CCM imemlipia faini ya Tsh. Milioni 30 mwanachama wake Dkt. Vincent Mashinji. Atoka gerezani

Mkuu anayewateuwa hawaangalii kwa jicho hilo unaloangalia wewe, yamkini hana Imani na wale wenye chama kwa hiyo akianza na safu hii mpya kutoka upande wa pili itamsaidia sana kumvusha anapopataka yeye maana unaponunua sehemu lazima unanunua na siri za mpinzani wako.

Na pia ni rahisi kupanga safu ya ushambuliaji ukiwa na wachezaji wageni pia unachanganya na wakongwe ni rahis sana kuwatawala wote kwa wakati mmoja, kwanza umewagawa (hawawezi kunena mamoja) pili wanachukiana wao kwa wao kitu ambacho kinafanya kazi kuwa rahisi sana kwa bw mkubwa kuwatawala wote kwa wakati mmoja[emoji4]

it’s a technical skills brother
 
Ccm imepoteza dira, imelewa madaraka...Haisimamii tena misingi ya taifa letu kupata uhuru.Uhuru Wa watu imetia kapuni
 
CCM wanategemeaga tamboo za Yohana tu, Yohana naeee anategrmeaga mkwala tu rakini hana kitu

Don't make a promise you can't fulfill...
 
Yah naona umewapa kijembe Cha kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…