kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Polepole bado Ni kijana, na hakuna kijana anaipenda CCM Ila kwa maslahi ya kuwa chama tawala. Hivyo Kama siku CCM (Mungu apishie mbali) ikianguka kwenye uchaguzi CCM itakimbiwa na wengi hata usiowatarajia. Wakwanza kuhamia Chadema anaweza kuwa mh. Polepole.
Kila anayesema CCM Oyeee mtizame usoni utaona kitu kilichojificha machoni na usoni mwake. Hapa haijalishi Ni Rais mstaafu, makamu, Waziri Mkuu au mwananchi wa kawaida.
Kwahiyo Ni vema hata viongozi wa chama na serikali waliopo wakaweka akiba ya maneno na vitendo.
Kazi ya Baba wa taifa kuwakosoa viongozi ameiacha kwa vyama vya upinzani, hasa Chadema. Mfano, Kama Baba wa taifa angekuwa hai bado uwanja wa ndege wa chato huenda usingejengwa.
Kila anayesema CCM Oyeee mtizame usoni utaona kitu kilichojificha machoni na usoni mwake. Hapa haijalishi Ni Rais mstaafu, makamu, Waziri Mkuu au mwananchi wa kawaida.
Kwahiyo Ni vema hata viongozi wa chama na serikali waliopo wakaweka akiba ya maneno na vitendo.
Kazi ya Baba wa taifa kuwakosoa viongozi ameiacha kwa vyama vya upinzani, hasa Chadema. Mfano, Kama Baba wa taifa angekuwa hai bado uwanja wa ndege wa chato huenda usingejengwa.