Chama kikongwe kama ninyi bado hamna watu wenye ujuzi wa kukisimamia na kuongoza chama chenu hadi leo kwa zaidi ya miaka 50 ni fedheha kubwa. Yaani mnashangilia kupata Mashinji kuja kuongoza chama chenu! Mnawalamba miguu watu waliowatukana na kuwakashifu ili waje wawaongoze.
Ni aibu kubwa hivi sasa kwa CCM nafasi zote nyeti kushikwa na waliokuwa wapinzani wenu kisiasa!
Shame on you! Wapinzani wenu mmewapa utendaji wa vijiji, udiwani, ubunge, ukuu wa wilaya, Uras, Ukuu wa mikoa, ukatibu Mkuu wa wizara zenu, uwaziri nk. Hivi wanachama wengi wa CCM ni vilaza kiasi hicho?
Halafu mnachekelea kama mazuzu!