CCM imempa Mbowe nguvu isiyokuwa na mfano

CCM imempa Mbowe nguvu isiyokuwa na mfano

Mbowe kama asingelikuwa Mchaga, watu wangelikuwa wanafikiria kumpa nchi kwa namna wanavyompigia promo.

CHADEMA wangelikuwa makini, wangekaa waondoe rangi mbofu mbofu katika muundo wao ili akitoka waunganishe hadi Magogoni.

Lakini wakiendelea kushikilia kwamba wako sahihi, wataishia kutetewa, kupewa pole na kuombwa ushauri tu, kwa serikali makini itakayokuwepo.
ukweli mchungu
 
Akina Mashinji tuliwapa nafasi ktk hatua za kutaka kufita ile notion ya ukabila unaona alichofanya??

Akina Zitto waliewa nafasi ili kuondoa kile mnachoamini kama udini lakini unaona alichofanya??

Watu shupavu na wenye ujasiri wanafanikiwa sana. Wakishafanikiwa wanaitwa wakabila na wabaguzi sio kweli.

Miaka ya Nyuma wachaga walikuwa wanalaumiwa sana kuwa wanapeana ajira kwa undugu.

Nilipotembea nikasoma na kukutana nao pande nyingi nilikuta hawa jamaa ni wapambanaji sana. Wanajituma. So ikitokea nafasi mathalani Ajira utakuta wana sifa na vigezo vya kutosha. Wakipaya hiyo fursa utaona waoa tu ndio wanajaa ni rahisi kudhani wanapendeleana.

Mama wa kichaga mjane anafuga ng'ombe watatu wa maziwa na mbuzi kadhaa lakini anasomesha watoto wake wawil St Mary's wakati mnyamwezi mwenzangu ana ng'ombe 200 na watoto 30 hakuna hata anayesoma form four.

Kijana wa kiume au wa kike mpatie Laki tano aende mjini baada ya miaka 5 atakukabidhi duka la milioni tano. Wakati kijana wa kike au kiume mhehe mwenzangu baada ya miezi miwili hana hata mia. Akiwa wa kike anarudi nyumbani na mimba au watoto wawili wasiojulikana baba zao.

Mifano inatosha.
ni wakabila sana wachaga
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Tulisubiri mbowe aumbuliwe kwa ushahidi mzoto. BadalaA yake tnashuhudia polisi wapelelezi sijui walitumwa na nani.
Tuliubiri 1 tukapta -1
 
Tulisubiri mbowe aumbuliwe kwa ushahidi mzoto. BadalaA yake tnashuhudia polisi wapelelezi sijui walitumwa na nani.
Tuliubiri 1 tukapta -1
So shameful for these crooks called Police !
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Yameanza kutimia.

CCM nao wameona hitaji la katiba mpya.
 
Back
Top Bottom