Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulifeli hesabu. 350,000,000/= - 30,000,000/=????Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.
Pesa ziko mfukon mwako??Huu ni ukuku tu yani pesa zetu wanachama analipiwa mtu baki tu ambaye hata mwezi hana afu pesa ndefu kama hiyo
Inauma sana Nigrastratatract,
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kiasi hicho cha mil 30 kimechangwa..nani achangie majambazi??
Kwa sisi African,hususani Tz inaonekana sawa. Lakini kwa hali halisi UONGO tu huo kusema wanachama wamechanga ili-hali mmekwapua mahala hata serikalini,huo uongo tu unapaswa ugharimu nafasi ya mtu
Na upumbavu ulianzia pale chadema walipo muuzia 'kiti' Lowassa, na wapambe wake Sumaye na Kingunge kuonekana wa maana !Siasa za Tanzania zimekuwa za kipumbavu kabisa
Kwa hali hiyo, chadema watakuwa 'matapeli'Eti kiasi hicho cha mil 30 kimechangwa, nani achangie majambazi?
Hawana jipya,walitaka apige magoti vizuri zaidi na ahitimu kuwa full puppet wao.Walishajiandaa mapema hats kabla ya hukumu yenyewe,walikuwa wanzugatu.Tulitarajia hili tangu jana
....kama chq umeandika wewe vile !Baada ya muamko wa wananchi wengi kuwaunga mkono viongozi wa CHADEMA kwa kuwachangia pesa kwa haraka, ameona nae aje ajishow kwamba kuna wananchi wanawapenda. Huku pesa yote ikitolewa mahala mfuko wa chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa ccm haina wanachama !Hiyo hela huenda katoa Jiwe kupitia lile fungu lisilokaguliwa.
Wakati ule wa kugeuza gia angani, watu walipaswa waharishe kabisa !
Polepole anafanya maigizo makubwa mno wanacheka yaani wanaona aibu kwa maigizo ya kitoto wanayoyafanya bila aibu najua kabisa wakienda nyuma ya Camera wanacheka kwa ujinga walioufanyaChama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.
View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.
UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30
View attachment 1384213
Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani
Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”
“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”
Ngoma draw pesa za ESCROWNigrastratatract,
Hii inaitwa "ngoma droo".
Jipe moyo wewe umenda kuchomoa ktk tirioni 1.5 wenzako wanachangisha wazalendo wa nchi hii na wale wenye kukataa uonevu
Sent using Jamii Forums mobile app