CCM imempa Mbowe nguvu isiyokuwa na mfano

CCM imempa Mbowe nguvu isiyokuwa na mfano

Si ndio kama hivi wanawarithisha watoto wao ili mfumo wao wa kiutawala udumu?. Watoto nao watawarithisha watoto wao.
Kama Roma Empire, Gadaff, Mubarack, Ottoman empire ziliangushwa na CCM itaangushwa lini hapo sijui
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Subiri atoke kwanza ndiyo uione hiyo nguvu. Nyie mnacheza na Dola mnazania mko mtaa wa Ufipa.
 
Mimi mwanzoni nilimsifia sana Samia.

Lakini kwa huu uchafu, she deserves to be the worst President ever. Ni hypocrite. Unafanya baadhi ya mambo vizuri ili kuwahadaa watu, kumbe ndani ya moyo wako, umejaa matendo ya shetani.

Hata Yesu alipokuwa akifundisha aliwahi kunena, "ole wenu mafarisayo na waandishi wa sheria, ni wanafiki, mnajifanya watu wazuri kwa nje, ndani mmejaa uchafu (Matayo 23: 27-28). Hakuna mnafiki anayeweza kupokea neema ya Mungu bila toba.

Ikumbukeni habari ya Anania aliyefanya unafiki wa kuonesha anampenda Mungu, kumbe sivyo. Mungu alimwondolea uhai palepale. Na mkewe akaja kuutetea unafiki wa mumewe, naye akafa palepale.
Kwangu mimi Mbowe namuona alikosea busara na timing ya namna ya kudai Katiba Mpya. Samia alianza kwa kumdungulia Akaunti zake, kumshtaki Sabaya aliye harass WAPINZANI wa wilaya ya Hai, kusababisha kesi ya Mdude kufutwa, na kesi ya Akwilina kupinduliwa. Bahati mbaya Mbowe akaona Samia ni mnyonge. Ndipo akaanza mikutano ya matusi kwa kuwapandisha majukwaani akina MdudeChadema na kuanza kupiga kelele za Katiba mpya.

Ile kiburi ya Mbowe ndiyo imemuweka ndani, wenye dola wakapekua mafaili wakapata cha kupeleka Mahakamani
 
Mkuu walimdharau Sana na kudhani wakishampa kesi kubwa Basi watapumua, ndo maana Kingai alimwambia Mbowe kuwa 'safari hii hutoki' Ila kwa Hali ilivyo wameshajuta Sana ila ndo hivyo wanashindwa watamchomoaje.

Kwa mkoa wa Arusha juzi nilikuwa kule nilikutana na wamama Wana hasira na Samia hatari
huo ni ushabiki tu yaani mtaani hakuna hta anayezungumzia hiyo kesi zaidi ya nyie kwenye mitandao watu wako bize na kazi zao tu alilikoroga acha urioamnyweshe
 
2656558_102011131.jpg
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Ukimpiga chura teke unamuongezea mwendo tu,viongozi na washauri wao wengi kichwani hamna kitu...ni ngumu kwao kuliona hili.
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya
 
Kesi ikiendelezwa hadi 2025 je?
Ndo itakuwa poa sana maana ni kipindi cha uchaguzi na hii itakuwa kaburi la watawala waovu.

Kumuondoa mapema kabla ya 2025 kitasaidia haya mambo kusahaulika LABDA.

Pia kuchelewa au kuwahi kumtoa yote yana faida kwa Mbowe,in short watahaibika sana
 
Ndo itakuwa poa sana maana ni kipindi cha uchaguzi na hii itakuwa kaburi la watawala waovu.

Kumuondoa mapema kabla ya 2025 kitasaidia haya mambo kusahaulika LABDA.

Pia kuchelewa au kuwahi kumtoa yote yana faida kwa Mbowe,in short watahaibika sana
Sawa sawa
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Sio kwa ccm wewe
 
Wajuzi wa mambo wanaeema kwamba, kumuweka Mh. Freeman Mbowe ndani kwa kesi ya ughaidi, imemuongezea Nguvu kubwa mno kisiasa.

Mbowe amepata nguvu kubwa mno na huruma kubwa mno kutoka kwa wananchi ambao wengi wao wanaamini kesi dhidi yake, ni kesi ya mchongo ambayo imeshabuma.

Atakapotoka Jela, mtaji wake kisisasa utakuwa ni mkubwa wa kutisha , na bila Shaka akiendeleza moto wa katiba mpya, bila Shaka watawala wataachia katiba moya

Hawatakuwa na jinsi. Mbowe nguvu alimony sasa hivi, ni nguvu aliyopewa na watawala waliotaka kumsulubu. Kifupi ni kwamba, watawala wakubaliane na ukweli.

Badala ya kumdhoofisha, wamempa nguvu za kutisha. Wakubaliane na ukweli wa kuishi na nguvu ya mbowe na Chadema
Mh._MBOWE_Akiwa_na__walinzi_wake.%0A%0A%23katibampya_%0A%23mbowesiogaidi_%0A%23tumehuruyauchag...jpg
 
Ni kweli kiongozi wangu. Lakini kumbuka kwamba Tanzania ni nchi yetu wote. Hatutakubali mtu yeyote anayeendekeza mambo ya ukabila wala udini. Chama chochote chenye mrengo wa kuimarisha udini na ukablia na wengine kuwatupia tupia tu kama mapambo, hakifai kuongoza nchi yetu kwa sababu hatutaki kupanda magari ya ukabila huo.

CHaDEMa tumewaambia, waache ukabila, wagawanye nguvu na madaraka katika sehemu zote za nchi tuwape nchi. Bila hivyo, ninyi wenyewe mnaona vile walivyojazana kwenye ngazi za juu ya uongozi, na bahati mbaya tabia zao zinajulikana.

Kuwapa nchi watu wenye mitazamo hiyo, tutakuwa tunajikomboa au tunabadilisha ukoloni tu? Maana sasa tunajuta kwa nini tulipigania uhuru kutoka kwa Mwingereza. afadhli tungebaki na ukoloni wa Mzungu kuliko ukoloni wa cckm.
Ebu nisaidie nami nipate kujua ukabila wa chama hiki upo wapi?
CHADEMA Wana uongozi wa juu tukianza mwenyekiti makamu mwenyekiti katibu mkuu bara naibu katibu mkuu bara.
Na huko visiwani Hawa viongozi wote ni kabila gani na gani na wanatokea mikoa gani?
Ili niamini hicho unachosema kama kipo sahihi.
 
Back
Top Bottom