42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Nani amechanga pesa?CCM OYEE
CCM JUU JUU ZAIDI
TUMETOKA KUMLIPIA DK.MASHINJI
NA SASA TUNAFATA UTARATIBU WAKUMTOA PALE SEGERREA
CCView attachment 1384113M OYEE
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani amechanga pesa?CCM OYEE
CCM JUU JUU ZAIDI
TUMETOKA KUMLIPIA DK.MASHINJI
NA SASA TUNAFATA UTARATIBU WAKUMTOA PALE SEGERREA
CCView attachment 1384113M OYEE
CCM OYEE
CCM JUU JUU ZAIDI
TUMETOKA KUMLIPIA DK.MASHINJI
NA SASA TUNAFATA UTARATIBU WAKUMTOA PALE SEGERREA
CCView attachment 1384113M OYEE
Maigizo hayaishi...CCM OYEE
CCM JUU JUU ZAIDI
TUMETOKA KUMLIPIA DK.MASHINJI
NA SASA TUNAFATA UTARATIBU WAKUMTOA PALE SEGERREA
CCView attachment 1384113M OYEE
Isijekua mumeenda kuwapa sumu maana nyinyi hamuaminiki mumekaa kama coronaMMMESHAMALIZAA MICHANGOI YENUU KWANZAAA NASIKIA WAWILI WAMEZIDIWA HUKO SEGEREA WALIPOWAONA MANYAMPAARAA
Walijuaaaa yaleeematangazooo asbh wangewahii kutoaa viongozii waoo chahNyumbu hawana hamu kusikia mashinji wa kwanza kuachiwa
Kwani hicho kichawi kina akili ?kutembea na burungutu mkononi badala ya kufanya online transfer ni ushamba ulio kubuhu!
Ni sisi Watanzania ndiyo tuliowaomba Chadema wasilipe faini kutoka kwenye akiba yao tusingewazuia hata jana wangeweza kutoa.Hivi kweli chadema haina pesa mpaka watu.wachangishwe.?,hii ni dhurma nyingine.wanachama.wanafanyiwa na watu wenye unafuu wa maisha.
Safi sana!ni sisi Watanzania ndiyo tuliowaomba Chadema wasilipe faini kutoka kwenye akiba yao.... tusingewazuia hata jana wangeweza kutoa.
CCM hawana hela wamechota pesa yetu kutoka hazina pale kwa mpwa wa mwenyekiti!
ni sisi Watanzania ndiyo tuliowaomba Chadema wasilipe faini kutoka kwenye akiba yao.... tusingewazuia hata jana wangeweza kutoa.
CCM hawana hela wamechota pesa yetu kutoka hazina pale kwa mpwa wa mwenyekiti!
kutembea na burungutu mkononi badala ya kufanya online transfer ni ushamba ulio kubuhu!
Chama cha siasa ni watu, endelea kushuhudia nguvu ya ummaHivi kweli chadema haina pesa mpaka watu.wachangishwe.?,hii ni dhurma nyingine.wanachama.wanafanyiwa na watu wenye unafuu wa maisha.
Kuna mashindano ya kutoka?Hawana hamu kusikia mashinji wa kwanza kuachiwa
Washajifiaaa Wale kapimee afyaa zaooo hunahaja ya kuwamaliza waondoke kwa upendoo WA AllahIsijekua mumeenda kuwapa sumu maana nyinyi hamuaminiki mumekaa kama corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wanachangishwa kwa mujibu wa sheria au ni hiyari?!Hivi kweli chadema haina pesa mpaka watu.wachangishwe? Hii ni dhurma nyingine.wanachama.wanafanyiwa na watu wenye unafuu wa maisha.