Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
Mpaka January 2020, ccm ilikuwa account inasoma bil 21
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu hiyo hela itakayolipwa kutokana na adhabu walopewa wahusika ni ya serikaki hivo kunauwezakano hiyo hela kwaajili ya kumlipia Mashinji haijalipwa na hizo karatasi za kutuonesha kuwa wamelipia inawezakuwa wame zi counterfeit ili iinekane nao wamelipa wakati yawezekana hakuna hata sent ilokuwa deposited to account.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app