CCM ina misingi imara sana; kama wewe ni mpinzani na unabisha umeshafeli

Kumbe wee ni wa hovyo kiasi hiki??? Hongera Sana kwa mawazo ya kimaiti maiti...uimara wa ccm uko TISS na police..nje ya hapo hakuna kitu kinaitwa ccm

Hakuna mtu wa hovyo zaidi yako wewe unayelalamika mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka.

Mtu mzima na uzima wako unalalamikia police na tiss hadi leo!? Kwa akili zako wao sio watu eeeh? Wenzio wana akili na interest yao ni usalama wa nchi. Sasa wakuachie mtu kama wewe na wenzio mtaipeleka wapi nchi. Jifunzeni kwa waliofanikiwa acheni blahblah

Yaani heri kimaiti maiti maana maiti ina heshma yake... kwa akili zako hizi ni wazi kabisa kwenye ubongo wako kuna mzoga wa panya wallah.

Uwe unaona aibu kuuacha uchi ubongo wako mbele za watu basi
Mfyuuuu
 
Yani kuna threads ukizipitia unapata picha halisi ya vichwa vya baadhi ya watu humu. Probably they're getting all the incentives from the government, they are paid for the rubbish they're writing, watu wao wapo sehemu ambazo nao wanafaidika moja kwa moja..etc

Nchi inataka mabadiliko hii, ccm sio chama tena, ni kikundi cha wahuni wapo kwa ajili yao, matumbo yao na kunyonya wengine. Mtu anasema wameweka misingi imara. Kweli mmevimbiwa.
 

Kama kweli wewe una uchungu na nchi hii rudia kusoma kwa umakini uelewe kabla ya kuandika.

Mimi narudia kusema - "CCM ina misingi imara sana; kama wewe ni mpinzani na unabisha umeshafeli"
 
Jitu Zima unajiita chawa ...

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Watu mnashangaza sana, hao hao wapinzani wasiofaa chochote ndio hiyo ccm inawaibia kura kila siku na kuwaundia magenge ya wasiojulikana ili kuwaua, sasa unataka tukuaminije wewe kibaraka wao tu.
 
Watu mnashangaza sana, hao hao wapinzani wasiofaa chochote ndio hiyo ccm inawaibia kura kila siku na kuwaundia magenge ya wasiojulikana ili kuwaua, sasa unataka tukuaminije wewe kibaraka wao tu.


Hivi Tanzania kuna upinzani?
 
Una mwandiko mbaya kama wa Tulia ambaye ameshindwa kutulia.
 
Hivi Tanzania kuna upinzani?
Kama Tanzania hakuna Upinzani kwanini Dictator Uchwara JPM aliwaita watendaji wa kata, vijiji, vitongoji, na mitaa. Warudikane Ikulu ya Magogoni kwaagiza wakawaengue wa Upinzani kwenye nafasi zote za Serikali za Mitaa, udiwani, na Ubunge? Lakini pia Kama Upinzani haupo Kwa nini CCM ifunge ndoa vyama vya kina Dovutwa kuhujumu Upinzani wa Kweli kwenye chaguzi? Kama Upinzani haupo kwa nini CCM ifunge ndoa na Msajili wa Vyama vya Siasa kuhujumu vyama vya Upinzani wa Kweli? Kama Upinzani haupo Kwa nini CCM ifunge ndoa na Tume ya Uchaguzi kuiba uchaguzi?
 
Na wewe uache kuwa dis watu kiasi cha kuwatema mate,🤔
 
Huwa una mambo ya kujidanganya sana.Hata torati kuna watu waliamini ndiyo kila kitu.Yesu akawanyoosha.
 
CCM imechokwa na watanzania miaka zaidi ya 60 ya utawala wao hakuna mpya nchi imejaa umasikini na njaa kila kona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…