CCM imechoka ikachokwa ikachochekana ! Wanachama wenye uwezo wa kuongoza wamebaki wachache mno! Orodha yenyewe hii

CCM imechoka ikachokwa ikachochekana ! Wanachama wenye uwezo wa kuongoza wamebaki wachache mno! Orodha yenyewe hii

Pamoja na Kwamba CCM imechoka ikachokwa na kuchokekana Lakin wapo baadhi ya vijana na wazee wenye uwezo wa kuongoza japo ni wachache tutajie unao Ona wamebaki mi orodha yangu ni hii
1. Prof Mussa Assad
2. …………..
Hawa vijana wa CHADEMA waliovamia siasa baada ya kushindwa maisha vichwani hamana kitu kabisa! Sasa Prof.Musa Assad ni CCM?!!!
 
Asad ni chama cha zitto wewe! Unaishi nchi gani hata hujui mambo yaliyo wazi kiasi hicho?
 
Kama CCM hakuna wa kuongoza basi upinzani ndio hakuna kabisaaaaaaaaaaaa
 
Pamoja na Kwamba CCM imechoka ikachokwa na kuchokekana Lakin wapo baadhi ya vijana na wazee wenye uwezo wa kuongoza japo ni wachache tutajie unao Ona wamebaki mi orodha yangu ni hii
1. Prof Mussa Assad
2. …………..

Hata mwanamke mmoja wa dawa naye hamna.
 
Pamoja na Kwamba CCM imechoka ikachokwa na kuchokekana Lakin wapo baadhi ya vijana na wazee wenye uwezo wa kuongoza japo ni wachache tutajie unao Ona wamebaki mi orodha yangu ni hii
1. Prof Mussa Assad
2. …………..
Asad hapana kabisa mkuu. Tatizo kubwa la Asad ni kuwa hana uwezo wa kuwa kiongozi, yeye anaishi kwenye ka ulimwengu kake anakokajua yeye peke yake. Yaani anaamini ktk kile anachokiamini na watu wote watakiamini hivyo hivyo na ndiyo njia sahihi. Uongozi siyo u Professor au kugawia wanafunzi coursework. Tena huyo jamaa ni disgrace to a national kuwa na Professor asiyekuwa na flexibility, mtu anayeamini ktk umimi. Aende Afghanistan akapewe cheo huko.
 
Ukishakua CAG ukastaafu basi hakuna kazi utagombea ama kupewa hivo ni pamoja na Katibu Mkuu kiongozi,Jaji Mkuu..ikiwa umestaafu basi utapewa ujumbe wa bodi n.k
Lakini sio urudi kkwenye payrol
Na huyo aliyepewa ubunge viti vya Ikulu Vipi ?.
 
Asad hapana kabisa mkuu. Tatizo kubwa la Asad ni kuwa hana uwezo wa kuwa kiongozi, yeye anaishi kwenye ka ulimwengu kake anakokajua yeye peke yake. Yaani anaamini ktk kile anachokiamini na watu wote watakiamini hivyo hivyo na ndiyo njia sahihi. Uongozi siyo u Professor au kugawia wanafunzi coursework. Tena huyo jamaa ni disgrace to a national kuwa na Professor asiyekuwa na flexibility, mtu anayeamini ktk umimi. Aende Afghanistan akapewe cheo huko.
Point ya Assad ndio inaungwa mkono na watu/ watanzania wote wapenda haki. Asadi amekuwa mfano bora wa viongozi wazalendo na wenye weledi mkubwa.

kwa wapenda Bla bla hamtampenda Prof Asad
 
Pamoja na Kwamba CCM imechoka ikachokwa na kuchokekana Lakin wapo baadhi ya vijana na wazee wenye uwezo wa kuongoza japo ni wachache tutajie unao Ona wamebaki mi orodha yangu ni hii
1. Prof Mussa Assad
2. …………..
mhhh mm naona kabaki Lukuvi,Aweso,huyu mama wa tamisemi lkn naye aongeze kasi kidogo,makame mbarawa,wengine siwaoni labda mnisaidie.
 
Pamoja na Kwamba CCM imechoka ikachokwa na kuchokekana Lakin wapo baadhi ya vijana na wazee wenye uwezo wa kuongoza japo ni wachache tutajie unao Ona wamebaki mi orodha yangu ni hii
1. Prof Mussa Assad
2. …………..
wee mwenyewe ni mmojawapo wa fisadi la ccm, then unakuja kuwachora watu humu watasema nini.
 
Pamoja na Kwamba CCM imechoka ikachokwa na kuchokekana Lakin wapo baadhi ya vijana na wazee wenye uwezo wa kuongoza japo ni wachache tutajie unao Ona wamebaki mi orodha yangu ni hii
1. Prof Mussa Assad
2. …………..
Zamani mmoja akioza..!?
 
Ccm ni Moja ya chama Cha siasa kizuri sana, itikadi zake na imani. Na Katiba za vyama vya Upinzani zimekuwa originated kutoka Katiba ya ccm. Inakosa watu wa kuongoza ccm
Sio kweli Vyama vya Upinzani Vina KATIBA zao tofauti na CCM Cdm wanataka Serikali ya Majimbo Ccm nayo inataka?
 
pumzi ya ccm iliyobakia ni;
1. mapolisi ccm
2. tume ya 'uchafuzi' sorry, ya uchaguzi
3. watu wale wa 'jumba jeupe'
 
Pamoja na Kwamba CCM imechoka ikachokwa na kuchokekana Lakin wapo baadhi ya vijana na wazee wenye uwezo wa kuongoza japo ni wachache tutajie unao Ona wamebaki mi orodha yangu ni hii
1. Prof Mussa Assad
2. …………..


Kuna watu watashangazwa sana na siasa za tanzania ifikapo 2025

Mungu ibariki Tanzania
 
Kama chama hakuna mtu..wamebaki polisi tu ndo wanaongoza siku hizi
 
Back
Top Bottom