Unateseka sana, maumivu yakizidi kapate ushauri wa daktari!Huko bado kiini macho, a.k.a utakatishaji unaendelea. Haiingii akilini wabunge wote haokukosa hizo fedha. Nyumbu wa ufipa wanaendelea kutumika tu bila kujijua. Hata hivyo hiyo faini mabeberu watailipa. Hapa tunadanganywa tu kuwa wananchi wanachanga.
Ngoma droo ya kutengeneza.Vuvuzera nyambafu sanaHii inaitwa "ngoma droo".
Vipi kwa Mashinji mahesabu alitosha kusawazisha beberu 1 au na ka mbuziHuko bado kiini macho, a.k.a utakatishaji unaendelea. Haiingii akilini wabunge wote haokukosa hizo fedha. Nyumbu wa ufipa wanaendelea kutumika tu bila kujijua. Hata hivyo hiyo faini mabeberu watailipa. Hapa tunadanganywa tu kuwa wananchi wanachanga.
Punguza hasira. Hasira hasara....Vuvuzera nyambafu sn
Umekuwa kimya sana nikadhani nawe ni miongoni mwa wale 350m manka!In your dreams
kwa lugha nyingine ni kwamba anajimwambafyBaada ya muamko wa wananchi wengi kuwaunga mkono viongozi wa CHADEMA kwa kuwachangia pesa kwa haraka,ameona nae aje ajishow kwamba kuna wananchi wanawapenda. Huku pesa yote ikitolewa mahala mfuko wa chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Mkuu. Watz walishapewa jumla kuu ya Tshs Mln 350. Walichanga bila kumbagua mtu na hakuna Kiongozi yeyote wa Chadema aliyejitokeza kifanya marekebisho ya jumla kuu.Hii inaitwa "ngoma droo".
Huko bado kiini macho, a.k.a utakatishaji unaendelea. Haiingii akilini wabunge wote haokukosa hizo fedha. Nyumbu wa ufipa wanaendelea kutumika tu bila kujijua. Hata hivyo hiyo faini mabeberu watailipa. Hapa tunadanganywa tu kuwa wananchi wanachanga.
Hata hao waliomchangia Mashinji ni Watz, au hujui?...Watz walishapewa jumla kuu ya Tshs Mln 350...
Wakukurupuka. Hivi huyu Mr Slow hajui kwamba mahakama hawapokei hela cash? Au nae ni kujaribu kuwadanganya Watanzania kwamba Ccm ina pendwa. Hivi ni mtu gani wa hali ya chini atakae mchangia Mashinji? Ni kitu gani amewafanyia Ccm hadi wana Ccm wawe na huruma kumtoa jela?Pole sana Mkuu. Watz walishapewa jumla kuu ya Tshs Mln 350. Walichanga bila kumbagua mtu na hakuna Kiongozi yeyote wa Chadema aliyejitokeza kifanya marekebisho ya jumla kuu. Tungemlipia kisha aje huko kwenu kuendelea kuunga juhudi. Lkn nakuhakikishia hakuna mtu aliyepatwa na aibu kama yule Muunga juhudi. Hivi unafahamu alichozungumza kule Segerea jana jioni?? Hata ww ungemhurumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
La msingi ametoka jela. Haijalishi hela imetolewa wapi??Baada ya muamko wa wananchi wengi kuwaunga mkono viongozi wa CHADEMA kwa kuwachangia pesa kwa haraka,ameona nae aje ajishow kwamba kuna wananchi wanawapenda. Huku pesa yote ikitolewa mahala mfuko wa chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimechangia, kwa mashinji na hata kwa wanachadema. Maisha yangu sijakula hata senti moja ya haramu. Mashinji amehukumiwa kwa kupigania haki ndani ya chademaEti kiasi hicho cha mil 30 kimechangwa..nani achangie majambazi??
Haya majitu yamekaa ki-wasiojulikana julikana tuuu hata michango yao imetoka kusikojulikana na imetolewa na wasiojulikana
kutembea na burungutu mkononi badala ya kufanya online transfer ni ushamba ulio kubuhu!CCM OYEE
CCM JUU JUU ZAIDI
TUMETOKA KUMLIPIA DK.MASHINJI
NA SASA TUNAFATA UTARATIBU WAKUMTOA PALE SEGERREA
CCView attachment 1384113M OYEE
Ndio useme sasaPole sana Mkuu. Watz walishapewa jumla kuu ya Tshs Mln 350. Walichanga bila kumbagua mtu na hakuna Kiongozi yeyote wa Chadema aliyejitokeza kifanya marekebisho ya jumla kuu.
Tungemlipia kisha aje huko kwenu kuendelea kuunga juhudi. Lkn nakuhakikishia hakuna mtu aliyepatwa na aibu kama yule Muunga juhudi. Hivi unafahamu alichozungumza kule Segerea jana jioni?? Hata ww ungemhurumia.
Sent using Jamii Forums mobile app