Mkuu unatutukana wakati kuna watu huku bado tunaendelea kujichangisha tuwatoe makamanda?Siasa za Tanzania zimekuwa za kipumbavu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unatutukana wakati kuna watu huku bado tunaendelea kujichangisha tuwatoe makamanda?Siasa za Tanzania zimekuwa za kipumbavu kabisa
Heri sie tunaochangia wala ruzuku zetuEti kiasi hicho cha mil 30 kimechangwa, nani achangie majambazi?
Duh! unamaanisha chama chetu hakiaminiki? yaani tunanunulikanunulika tu!Msaliti Mkubwa anaonyesha ni jinsi gani alivyonunuliwa kwa vipande vya fedha.
Endelea kujidanganya. Mimi sio nyumbu, unaelewa?
Heri yetu sie tunamjua anayetafuna Ruzuku zetu halafu na bado anatuchangishaNigrastratatract,
Haya majitu yamekaa ki-wasiojulikana julikana tuuu hata michango yao imetoka kusikojulikana na imetolewa na wasiojulikana
Na mna bahati. Bila mashinji mngesota hadi 2021Tulitarajia hili tangu jana
Nimeelewa kabla hujaelewa....Umeelewa?
Nimeelewa kabla hujaelewa.
Siendi ng'oo.Haya, kachukue buku 7 yako...
Inafikirisha!Kwa maelezo ya viongozi wa CDM wamesema wanalipa faini ili wakitoka waanze mchakato wa rufaa tumeona pia CCM wamefanya hivyo kwa mwanachama wao mpya Dk mashinji kwa kumlipia faini na je viongozi wa CDM wakikata rufaa je na CCM watashangilia ushindi endapo mahakama ya juu ikitengua hukumu ya hakimu mkuu Simba.
Naomba kuwasilisha tujadili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi ukweli ndiyo matusi yenyewe!tunatia aibu kwa kweli....lakini usitutukane hivyo ndugu yangu!
vibaya hivyo!!Mara nyingi ukweli ndiyo matusi yenyewe!