CCM imegawanyika; CHADEMA wajifunze kutoka Zambia. Mbowe ampishe Tundu Lissu Uenyekiti

Mkuu nikupongeze tu mawazo mazuri kama kweli uliyoyaandika yanatoka chini ya sakafu ya moyo wako. Mkuu mbona suala la ushindi kwa vyama vya Upinzani unaeleweka sana. Hata chama kinachotawala kinalijua hilo. Toka 2015 hawa majamaa hawajashinda kwenye box uwanjani bali kwenye box gizani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…