CCM imemlipia faini ya Tsh. Milioni 30 mwanachama wake Dkt. Vincent Mashinji. Atoka gerezani

CCM imemlipia faini ya Tsh. Milioni 30 mwanachama wake Dkt. Vincent Mashinji. Atoka gerezani

Mpaka January 2020, ccm ilikuwa account inasoma bil 21
Kwasababu hiyo hela itakayolipwa kutokana na adhabu walopewa wahusika ni ya serikaki hivo kunauwezakano hiyo hela kwaajili ya kumlipia Mashinji haijalipwa na hizo karatasi za kutuonesha kuwa wamelipia inawezakuwa wame zi counterfeit ili iinekane nao wamelipa wakati yawezekana hakuna hata sent ilokuwa deposited to account.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamamamdogooovipiimshaanzaa kutoaana
Screenshot_20200311-161826.png
 
Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.

Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.

View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.



UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30

View attachment 1384213

Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani

Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”

“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”
Kwani kuna ubaya gani kufanya hivyo??? Ninaamini Chadema nao watawalipia faini watu wao.
 
Hiyo inakuwa worked out as:

X - 30M = cash in Dr's hand

Where:
X = The price tag
M = Millions
 
Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.

Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.

View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.



UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30

View attachment 1384213

Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani

Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”

“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”
KWAHIYO MASHINJI KASHAKUWA JIKE SASA HIVI ANAPANDWA NA CHAMA DUME
 
Amini amini nakuambieni,wote waliohukumiwa jana endapo wangeunga mkono juhudi Kama alivyofanya V Mashinji wasingepatikana na hatia yoyote,ndio maana wameamua kumtoa wa kwetu tu na si wengineo.
Ningepata nafasi ya kuwashauri chama changu pendwa ningewashauri wamtoe Mashinji kwa mlango wa nyuma bila wao kuonekana,la sivyo wawatoe wote bila kujali itikadi zao,unakuwa mtawala halafu unawabagua watu kwa itikadi zao,changu mlitakiwa muoneshe mfano wa kuwaunganisha watu,Kama ambavyo serikali yetu ya CCM inatoa huduma kwa Watz wote bila kujali itikadi zao hata katika hili mlitakiwa mfanye hivyo,hamjachelewa toeni pesa zingine mkawatoe akina Mbowe ,CCM hoyee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wa Chadema kwa roho mbaya ni kiboko. Yaani ninyi mnachanga hela kuwatoa akina Mbowe na wenzake wakati huohuo hamfurahii Dk. Mashinji kutolewa na wanachama wà chama chake. Nimeshangaa mnk kuna na johnthebaptist unashadidia hili.
 
Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.

Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.

View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.



UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30

View attachment 1384213

Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani

Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”

“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”
Hakuna mwanaccm aliechanga,kwa walivyochoka kimaisha wanaccm wakudavadua,kawe alumin,laki si pesa,etwege,motochini,kidawa,hawana tofauti na yule dada aliekua anapigwa pipe na mudy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaliti Mkubwa anaonyesha ni jinsi gani alivyonunuliwa kwa vipande vya fedha.
 
CCM OYEE
CCM JUU JUU ZAIDI
TUMETOKA KUMLIPIA DK.MASHINJI
NA SASA TUNAFATA UTARATIBU WAKUMTOA PALE SEGERREA

CCView attachment 1384113M OYEE

INTELIJINSIA ya CHADEMA IKO JUU SANA HADI KUBAINI KUWA MASHINJI SI MWENZAO NA KUMTOA KWENYE RELI YA CHADEMA.

HONGERA CHADEMA, HONGERA MH. MBOWE NA TIMU YA UKWELI YA CHADEMA ASILI.

MUNGU AWABARIKI NA KUWAPA MAONO ZAIDI.
 
Back
Top Bottom