Bursting
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 289
- 520
Mkuu anayewateuwa hawaangalii kwa jicho hilo unaloangalia wewe, yamkini hana Imani na wale wenye chama kwa hiyo akianza na safu hii mpya kutoka upande wa pili itamsaidia sana kumvusha anapopataka yeye maana unaponunua sehemu lazima unanunua na siri za mpinzani wako.
Na pia ni rahisi kupanga safu ya ushambuliaji ukiwa na wachezaji wageni pia unachanganya na wakongwe ni rahis sana kuwatawala wote kwa wakati mmoja, kwanza umewagawa (hawawezi kunena mamoja) pili wanachukiana wao kwa wao kitu ambacho kinafanya kazi kuwa rahisi sana kwa bw mkubwa kuwatawala wote kwa wakati mmoja[emoji4]
it’s a technical skills brother
Na pia ni rahisi kupanga safu ya ushambuliaji ukiwa na wachezaji wageni pia unachanganya na wakongwe ni rahis sana kuwatawala wote kwa wakati mmoja, kwanza umewagawa (hawawezi kunena mamoja) pili wanachukiana wao kwa wao kitu ambacho kinafanya kazi kuwa rahisi sana kwa bw mkubwa kuwatawala wote kwa wakati mmoja[emoji4]
it’s a technical skills brother