Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Watanzania wewe!ni sisi Watanzania ndiyo tuliowaomba Chadema wasilipe faini kutoka kwenye akiba yao.... tusingewazuia hata jana wangeweza kutoa.
CCM hawana hela wamechota pesa yetu kutoka hazina pale kwa mpwa wa mwenyekiti!
Kalipiee fainiii wenzako watoke ama amjapewa Control no Bado.Sasa kwa nini uandika hivyo?
Au key board yako ina corona? andika sawa sawia mkuu
Umaskini huu - mbaya sana! Yaani kubeba fedha Polepole anaonga ni bonge la achievement na mailage kisiasa. Du!
Angukooo LA wahunii linakaribiaàaaaaUmaskini huu - mbaya sana! Yaani kubeba fedha Polepole anaonga ni bonge la achievement na mailage kisiasa. Du!
Ccm OYEEEEUnavyo furahia vifo vya Wapinzani utadhani umeletewa Biriani mezani ukiwa na njaa ya siku mbili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mimi ni Mtanzania na sijawaomba hao Chadema? Sema sisi makamanda uchwara, hapo nitakuelewa.ni sisi Watanzania ndiyo tuliowaomba Chadema...
Inawauma sana,teh teh teh!Mbona mimi ni Mtanzania na sijawaomba hao Chadema? Sema sisi makamanda uchwara, hapo nitakuelewa.
You didnt focus on the consequence kwa mlichokitolea maamuzi, You thought Low jambo lililosababisha CMD kutumia a such opportunity kujiimarisha mara 1000 zaidi!Hivi kweli chadema haina pesa mpaka watu.wachangishwe? Hii ni dhurma nyingine.wanachama.wanafanyiwa na watu wenye unafuu wa maisha.
Kumbe huwa zimo😂Kwani wanachangishwa kwa mujibu wa sheria au ni hiyari?!
We inakuuma nini sasa? Unampangia mtu maisha yake!kutembea na burungutu mkononi badala ya kufanya online transfer ni ushamba ulio kubuhu!
Acha tuonyeshane makalisiyo mbaya ccm kuiga mambo mazuri toka kwa CHADEMA
Kamchangie na yeye atokreee una uchungu eehCCM imempa adhabu Kinana na kumtosa Membe lakini inamsaidia Mashinji..
Sent using Jamii Forums mobile app