Sasa wewe unatuletea mada za vichwa vya Habari vya magazeti tufanyeje?Uchaguzi wa 2025 utakuwa na mtafaruku sana. Huko Mkoani mara tayari Ally Hapi anadaiwa kupiga ufisadi mkubwa huku yeye akidai ni Mbunge wa Tarime ndie fisadi na amemzibia madili.
Mbunge Mwita anadai anazibiwa fursa ili shughuli zake za ubunge zisiende sawa ili ahujumiwe kwenye uchaguzi 2025
View attachment 2209369
Anaitwa Ally Salum Hapi, ni kijana na mzaliwa wa Nzega Tabora Jazz....Kuendelea kumlea mtu kama Hapi ni gharama kwa CCM licha ya upole walionao watanzania lakini wanayaona na wanaumia. Imefikia mahali watu wanaona bora wanyamaze tu
Wanakula kwa Urefu wa KAMBA zao Usipotajirika Nchi hii ukiwa KIONGOZI basi wewe ni KICHAAUchaguzi wa 2025 utakuwa na mtafaruku sana. Huko Mkoani mara tayari Ally Hapi anadaiwa kupiga ufisadi mkubwa huku yeye akidai ni Mbunge wa Tarime ndie fisadi na amemzibia madili.
Mbunge Mwita anadai anazibiwa fursa ili shughuli zake za ubunge zisiende sawa ili ahujumiwe kwenye uchaguzi 2025
View attachment 2209369
Anaitwa Ally Salum Hapi, ni kijana na mzaliwa wa Nzega Tabora Jazz....
Mwita atuliye asubiri maposho ya miaka5 harudi bungeni tena.Uchaguzi wa 2025 utakuwa na mtafaruku sana. Huko Mkoani mara tayari Ally Hapi anadaiwa kupiga ufisadi mkubwa huku yeye akidai ni Mbunge wa Tarime ndie fisadi na amemzibia madili.
Mbunge Mwita anadai anazibiwa fursa ili shughuli zake za ubunge zisiende sawa ili ahujumiwe kwenye uchaguzi 2025
View attachment 2209369
Serikali ya ccm haiwezi Pambana na ufisadi,kwani ndio unaoendesha chama.Kuendelea kumlea mtu kama Hapi ni gharama kwa CCM licha ya upole walionao watanzania lakini wanayaona na wanaumia. Imefikia mahali watu wanaona bora wanyamaze tu
Tena kuzikiri uchi makaburini saa 4 asubuhi!Mwita as long as alinunuliwa, akaisaliti Chadema, hatapata ubunge hata kwa kuzikiri uchi
Jazz band!Anaitwa Ally Salum Hapi, ni kijana na mzaliwa wa Nzega Tabora Jazz....