danikiruma
Senior Member
- Feb 25, 2019
- 101
- 76
Ccm wameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania wawe wamoja wanaendesha nchi kwa propaganda na usanii tu.
Ndio hiki wanachofanya kwa Freeman Mbowe kumtengenezea kesi ya kipuuzi ili kujipa ahueni ya kisiasa.
Ndio hiki wanachofanya kwa Freeman Mbowe kumtengenezea kesi ya kipuuzi ili kujipa ahueni ya kisiasa.