Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Unateseka sana, maumivu yakizidi kapate ushauri wa daktari!Huko bado kiini macho, a.k.a utakatishaji unaendelea. Haiingii akilini wabunge wote haokukosa hizo fedha. Nyumbu wa ufipa wanaendelea kutumika tu bila kujijua. Hata hivyo hiyo faini mabeberu watailipa. Hapa tunadanganywa tu kuwa wananchi wanachanga.