CCM imempa Mbowe nguvu isiyokuwa na mfano

CCM imempa Mbowe nguvu isiyokuwa na mfano

Ccm wameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania wawe wamoja wanaendesha nchi kwa propaganda na usanii tu.

Ndio hiki wanachofanya kwa Freeman Mbowe kumtengenezea kesi ya kipuuzi ili kujipa ahueni ya kisiasa.
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Ashukuriwe informer kwakuchomesha anahitaji kupewa nishati wakati ukifika
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Njia pekee ya mlalahoi kufaidika ni bunge ni kwa wanasiasa kubishana kwa nguvu za hoja na sio kilutumia polisi na mahakama
 
Yaani majuzi niko Mbagala napamda daladala, ikaja swala la Mbowe, daladala nzima ikalipuka. Huyu mama hafai kabisa, hataki kukosolewa anambambikia mbowe kesi sababu anadai katik mpya. Amejiharibia na CCM yake..hayo ni maneno ya wananchi ndani ya daladala
Kwenye daladala la mbagala! Kweli jamaa kawa maarufu, siku nyingine anzisha swala la Sabaya uone kama daladala nzima italipuka au la.
 
Ni kweli kiongozi wangu. Lakini kumbuka kwamba Tanzania ni nchi yetu wote. Hatutakubali mtu yeyote anayeendekeza mambo ya ukabila wala udini. Chama chochote chenye mrengo wa kuimarisha udini na ukablia na wengine kuwatupia tupia tu kama mapambo, hakifai kuongoza nchi yetu kwa sababu hatutaki kupanda magari ya ukabila huo.

CHaDEMa tumewaambia, waache ukabila, wagawanye nguvu na madaraka katika sehemu zote za nchi tuwape nchi. Bila hivyo, ninyi wenyewe mnaona vile walivyojazana kwenye ngazi za juu ya uongozi, na bahati mbaya tabia zao zinajulikana.

Kuwapa nchi watu wenye mitazamo hiyo, tutakuwa tunajikomboa au tunabadilisha ukoloni tu? Maana sasa tunajuta kwa nini tulipigania uhuru kutoka kwa Mwingereza. afadhli tungebaki na ukoloni wa Mzungu kuliko ukoloni wa cckm.
FUTA
 
Yaani hii promotion wasiombe apate jukwaa. Hangaya atabomolewa kila kona. Wamejipalia moto acha uwaunguze.
 
Mimi mwanzoni nilimsifia sana Samia.

Lakini kwa huu uchafu, she deserves to be the worst President ever. Ni hypocrite. Unafanya baadhi ya mambo vizuri ili kuwahadaa watu, kumbe ndani ya moyo wako, umejaa matendo ya shetani.

Hata Yesu alipokuwa akifundisha aliwahi kunena, "ole wenu mafarisayo na waandishi wa sheria, ni wanafiki, mnajifanya watu wazuri kwa nje, ndani mmejaa uchafu (Matayo 23: 27-28). Hakuna mnafiki anayeweza kupokea neema ya Mungu bila toba.

Ikumbukeni habari ya Anania aliyefanya unafiki wa kuonesha anampenda Mungu, kumbe sivyo. Mungu alimwondolea uhai palepale. Na mkewe akaja kuutetea unafiki wa mumewe, naye akafa palepale.
Mtoto wa shwetwaini yupo steti
 
Yaani hii promotion wasiombe apate jukwaa. Hangaya atabomolewa kila kona. Wamejipalia moto acha uwaunguze.
Yaani kumfunga wanaogopa kumwachia wanaogopa kumshikilia muda mrefu shida,,,yaani mavi yanagonga chupiiiii
 
Mimi mwanzoni nilimsifia sana Samia.

Lakini kwa huu uchafu, she deserves to be the worst President ever. Ni hypocrite. Unafanya baadhi ya mambo vizuri ili kuwahadaa watu, kumbe ndani ya moyo wako, umejaa matendo ya shetani.

Hata Yesu alipokuwa akifundisha aliwahi kunena, "ole wenu mafarisayo na waandishi wa sheria, ni wanafiki, mnajifanya watu wazuri kwa nje, ndani mmejaa uchafu (Matayo 23: 27-28). Hakuna mnafiki anayeweza kupokea neema ya Mungu bila toba.

Ikumbukeni habari ya Anania aliyefanya unafiki wa kuonesha anampenda Mungu, kumbe sivyo. Mungu alimwondolea uhai palepale. Na mkewe akaja kuutetea unafiki wa mumewe, naye akafa palepale.
AMEN
 
Hayo ni mawazo yako. Mbowe si kitu Nchi hii ni mhuni wa kawaida sana na msijidanganye kuwa kapata mileage agombee urais. Mama is still there.
 
Back
Top Bottom