Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbinu za siri zimewaishia zimebaki mbinu bayana za kupata matokeo. Nape na mwezake walishukiwa na roho mtakatifu wakaungama na kuwaambia wananchi ukweli. Bahati mbaya sana tuna vyama vya siasa vya hovyohovyo tu kuweza kuongoza nchi. Tuna viongozi wenye mihemko na waganga njaa wasiojua kujenga hoja imara mbadala za kulikwamua taifa.watanzania ndo mafala sio ccm
Kwa hii 0.79% sijui kama mnaweza kufanya chochote.Haiwezekani watanzania wooote wasijue kuwa CCM inafanya hila kwenye uchaguzi. CCM wanajua kuwa zama hizi sio zama za vya vyama vya ukombozi kutawala ila wasubiri ukakamavu wa watanzania na ukomavu wa vyama vingine vya siasa kuamua wafanye nini.
Hata Frelimo kule Msumbiji walikuwa wakidhani hivyo, lakini wananchi wanazo deadlines (maisha magumu, ukosefu wa nafasi and ardhi za wazi kwao, bei kubwa, kodi kubwa) zao. Iko siku watavuka mstari wao mwekundu. Siku iyo ikifika wananchi wapiga kurujuani ya miaka 60 nyuma.Kwa hii 0.79% sijui kama mnaweza kufanya chochote.
Kama ni kansa imefika kwenye mifupa na imekula mpaka sifongo( bone marrow )Haiwezekani watanzania wooote wasijue kuwa CCM inafanya hila kwenye uchaguzi. CCM wanajua kuwa zama hizi sio zama za vya vyama vya ukombozi kutawala ila wasubiri ukakamavu wa watanzania na ukomavu wa vyama vingine vya siasa kuamua wafanye nini.
Hiyo asilimia umeitoa wapi?.au wewe ni kipofu hukuona yaliyofanyika.Tumia kichwa chako vizuri.Kwa hii 0.79% sijui kama mnaweza kufanya chochote.
Wananchi wapi hawa hawa Maiti kwa mujibu wa Jomo Kenyata? Au unasungumzia wananchi wapiM Wa Kenya?Haiwezekani watanzania wooote wasijue kuwa CCM inafanya hila kwenye uchaguzi. CCM wanajua kuwa zama hizi sio zama za vya vyama vya ukombozi kutawala ila wasubiri ukakamavu wa watanzania na ukomavu wa vyama vingine vya siasa kuamua wafanye nini.
Hizi ni Drama zilianza kitambo sana.Vyovyote iwavyo, ccm inaenda kufa. Wakiuwa upinzani joto ndani ya ccm litakipasua chama cha Mapinduzi na hatimaye kupotea kabisa. Na wakiruhusu demokrasia ccm itapotea kwenye sanduku la kura
Hawa viongozi wote wa CCM kuanzia mwaka 1995 vyama vingi viliporudi, wataingia kwenye kapu la historia chafu ya nchi hii. Ila Magufuli na Samia wametia fora kwenye chaguzi chafu na za kishenzi.Haiwezekani watanzania wooote wasijue kuwa CCM inafanya hila kwenye uchaguzi. CCM wanajua kuwa zama hizi sio zama za vya vyama vya ukombozi kutawala ila wasubiri ukakamavu wa watanzania na ukomavu wa vyama vingine vya siasa kuamua wafanye nini.
Haiwezekani watanzania wooote wasijue kuwa CCM inafanya hila kwenye uchaguzi. CCM wanajua kuwa zama hizi sio zama za vya vyama vya ukombozi kutawala ila wasubiri ukakamavu wa watanzania na ukomavu wa vyama vingine vya siasa kuamua wafanye nini.
Huenda uko sahihi, maana Mwl. Nyerere alisema atakaeiua CCM atatoka CCM humohumo. CCM ina kindonda cha ndani kwa ndani kwenye damu na bone marrow ila hawataki kuweka hadharani. Chimbuko la Huu wizi wa kura wa bayana ni wanaCCM kukataa kupiga kura za Oya oya na ienaiena tena.Vyovyote iwavyo, ccm inaenda kufa. Wakiuwa upinzani joto ndani ya ccm litakipasua chama cha Mapinduzi na hatimaye kupotea kabisa. Na wakiruhusu demokrasia ccm itapotea kwenye sanduku la kura
Hàta ukitumia makalio kuelewa, 0.79% inabaki vilevile.Hiyo asilimia umeitoa wapi?.au wewe ni kipofu hukuona yaliyofanyika.Tumia kichwa chako vizuri.
Idadi ya watu wanaolijua hili inazidi kuongezeka kila siku. Tunafahamu pia the motive (driving force) ya kufanya hivyo ni kupata fursa ya kujinufaisha wao na vizazi wao visivyo halali. Bahati nzuri watanzania wanafahamu mali walizonazo zisizolingana na mishahara na posho kwa mujibu wa nafasi zao. Iko siku iko siku iko siku watanzania watazirejesha kutoka kwao au hata wajukuu wao watakaokutwa nazo.CCM haitegemea kura za wanchi kuwa madarakani.