!!"eti tumechezewa sana ndugu zangu"sasa ni siasa za kistarabu sio zile za kishamba kishamba!!eti lazima dar watu mtahama tu na kurudi kijijini"'unawatishia wazee wa BORN HERE, HERE DEAD HERE, HERE!!MUNGU FUNDI
 
hapana mkuu, nakuhakikishia kwamba, CCM wenyewe hatutakubaliana, tutagawanyika nakwambia na tutakuwa wapiga debe na kampenia wa vyama pinzani nakwambia
Hata kwa hilo bado litakuwa gumu..labda nikupe njia kubwa mojawapo ni hi.
Ili mfanikiwe ni lazima kwanza muishawishi dola kuhusu upigaji kura, kwamba dola isingilie kati kutetea mtawala wa ccm katika kapu la kura. Dola isimamie kwa uthabiti mshindi anapatikana bila kificho wala wizi wa kura.
Dola ikilinda hilo sasa nguvu ihamie kwenye campaign kushawishi wananchi kutopigia kura ccm..kama enzi za lowasa..mkifanikiwa kushawishi dola bas nina hakika ccm itang'oka hapo magogoni.
 
Mkuu, haya mambo huwa magumu kufanyika pindi vigogo wanapukuwa wanaelewana,

Kwa safari hii, mbona hawatakaa pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…