Uchaguzi 2020 CCM imechokwa na Watanzania tuache utani kabisa

Uchaguzi 2020 CCM imechokwa na Watanzania tuache utani kabisa

Ccm ingekuwa inakufa unadhani viongozi wenu matata wangehamia ccm kwenda kumuunga mkono Magufuli..isingetokea..ungesema chadema inakufa sababu viongozi wengi wameihama ningekuelewa..au ume confuse jombaa..!! Narudia tena..asilimia 90ya watanzania wapo nyuma ya Magufuli..wewe na mmeo na watoto ndio labda mpo kwenye asilimia 10iliyobaki..hapo mnajiona kama mko weeeengi vile..eti eeh..!! Hahahah
Kwani kuna mtu asiyejua kuwa mnawanunua kwa pesa za walipa kodi!
 
Ccm ingekuwa inakufa unadhani viongozi wenu matata wangehamia ccm kwenda kumuunga mkono Magufuli..isingetokea..ungesema chadema inakufa sababu viongozi wengi wameihama ningekuelewa..au ume confuse jombaa..!! Narudia tena..asilimia 90ya watanzania wapo nyuma ya Magufuli..wewe na mmeo na watoto ndio labda mpo kwenye asilimia 10iliyobaki..hapo mnajiona kama mko weeeengi vile..eti eeh..!! Hahahah
Safari hii pesa zote za Nchi mtamkabidhi Kamanda Siro la sivyo mtakuwa ktk vitabu vya historia.
 
Takwimu zinasema mpaka sasa asilimia 90ya wananchi wapo nyuma ya Magufuli..nyie mliobaki asilimia 5 hamna impact..endeleeni kutapatapa..asilimia 5 iliyobaki hawapo popote..wao wanataka mazingira bora tu ya kilimo, pembejeo, bei nzuri za mazao, of which serikali hii ndio inatekeleza...sijui upo..! Umebaki kulialia kama mama mjamzito..hahahah
Twakimu zipi twaweza au nimejaribu kupitia comment zilizopo ziko kama 66 lakini 2 tu ndo zakuunga mkono juhudi za Magufuri zingine zote zimechoka
 
Twakimu zipi twaweza au nimejaribu kupitia comment zilizopo ziko kama 66 lakini 2 tu ndo zakuunga mkono juhudi za Magufuri zingine zote zimechoka
Hiyo ndiyo hali halisi Mkuu, na ndiyo maana hii CCM imatumia nguvu kubwa sana ili isianguke. Lakini bahati mbaya is too late. CAG Anatoa ripoti ya Upotevu wa 1.5 Trilion CCM wanapita ktk Majukwaa kuipingaa, sasa ukiangalia wanaoipinga hata kusoma na kuandika vizuri hawajui. Haya ni maajabu ya karne, Ati Wanawatuma Akina Musiba na wajinga wa dizain hizo kuja kukanusha kwa maneno maneno tu. Nasema CCM Ilishakata Roho, Ni ya kufukia tu
 
Ni kweli CCM imeongoza mda mrefu na imechoka, lakini ni chama gani mbadala kinaweza kuongoza nchi?? Dr slaa ambaye alipendwa chadema alitoka CCM, Lowasa wa mabadiliko alitoka CCM, akina sumaye, nyalandu, nk.... CCM ni dubwana kubwa!! Unaweza kukuta mashinji na zitto wote ni CCM

Pili, vyama vya upinzani havijajijenga kitaasisi, ukiangalia cuf ni kama chama cha waisilamu wa pwani, CHADEMA ni wachaga wa kaskazini toka miaka ya 90s mwenyekiti ni yule yule mchaga... viongozi waandamizi akina sumaye, lema, selasini, nk. Ukija kwa vijana akina malisa, ben saanane nk wote wachaga wa kaskazini.... vyama vya upinzani vinaonekana kuwa vya watu binafsi kuliko taasisi

Tatu, sera za upinzani hazipo wazi, haijulikani wanapigania nini hasa, wao ni kudandia hoja kwa juu na kutukana. CCM Wanamtumia makonda kuwachezesha muziki CDM. Makonda haishi vituko, chadema nao wanakazana kucheza nae, wanapoteza mda wa vitu vya msingi vya kupigania....

Nne, muundo wa upinzani upo hasa mijini, hawajashuka hadi kwenye ngazi ya shina kama ilivyo CCM. leo hii chadema kukuta wana ofisi kwenye kata tu ni mtihani.... wao wanasubir uchaguz waandamane....

Mwisho. Upinzani na CCM ni watu walewale, wapo kwa ajili ya matumbo yao.... wao ni wanasiasa na siasa kwao ni kazi kama kazi zingine... mabadiliko ya kweli yataanzia kwa mwananchi mmoja mmoja kujitambua, kufanya kazi kwa bidii na kuwa wabunifu.

"Mimi nang'atuka lakini naendelea kuamini kwamba, bila CCM imara nchi yetu itayumba." Mwalimu jk Nyerere
 
Mwaka 2015 nilimpa kura jiwe, ila kwa mambo yanavyoenda Kuna wakati nawaza malaika washuke waje wamchukue jiwe wamrudishe mengi
 
Kama siyo mbinu ya JPM Kupiga Marufuku mikutano ya kisiasa tangu Alipoingia Madarakani, sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa, Nina Imani hata kitendo cha kuvunja katiba ya Nchi makusudi ni baada ya Kuona CCM ilivyozidiwa ktk Kampeni za Uraisi, 2015. Binafsi Mimi siyo mfuasi wa Chama chochote cha siasa, ila Mmi ni Mtanzania ninayependa sana Nchi yangu. Lakini kutokana na Chama hiki kushinwa kabisa kuwa na mbinu za kuwaletea Maendeleo Watanzania, niseme tu ukweli, ninatamani hiki chama kipumzishwe na tukikabidhi kazi chama kingine chochote cha siasa labda tunaweza kuona tofauti. Kwa sababu kwa CCM iliyopo ambayo imeshachoka kabisa, hata tungewapa tena miaka 50, bado tutadidimia tu, hawana jipya tena.

Kwanza tu mjue, Viongozi wengi wanaotuongoza Kutoka CCM ni wazee na wengi ni wagonjwa. Ushahidi ni wakati wa Yule babu wa Loliondo alipoamua Kugawa dawa yake maarufu Kama Kikombe cha Babu. Tulishuhudia jinsi Viongozi wetu walivyomiminika kugombea kikombe. bahati mbaya kile kikombe kilikuwa ni Tiba feki, kwa hiyo Mkae mkijua wale watu bado wanaumwa tena kwa sasa maradhi ndiyo yamekomaa, Mtu yeyote anayeumwa Mara nyingi huwa na msongo wa mawazo na Mara nyingi huwa hutumia fikra na akili zake zote kufikiri juu ya hatma ya Maradhi yake, Kwa hiyo tusitegemee lolote jipya juu ya hawa watu, ila inatakiwa tuwasaidie kuwaambia Wapumzike Wameshatutumikia vya kutosha, sasa ni Muda wetu kuwatunza.

Sababu kubwa ya JPM Kuangusha uchumi wa Nchi ni kutumia nguvu na Raslimali nyingi sana kuhakikisha anavunja nguvu ya Upinzani, badala ya Kuongoza Nchi yeye akaamua kudeal na Wapinzani. Kumbe alitakiwa tu kupiga mahesabu ya kawaida na apate majibu ya ni kwanini ni vigumu sana kuua upinzani. Matokeo yake ilipokuja ripoti ya CAG ikaonekana Tsh, 1.5 Trilion hakuna na Matumizi yake hayajulikani. Raisi mwenyewe Hiyo ripoti ilimuumiza sana, kwa sababu ninavyomjua Mimi huyu JPM ni mtu mwaminifu sana. Nina Imani alipojaribu kuwauliza watu wake walimwambia kuwa Hii 1.5 trillion ndiyo gharama ya Kukilinda Chama.

Gharama ya kuilinda CCM kwa sasa ni kubwa kuliko bajeti ya wizara yoyote ktk Nchi hii, kwa sababu kila mtu anajua, CCM Haina jipya na Muda wake umepita, CCM ya Sasa Bila Polisi haiwezi kupata hata 15% ya kura halali ktk uwanja wa Haki wa Kidemokrasia, Kamanda Siro huu ndiyo Muda wake halali kabisa kutajirika pamoja na Maafisa wake wa ngazi za juu, Ingekuwa Mimi ndiyo Kamanda Siro sasa hivi ningekuwa tajiri Mkubwa katika matajiri wa nchi hii. Potelea mbali.

Ikiwa vyama vya siasa vimezuwiwa kufanya mikutano kwa miaka 5 kinyume kabisa cha Sheria ya Nchi yetu, na wakati huo huo CCM pekee ndiyo wanaruhusiwa kufanya mikutano na ikiwa Tv, Redio na magazeti karibu yote yanaiimbia CCM pambio na bado watu hawaelewi na hawataki kabisa kusikia CCM, ni Matokeo ya kwamba, Sikio limeshakufa, hata utie ubani kiasi gani lazima harufu itatoka tu.

Rai yangu, kwa Wahusika wote wa CCM, Nguvu Mnayoitumia kukilinda hiki Chama Cha Wazee ambacho kimeshakufa,Ni bora mkatumia fedha hizo kwa kuwekeza ktk miradi ya maendeleo kwa Mustakabali wa Uzee wenu.
Mungu akuepushe na vitu vyenye ncha kali , Amina
 
Kila Uchaguzi unapofika CCM wamezoea kuvunja Benki kuu na Kukwapua pesa kwa ajili ya kuhonga. Msifikiri tumesahau sarakasi mlizofanya za kujifanya Gavana wetu Balali ati amefarik wakati Jamaa anadunda Mitaani mpaka Leo, tukiwaambia CCM ni Wakala wa Shetani mnakataa. Ipo Siku Tu. Na wote mnaohusika na huu wizi wa pesa za wananchi ili mradi mbaki kuwa Madarakani na huku mkiwaacha Wananchi wakitaabika ktk Nchi Yao Mungu aliyoijalia Asali na Maziwa mtalipa tu,
 
Mungu akuepushe na vitu vyenye ncha kali , Amina
Mkuu tukiogopa kufa kwa kuitetea Nchi yetu Tutakuwa tunafanya Dhambi kubwa. Mbona CAG yeye Haogopi kufa?, hivi Unaijua Vita ya CAG na Huu Wizi wa CCM ilivyo kubwa?, na Swali langu, je Kati yetu kuna Atakayeishi Milele?. Kwa hiyo ni wajibu wetu kuhakikisha tunaisimamia haki hapa Duniani. CCM wameshaikongoroa hii Nchi imebaki mifupa, Wananchi wanaojitambua wameshawachoka lakini wao wanalazimisha kuwatawala. Hivi Mwl Nyerere yeye hakuogopa kufa?, je Bila Nyerere tungepata huu Uhuru?. Tunataka Haki kwa kila mtu ktk Nchi hii, CCM haiwezi tena Hata tufanyaje, haiwezi.
 
Wananchi walitaka kuunda Katiba mpya ya jiinsi wanavyotaka Nchi Yao iendeshwe hawa CCM wakaivuruga hadi kufikia hatua ya kumpiga Waziri wetu Mkuu Warioba. CCM Hawataki kabisa Jambo lolote jema litokee ktk Nchi Hii, na Najua kabisa 80% ya CCM wenyewe hawapendezwi na jinsi mambo yanavyokwenda ktk Nchi hii, ila kuna kikundi kidogo sana ndani ya chama ambao ndio wanufaika wakuu wa Udhalimu huu wanaofanyiwa Watanzania wenzetu na hawa ndio wanaoitafuna hii Nchi. Hawatakaa watosheke. Ndiyo maana wako tayari hata kuwapiganisha Vita Watanzania ili mradi tu wao waendelee kufaidii. Hawajali chochote.
 
wewe ndiyo umeichoka ccm.sisi tunaipenda ccm muda wote,inatekeleza ahadi zake kwa vitendo.watu wajinga kama wewe wanaichukia ccm
 
Mkuu Mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa na sitarajii kuwa mwanachama wa chama chochote, Mimi ni Mtanzania mwenye Mapenzi makubwa Na nchi yangu. Nina shauku ya kuona Nchi yangu ikipiga maendeleo ili watu waishi maisha mazuri Kama nchi nyingine zinazojitambua duniani. Lakini, hatuwezi kufanya maendeleo yoyote bila kwanza kuiondoa hii Cansa CCM
Tumia akili wala basi braza..eleza mambo kama mtu unayejitambua..uiondoe ccm uweke chama kipi..sasa..maana huwezi kutuingiza mkenge halaf unatuacha hewani mzee, tutakunyonya macho yako...usizungumze vitu kwa ushabiki..hii forum sio saizi yako..nahisi bado unasoma shule wewe..,, you are a minor..my friend..
 
Hujielewi wewe, sasa fisadi ni nani? Tangu Nchi hii iumbwe hakujawahi kutokea upotevu mkubwa wa pesa kiasi hiki cha 1.5 Trilion, na nyie mnaotetea huu wizi inaonekana ndiyo wanufaika wakuu, mtuondokee salama mtuachie Tanzania yetu
Hahahaha huu wizi nani kausema..CAG alishasema hakuna wizi, sasa wewe ni nani kusema hivyo..fuatilieni mauwizi kwenye mavyama yenu ya mabilioni ya fedha..haya walau CAG ameyatamka kuwa ni ufisadi..msioneane aibu kamanda..ndio maisha yalivyo
 
Ningekuwa na nafasi Kama ya Siro, haki ya Mungu CCM wangenikoma. Yaani ingekuwa nipe nikupe, ningehakikish Mimi na jamaa wa jamaa zangu na mpaka vitukuu tunakuwa matajiri. Maana Siro akiamua hata kesho CCM ifutike inafutika.no way
Hawez yy mwenyewe anasubir uteuz
 
Wakati dai la kuchokwa CCM (labda pengine unamaanisha kiongozi/viongozi wake) huko pengine ndio hovyo kabisa. Hakuna utaratibu mahususi wa kupata viongozi unaojulikana zaidi ya kuona kuna dalili na viashiria vya ukand au udini au Kuna Wenyeviti maalum na Viongozi maalum)

So bado tuna mwendo mrefu wa kufikia tunachokihitaji mpaka kukifukia.

Utaratibu wa ccm ndio ambao Magufuli alipata kura 100% bila hata kura moja kumkataa au kuharibika.
 
Ni kweli CCM imechokwa lakini bado hakijatokea Chan's mbadala ndio maana CCM itaendelea kushinda. Chadema imejaa waizi na fisadi kama akina Mbowe na ukanda zaidi. Nafasi muhimu za chama wanapewa wachagaa tuu. CUF nayo ilijaa udini nafasi zote za juu zilishikwa na waislam na ndio maana ilikuwa chaguo la watu wa Zanzibar na pwani . ACT nayo inaeekea itaenda kurithi Yale yaliyokuwa ni ya CUF. ACT itajikita kwenye uislam zaidi hivyo kupoteza mvuto. Vyama vingine vya upinzani ni kama havipo. Chama mbadala kitapopatikana chenye kulenga makundi yote bila kuwa na maslahi ya ukanda, ukabila, udini na harufu za ufisadi ndio kutakuwa na uwezo wa kuiondoa CCM madarakani. Mimi nilisimamia uchaguzi kituo kimoja mwaka 2015 CCM ilishinda asubuhi mapema. Kwahiyo bado chama mbadala hakijapatikana
Kama siyo mbinu ya JPM Kupiga Marufuku mikutano ya kisiasa tangu Alipoingia Madarakani, sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa, Nina Imani hata kitendo cha kuvunja katiba ya Nchi makusudi ni baada ya Kuona CCM ilivyozidiwa ktk Kampeni za Uraisi, 2015. Binafsi Mimi siyo mfuasi wa Chama chochote cha siasa, ila Mmi ni Mtanzania ninayependa sana Nchi yangu.

Lakini kutokana na Chama hiki kushinwa kabisa kuwa na mbinu za kuwaletea Maendeleo Watanzania, niseme tu ukweli, ninatamani hiki chama kipumzishwe na tukikabidhi kazi chama kingine chochote cha siasa labda tunaweza kuona tofauti. Kwa sababu kwa CCM iliyopo ambayo imeshachoka kabisa, hata tungewapa tena miaka 50, bado tutadidimia tu, hawana jipya tena.

Kwanza tu mjue, Viongozi wengi wanaotuongoza Kutoka CCM ni wazee na wengi ni wagonjwa. Ushahidi ni wakati wa Yule babu wa Loliondo alipoamua Kugawa dawa yake maarufu Kama Kikombe cha Babu. Tulishuhudia jinsi Viongozi wetu walivyomiminika kugombea kikombe. bahati mbaya kile kikombe kilikuwa ni Tiba feki, kwa hiyo Mkae mkijua wale watu bado wanaumwa tena kwa sasa maradhi ndiyo yamekomaa, Mtu yeyote anayeumwa Mara nyingi huwa na msongo wa mawazo na Mara nyingi huwa hutumia fikra na akili zake zote kufikiri juu ya hatma ya Maradhi yake, Kwa hiyo tusitegemee lolote jipya juu ya hawa watu, ila inatakiwa tuwasaidie kuwaambia Wapumzike Wameshatutumikia vya kutosha, sasa ni Muda wetu kuwatunza.

Sababu kubwa ya JPM Kuangusha uchumi wa Nchi ni kutumia nguvu na Raslimali nyingi sana kuhakikisha anavunja nguvu ya Upinzani, badala ya Kuongoza Nchi yeye akaamua kudeal na Wapinzani. Kumbe alitakiwa tu kupiga mahesabu ya kawaida na apate majibu ya ni kwanini ni vigumu sana kuua upinzani. Matokeo yake ilipokuja ripoti ya CAG ikaonekana Tsh, 1.5 Trilion hakuna na Matumizi yake hayajulikani. Raisi mwenyewe Hiyo ripoti ilimuumiza sana, kwa sababu ninavyomjua Mimi huyu JPM ni mtu mwaminifu sana. Nina Imani alipojaribu kuwauliza watu wake walimwambia kuwa Hii 1.5 trillion ndiyo gharama ya Kukilinda Chama.

Gharama ya kuilinda CCM kwa sasa ni kubwa kuliko bajeti ya wizara yoyote ktk Nchi hii, kwa sababu kila mtu anajua, CCM Haina jipya na Muda wake umepita, CCM ya Sasa Bila Polisi haiwezi kupata hata 15% ya kura halali ktk uwanja wa Haki wa Kidemokrasia, Kamanda Siro huu ndiyo Muda wake halali kabisa kutajirika pamoja na Maafisa wake wa ngazi za juu, Ingekuwa Mimi ndiyo Kamanda Siro sasa hivi ningekuwa tajiri Mkubwa katika matajiri wa nchi hii. Potelea mbali.

Ikiwa vyama vya siasa vimezuwiwa kufanya mikutano kwa miaka 5 kinyume kabisa cha Sheria ya Nchi yetu, na wakati huo huo CCM pekee ndiyo wanaruhusiwa kufanya mikutano na ikiwa Tv, Redio na magazeti karibu yote yanaiimbia CCM pambio na bado watu hawaelewi na hawataki kabisa kusikia CCM, ni Matokeo ya kwamba, Sikio limeshakufa, hata utie ubani kiasi gani lazima harufu itatoka tu.

Rai yangu, kwa Wahusika wote wa CCM, Nguvu Mnayoitumia kukilinda hiki Chama Cha Wazee ambacho kimeshakufa,Ni bora mkatumia fedha hizo kwa kuwekeza ktk miradi ya maendeleo kwa Mustakabali wa Uzee wenu.
 
Mimi huwa nachanganyikiwaga hapo.ccm inawanachama chini ya 14m.watanzania tupo over 59m.yaani inakuwaje mtu mmoja from kikundi cha watu wachache,avuruge utaratibu tuliokubaliana kama taifa kwa faida ya kikundi chake harafu sisi tumekaa tu tunamuangalia,Je sisi ni watu kweli?
To begin with, ccm hawana idadi hiyo ya wanachama, otherwise, utupe ushahidi. Wanachama wao kama ni wengi hawazidi 4 million na 80% ya hao ni wanachama wafu.

Pili, watanzania kama tuko 59 million, ujue hiyo idadi ni pamoja na watoto wanaopakatwa na woote under 18 years ambao wanaweza wakafika hata 30 million.
 
Wakati dai la kuchokwa CCM (labda pengine unamaanisha kiongozi/viongozi wake) huko pengine ndio hovyo kabisa. Hakuna utaratibu mahususi wa kupata viongozi unaojulikana zaidi ya kuona kuna dalili na viashiria vya ukand au udini au Kuna Wenyeviti maalum na Viongozi maalum)

So bado tuna mwendo mrefu wa kufikia tunachokihitaji mpaka kukifukia.
Kwel kabisa magamba na mwenyekit wao yamebaki kupeana vyeo mfano igp, judge mkuu, mkuu was majeshi, pamoja na mawazir wengi wrote in ukanda na ukabila aisee ngoja sisi kanda ya ziwa tuinjoi.hahahaaaa Lumumba kwa buku7 kama nguruwe alie kwenye shamba la miwa.
 
Back
Top Bottom