CCM imegawanyika; CHADEMA wajifunze kutoka Zambia. Mbowe ampishe Tundu Lissu Uenyekiti

CCM imegawanyika; CHADEMA wajifunze kutoka Zambia. Mbowe ampishe Tundu Lissu Uenyekiti

Chadema haina cha kujifunza kutoka Zambia. Zambia wana Tume huru ya uchaguzi ná polisi wao hawaingilii uchaguzi kufanya uhuni. Tukiwa na Tume huru ya uchaguzi na polisiccm wakikaa pembeni basi ccm hawana chao nchi hii.
CCM hua wanajifanya hawaoni hilo wakiwa wanajaribu ku justify ujinga wao.
 
Mbowe ampe mpuuzi kuongoza chadema! Unaumwa si bure
 
yaani mwenyekiti wa chama awe lisu ambaye anakula maisha ughaibuni?
hili litakuwa kosa jingine kwa upinzani. Bora hata huyu anaepambana akiwa nyumbani bila kujali anawekwa ndani ama la.
CCM mpeni uenyekiti Cyprian Musiba,katibu mkuu Ole Sabaya na Katibu mwenezi Steve Nyerere.
 
Kama chadema kipindi cha magufuli wangekuwa naye bega kwa bega na kumunga mkono na kuficha chuki zao kwake naamini 2025 wangepata viti vingi sana, maana kuna wengine wapo ccm lakini mama hawamuelewi wanati ata kiwe na chama kipya cha upinzani chenye ushawisi.
 
Kama chadema kipindi cha magufuli wangekuwa naye bega kwa bega na kumunga mkono na kuficha chuki zao kwake naamini 2025 wangepata viti vingi sana, maana kuna wengine wapo ccm lakini mama hawamuelewi wanati ata kiwe na chama kipya cha upinzani chenye ushawisi.
Ulitaka CHADEMA wafanye shughuli zao kwa hisani ya Magufuli na siyo kwa mujibu wa katiba ?

Wangemuunga mkono wewe ndiyo ungepinga sera mbovu za ccm ?
 
Acha umbeya, CCM ni taasisi, subiri uone inavyosiamamia nchi kikomavu...Ukiiacha China Communist Party, inafuatia CCM kwenye uimara wa taasisi kwenye uniqueness in democracy duniani.
 
Acha umbeya, CCM ni taasisi, subiri uone inavyosiamamia nchi kikomavu...Ukiiacha China Communist Party, inafuatia CCM kwenye uimara wa taasisi kwenye uniqueness in democracy duniani ...
Ukisema taasisi haina maana kuwa haiwezi kuondoka madarakani?

Pia ukisema kuwa CCM yaendeleza demokrasia ambayo ni "unique" ni pi hiyo?

Maana wachina pamoja na kuwa wakomunisti lakini China iko mbali za kwa kila kitu.
 
Chadema haina cha kujifunza kutoka Zambia. Zambia wana Tume huru ya uchaguzi ná polisi wao hawaingilii uchaguzi kufanya uhuni. Tukiwa na Tume huru ya uchaguzi na polisiccm wakikaa pembeni basi ccm hawana chao nchi hii.
Njia mojawapo na kuondoa hayo matatizo makubwa mawili ni kutumia stratejia nzuri, siasa, ushawishi na kuhakikisha bungeni wapo wabunge wengi wa upinzani.

Mmemsikia Chongolo akisema, " kwani wananchi wametoka barabarani kudai katiba mpya?"

Unless wapinzani wote ni "CCM light".
 
UPUUZI MTUPU! Siku ukitia akili kichwani utaelewa tu. Kwa hiyo kama Watanzania hawajatoka barabarani basi wameridhika na hii Serikali haramu ambayo imeshindwa kufanya lolote lile la maana ili kupandisha viwango vya maisha ya Watanzania.
Njia mojawapo na kuondoa hayo matatizo makubwa mawili ni kutumia stratejia nzuri, siasa, ushawishi na kuhakikisha bungeni wapo wabunge wengi wa upinzani.

Mmemsikia Chongolo akisema, " kwani wananchi wametoka barabarani kudai katiba mpya?"

Unless wapinzani wote ni "CCM light".
 
UPUUZI MTUPU! Siku ukitia akili kichwani utaelewa tu. Kwa hiyo kama Watanzania hawajatoka barabarani basi wameridhika na hii Serikali haramu ambayo imeshindwa kufanya lolote lile la maana ili kupandisha viwango vya maisha ya Watanzania.

They don't get it, do they?

CCM haina nia ya kukubali madai ya katiba mpya wanachofanya ni "delay tactics".

Na tukisema katiba mpya ni too extreme, twapaswa kusema tunahitaji kura ya maoni.

Zambia walifanya kura za maoni mara mbili mwaka 1969 na 2016 ili kufanya marekebisho kwenye katiba.

Lakini huwezi kusema wataka katiba mpya kabisa hilo ni ngumu.
 
Mgombea wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya kura za awali katika uhcguzi mkuu.

Hakainde alionyesha kuongoza siku ya jana huku chama chake cha UPND kikikusanya kura katika majimbo mengi nchini humo.

Raisi alieko madarakani Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 64 tayari amelalamika kwamba uchaguzi huo hauko huru na wa haki.

Mgombea Hichilema amewaambia wazambia kuwa wapuuze kauli hizo za raisi Lungu na kwamba huu ndo wakati mwafaka kwa wazambia kuungana na kuimarisha umoja.

Lakini moja ya sababu kubwa ya kura nyingi kwenda kwa bwana Hichilema ni ukosefu wa ajira nchini humo miongoni mwa vijana ambao ndo nguvukazi ambayo serikali imeshindwa kuitumia katika kuijenga Zambia kiuchumi.

Kwa mujibu wa takwimu kutoka tume ya Uchaguzi ya Zambia vijana wengi walojiandikisha kupira kura wana umri wa miaka 34 kwenda chini.

Katika uchaguzi wa mwaka 2016 bwana Hichilema alishindwa na hata baadae kutumiwa vikosi vya usalama nyumbani kwake baada ya kutangaza kuwa matokeo ya uchaguzi ule yalichakachuliwa.

Safari hii wapiga kura wamejitokeza kwa wingi kupita maelezo na wote wameazimia kumpa kura bwana Hichilema mwenye umri wa miaka 59.

Hichilema anajielezea katika video zake Youtube kuwa ni mtoto wa maskini, na amekwenda shule bila viatu hadi kufikia chuo kikuu.

Kitaaluma bwana Hichilema ni mhasibu na alikuwa afisa mtendaji mkuu katika kapuni yake mwenyewe ya uhasibu kabla ya kufikria kuingia kwenye ulingo wa siasa.

Sera za bwana Hichilema ni kutaka kuimarisha uchumi wa nchi hiyo na kuimarisha soko la ajira ambalo limeathiri vijana wengi.

Matatizo yanayoikabili Zambia yanafanana kwa kiasi kikubwa na matatizo ya Tanzania, vitendo vya rushwa, ufisadi, matumizi mabaya ya fedha, maendeleo duni mijini, mazingira mabovu ya biashara na uwekezaji, deni la taifa na mengine lukuki.

CCM ndicho chama kinachoongoza serikali na mpaka sasa kila ishara iko wazi kuwa CCM imegawanyika katika makundi zaidi ya moja.

Miaka mitano imepita tumesikia kuwa CCM iligawanyika kati ya kundi linalojiita CCM asili na CCM mpya, na sasa tunasikia kauli tofautitofauti na zinazokinzana kutoka kwa wanachama waandamizi wa chama hicho.

Pia hata gazeti maarifu linalomilikiwa na chama hicho gazeti la UHURU nalo limetumika katika malumbano yanoendela ndani ya chama hicho na kwa kuandika vichwa vya habari kumhusu mwenyekiti wake na kuzusha fataki ndani ya chama hicho.

Kama si umakini wa wazee wa chama hichi kikongwe kuingilia kati na kumtuma katibu mkuu wake bwana Daniel Songoro kwenda kuzawazisha mambo, basi hali ingeendelea kuwa tete hadi leo hii.

Songoro bado hajajibu masuali makuu mawili kwanza, je CCM imegawanyika au la, na pili je CCM ina msimamo upi wa pamoja kama chama kuhusiana na chanjo ya UVUKO-19 kwa,mba ni lazima watanzania wachanjwe au chanjo hiyo ni hiari?

Mgawanyiko huu ndo ilikuwa nafasi ya pekee kwa chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi ujao wa 2025.

Badala yake si viongozi wake wakuu katibu mkuu, wala uenezi ambae amejitokeza kuonyesha angalau Chadema imeanza kujenga stratejia ya ushindi.

Chadema kinahitaji kujindaa kwelikweli na kama kweli chama hiki kina dhamira ya kweli ya kushika dola, basi kina wajibu wa kuachana na siasa za matukio na kujikita katika kujenga hoja zenye tija ili kujijengea imani kwa wapiga kura.

Suala la mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuwa na kesi ya ugaidi inayoendelea mahakamani lisiwe sababu ya Chadema kama chama ambacho kina miaka 29 sasa kwenye ulingo wa siasa za vyama vingi kukosa mwelelekeo na kuonekana hakina mikakati.

Huu ndo ulikuwa wakati wa makamu mwenyekiti Tundu Lissu kuwa mastari wa mbele kukiongoza chama hicho na pengine kupewa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ili akiandane uzuri chama kwa uchaguzi ujao.

Ni maoni yangu binafsi kuwa Tundu Lissu kwa sasa amejifunza kuwa mwanasiasa badala ya mwanaharakati na kwa uwezo wake, ujasiri wake na kauli zake ambazo atakuwa sasa amefahamu namna ya kuzipanga uzuri, anafaa kabisa kuwa mwenyekiti wa Chadema.

Ni wakti sasa kwa Tundu Lissu kurudi nyumbani Tanzania na kuanza kazi ambayo nadhani bado hajaimaliza.

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina budi sasa kujifunza kutoka Zambia na Malawio kuwa kuna wakati wananchi wanaamua kuwa chama kilichopo madarakani kimefikia tamati na wanataka chaama mbadala.

Serikali ina wajibu wa kuhakikisha maisha ya Tundu Lissu yanalindwa na wale wote wasio na nia njema kwake na anasimama kwa uhuru katika jukwaa la kisiasa.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti wa Chadema taifa atakipanga chama atakavyoona yeye inafaa, kuteua timu yake ambayo ina watu makini na kutengeneza sera na ilani mpya ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.

Kama raisi wa Malawi Chikwera na mgombea wa sasa wa uraisi Zambia bwana Hakainde Hichilema waliweza, sioni tatizo Chadema washindwe uchaguzi wa 2025.

Mgombea wa chama cha upinzani akipata kura za kutosha na watu wakijitokeza kwa wingi kama walivyofanya Zambia kiasi cha tume ya Uchaguzi ya Zambia kutia akili kuwa Hichilema anashinda kwa kura za kutosha.
Siyo Tanzania
 
Mgombea wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema anaongoza katika matokeo ya kura za awali katika uhcguzi mkuu.

Hakainde alionyesha kuongoza siku ya jana huku chama chake cha UPND kikikusanya kura katika majimbo mengi nchini humo.

Raisi alieko madarakani Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 64 tayari amelalamika kwamba uchaguzi huo hauko huru na wa haki.

Mgombea Hichilema amewaambia wazambia kuwa wapuuze kauli hizo za raisi Lungu na kwamba huu ndo wakati mwafaka kwa wazambia kuungana na kuimarisha umoja.

Lakini moja ya sababu kubwa ya kura nyingi kwenda kwa bwana Hichilema ni ukosefu wa ajira nchini humo miongoni mwa vijana ambao ndo nguvukazi ambayo serikali imeshindwa kuitumia katika kuijenga Zambia kiuchumi.

Kwa mujibu wa takwimu kutoka tume ya Uchaguzi ya Zambia vijana wengi walojiandikisha kupira kura wana umri wa miaka 34 kwenda chini.

Katika uchaguzi wa mwaka 2016 bwana Hichilema alishindwa na hata baadae kutumiwa vikosi vya usalama nyumbani kwake baada ya kutangaza kuwa matokeo ya uchaguzi ule yalichakachuliwa.

Safari hii wapiga kura wamejitokeza kwa wingi kupita maelezo na wote wameazimia kumpa kura bwana Hichilema mwenye umri wa miaka 59.

Hichilema anajielezea katika video zake Youtube kuwa ni mtoto wa maskini, na amekwenda shule bila viatu hadi kufikia chuo kikuu.

Kitaaluma bwana Hichilema ni mhasibu na alikuwa afisa mtendaji mkuu katika kapuni yake mwenyewe ya uhasibu kabla ya kufikria kuingia kwenye ulingo wa siasa.

Sera za bwana Hichilema ni kutaka kuimarisha uchumi wa nchi hiyo na kuimarisha soko la ajira ambalo limeathiri vijana wengi.

Matatizo yanayoikabili Zambia yanafanana kwa kiasi kikubwa na matatizo ya Tanzania, vitendo vya rushwa, ufisadi, matumizi mabaya ya fedha, maendeleo duni mijini, mazingira mabovu ya biashara na uwekezaji, deni la taifa na mengine lukuki.

CCM ndicho chama kinachoongoza serikali na mpaka sasa kila ishara iko wazi kuwa CCM imegawanyika katika makundi zaidi ya moja.

Miaka mitano imepita tumesikia kuwa CCM iligawanyika kati ya kundi linalojiita CCM asili na CCM mpya, na sasa tunasikia kauli tofautitofauti na zinazokinzana kutoka kwa wanachama waandamizi wa chama hicho.

Pia hata gazeti maarifu linalomilikiwa na chama hicho gazeti la UHURU nalo limetumika katika malumbano yanoendela ndani ya chama hicho na kwa kuandika vichwa vya habari kumhusu mwenyekiti wake na kuzusha fataki ndani ya chama hicho.

Kama si umakini wa wazee wa chama hichi kikongwe kuingilia kati na kumtuma katibu mkuu wake bwana Daniel Songoro kwenda kuzawazisha mambo, basi hali ingeendelea kuwa tete hadi leo hii.

Songoro bado hajajibu masuali makuu mawili kwanza, je CCM imegawanyika au la, na pili je CCM ina msimamo upi wa pamoja kama chama kuhusiana na chanjo ya UVUKO-19 kwa,mba ni lazima watanzania wachanjwe au chanjo hiyo ni hiari?

Mgawanyiko huu ndo ilikuwa nafasi ya pekee kwa chama kikuu cha upinzani cha Chadema kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi katika uchaguzi ujao wa 2025.

Badala yake si viongozi wake wakuu katibu mkuu, wala uenezi ambae amejitokeza kuonyesha angalau Chadema imeanza kujenga stratejia ya ushindi.

Chadema kinahitaji kujindaa kwelikweli na kama kweli chama hiki kina dhamira ya kweli ya kushika dola, basi kina wajibu wa kuachana na siasa za matukio na kujikita katika kujenga hoja zenye tija ili kujijengea imani kwa wapiga kura.

Suala la mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe kuwa na kesi ya ugaidi inayoendelea mahakamani lisiwe sababu ya Chadema kama chama ambacho kina miaka 29 sasa kwenye ulingo wa siasa za vyama vingi kukosa mwelelekeo na kuonekana hakina mikakati.

Huu ndo ulikuwa wakati wa makamu mwenyekiti Tundu Lissu kuwa mastari wa mbele kukiongoza chama hicho na pengine kupewa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho ili akiandane uzuri chama kwa uchaguzi ujao.

Ni maoni yangu binafsi kuwa Tundu Lissu kwa sasa amejifunza kuwa mwanasiasa badala ya mwanaharakati na kwa uwezo wake, ujasiri wake na kauli zake ambazo atakuwa sasa amefahamu namna ya kuzipanga uzuri, anafaa kabisa kuwa mwenyekiti wa Chadema.

Ni wakti sasa kwa Tundu Lissu kurudi nyumbani Tanzania na kuanza kazi ambayo nadhani bado hajaimaliza.

Vyombo vyote vya ulinzi na usalama havina budi sasa kujifunza kutoka Zambia na Malawio kuwa kuna wakati wananchi wanaamua kuwa chama kilichopo madarakani kimefikia tamati na wanataka chaama mbadala.

Serikali ina wajibu wa kuhakikisha maisha ya Tundu Lissu yanalindwa na wale wote wasio na nia njema kwake na anasimama kwa uhuru katika jukwaa la kisiasa.

Tundu Lissu akiwa mwenyekiti wa Chadema taifa atakipanga chama atakavyoona yeye inafaa, kuteua timu yake ambayo ina watu makini na kutengeneza sera na ilani mpya ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi wa 2025.

Kama raisi wa Malawi Chikwera na mgombea wa sasa wa uraisi Zambia bwana Hakainde Hichilema waliweza, sioni tatizo Chadema washindwe uchaguzi wa 2025.

Mgombea wa chama cha upinzani akipata kura za kutosha na watu wakijitokeza kwa wingi kama walivyofanya Zambia kiasi cha tume ya Uchaguzi ya Zambia kutia akili kuwa Hichilema anashinda kwa kura za kutosha.
2025 hawatoki

IMG_0062.jpg
 
Acha umbeya, CCM ni taasisi, subiri uone inavyosiamamia nchi kikomavu...Ukiiacha China Communist Party, inafuatia CCM kwenye uimara wa taasisi kwenye uniqueness in democracy duniani ...
Unaweza kuta na wewe ni Mbunge; taasisi imara inayorudisha maendeleo ya nchi nyuma...ujinga ni kipaji.
 
Hakuna ugumu wowote ule kwani Tanzania ni Watanzania si ya genge la wahuni wa maccm. Tume ya Warioba Ilizunguka nchi nzima kukusanya maoni ya Watanzania kuhusu katiba tuitakayo.
Kikwete aliwajaza wajumbe wengi toka maccm kwa kudhani kwamba wataandika rasimu ambayo iko favourable kwa maccm. Wajumbe wa maccm wakaamua kuuweka uccm wao pembeni na kuvaa joho la uzalendo na kuandika rasimu nzuri.
Maccm yanajua fika kwamba Katiba mpya kupitia rasimu ya Warioba ni kaburi lao na ndiyo sababu wanajirusha huku na kule kuipinga Katiba hiyo kwa visingizio vya kipuuzi ambavyo havina mashiko.
They don't get it, do they?

CCM haina nia ya kukubali madai ya katiba mpya wanachofanya ni "delay tactics".

Na tukisema katiba mpya ni too extreme, twapaswa kusema tunahitaji kura ya maoni.

Zambia walifanya kura za maoni mara mbili mwaka 1969 na 2016 ili kufanya marekebisho kwenye katiba.

Lakini huwezi kusema wataka katiba mpya kabisa hilo ni ngumu.
 
UPUUZI MTUPU!!!
Acha umbeya, CCM ni taasisi, subiri uone inavyosiamamia nchi kikomavu...Ukiiacha China Communist Party, inafuatia CCM kwenye uimara wa taasisi kwenye uniqueness in democracy duniani ...
 
Unaweza kuta na wewe ni Mbunge; taasisi imara inayorudisha maendeleo ya nchi nyuma...ujinga ni kipaji.
Huwa napenda watu kama wewe wanokwenda direct.

Ndo tatizo la diplomasia watakiwa kuwa mtulivu sana ndo maana sikumjibu kwa mtindo wako.

Safi sana hio.
 
Back
Top Bottom