USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Anajiita wanademokrasia hata uhuru wa mawazo tofauti na wao hawatakiWanamchukia maana alijua kuwanyoosha hahaha
Magufuli aliweza sana kurepair kulikokua kunavuja haswa kwa wapiga kura
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajiita wanademokrasia hata uhuru wa mawazo tofauti na wao hawatakiWanamchukia maana alijua kuwanyoosha hahaha
Magufuli aliweza sana kurepair kulikokua kunavuja haswa kwa wapiga kura
Pole hakuna mtu hapo karibu akupeleke hospitali?
Huyu mwanamama ameshakuwa chawa naye, hiki kirusi cha chawa kinawaathiri watu kwa njia ya hewa ni hatari sana. Its an air borne disease.Maslahi mapana ya Taifa unayajua kweli?
Kuna demokrasia au janja janja, naona ushahaidiwa ukuu wa wilaya sasaDemokrasia haitaki makasiriko🤣🤣🤣
Abana.vijana wa chademawaki kaa vizuuli wanachugua ii inchi efu mbiri ishitano....waturiye wapangemi pago yao vizuli
Kuna nchi nyingi tu hapa duniani bila ubabe hutawali wao walishajuchunguza na kugundua mfano,misri, Pakistan, Venezuela,china Uganda, Kenya, Tanzania, Nigeria na n.k so kila jamii inaelewa demokrasia,pale CHADEMA bila ubabe hutawali mbowe anatumia nguvu kubwa kubakia pale hana tofauti na CCM ambacho sio chama cha kidemokrasia bali wanakanuni za kibabe sana , vyama vingi hapa Tanzania vimekufa kwa kutaka suluhu ,nachojua mimi hata Rais Samia Suluhu Hassan ameanza kuona madhara ya kuwaacha watu kama lisu watambe mtaani , Mark my wordsCcm ni kama Putin kule Russia. Anaweza kuamuru wapinzani wake wapigwe risasi wafe, anaweza kuwapa kesi uchwara wapinzani wake, anaweza kutangaza matokeo ya uchaguzi mshindwa akawa mshindi, anaweza kutumia kodi za wananchi kwa faida yake, anaweza kufanya chochote kinyume cha katiba na asiguswe na mtu.
Kama hii ndio misingi imara unayodai, basi ni wazi una "tatizo la akili". Ni kama useme " jeshi kule Egypt, Pakistan na Sudan zina misingi imara ndio maana yako madarakani miaka kwa miaka"
Bado nasisitiza "kama hiyo ndio misingi imara mnayodai " ni wazi mna matatizo ya akili". Maana ni wazi mnatuambia kuwa hata jeshi leo likiamua kuchukua madaraka kwa kuiondoa serikali ya ccm mtaona ni sawa tu kwa kuwa "jeshi lina misingi imara"Kuna nchi nyingi tu hapa duniani bila ubabe hutawali wao walishajuchunguza na kugundua mfano,misri, Pakistan, Venezuela,china Uganda, Kenya, Tanzania, Nigeria na n.k so kila jamii inaelewa demokrasia,pale CHADEMA bila ubabe hutawali mbowe anatumia nguvu kubwa kubakia pale hana tofauti na CCM ambacho sio chama cha kidemokrasia bali wanakanuni za kibabe sana , vyama vingi hapa Tanzania vimekufa kwa kutaka suluhu ,nachojua mimi hata Rais Samia Suluhu Hassan ameanza kuona madhara ya kuwaacha watu kama lisu watambe mtaani , Mark my words
USSR
"Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa ccm ambaye ndiye Rais wa Tanzania" Huu ndiyo uozo na ugonjwa wa Siasa za Mfumo wa Vyama vingi katika nchi yetu ya Tanzania.Ambapo Rais aliyepo madarakani ataamua aina gani ya siasa itumike ili kukinufaisha na kukiimarisha chama chake cha ccm na si Taifa la Tanzania.Ambapo Rais ataamua nani awe kiongozi na nani asiwe kiongozi.Ambapo Rais ataamua ni Chama gani kwa wakati huo kiwe Chama cha Upinzani na si wanachama au raia wa Tanzania kufurahia na kukubali sera za chama chenye nguvu.Huo ni ugonjwa kwa siasa za Tanzania na wanaokipongeza chama tawala hawana akili.Nimeamka nikiwaza hali ya upepo wa siasa za Tanzania. Tanzania yenye vyama vingi vya siasa, vingi vyenye viongozi wanaoangalia maslahi yao wenyewe, wasiojenga vyama kwa nia ya kuliendeleza taifa bali kwa maslahi yao binafsi.
CCM ipo sana bado, haing'olewi leo wala kesho. Vyama vingi ni vizuri sana kwa maendeleo ya taifa lakini upinzani wa Tanzania bado ni kama maigizo
Haka kawimbo kawafikie wote wanaotambua kwamba hadi sasa Tanzania hakuna chama kingine chenye misingi imara, dira, na nguvu kinachoweza kushika nchi.
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
Kazi inaendelea
View attachment 2508301
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI CCM
ZIDUMU FIKRA ZA WAASISI NA WENYEVITI WALIOTANGULIA
ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI SAMIA SULUHU HASAN
Ushindwe na ulegee pumbavu.Kuna nchi nyingi tu hapa duniani bila ubabe hutawali wao walishajuchunguza na kugundua mfano,misri, Pakistan, Venezuela,china Uganda, Kenya, Tanzania, Nigeria na n.k so kila jamii inaelewa demokrasia,pale CHADEMA bila ubabe hutawali mbowe anatumia nguvu kubwa kubakia pale hana tofauti na CCM ambacho sio chama cha kidemokrasia bali wanakanuni za kibabe sana , vyama vingi hapa Tanzania vimekufa kwa kutaka suluhu ,nachojua mimi hata Rais Samia Suluhu Hassan ameanza kuona madhara ya kuwaacha watu kama lisu watambe mtaani , Mark my words
USSR
Wenye misingi imara ni "wanaosema wazuri hawafi" walimuondoa JPM aliyetaka wanyan'ganya chama chao.TUNAELEWA SANA.
HUWEZI WAPA DOLA WATU WASIOJIELEWA, WASIOELEWEKA, WASIO NA MISINGI IMARA KWA WATU WAKE
Upuuzi mwingine huu. Hapo Zanzibar, hao wenye misingi imara wamepindua matokeo mara ngapi!? Unajua!? Endelea kujitekenya.UKWELI MCHUNGU: Kama Upinzani usipochukua hatua na kufanya mabadiliko makubwa ya ndani, kuna uwezekano wa CCM kutawala Kwa miaka mingi sana ijayo
Huenda ni mnufaika wa elimu bure, kwani wanafunzi wengi wanaonufaika wanafeli kwa kutokujua kusoma na kuandika.Mkuu elimu sasa hivi ni bure, kwanini usifanye mpango wa kurudi shule urekebishe hili tatizo la uandishi?
Nyinyi wapuuzi wachache ndio mnaofanya kifo cha Magufuli kiwe furaha kwa wengine. Maana mnafurahia dhuluma alizokuwa anawafanyia binadamu wengine.Wanamchukia maana alijua kuwanyoosha hahaha
Magufuli aliweza sana kurepair kulikokua kunavuja haswa kwa wapiga kura
Alinyooka yeye na sasa hivi sisimizi wanatafuna mifupa yake.Wanamchukia maana alijua kuwanyoosha hahaha
Magufuli aliweza sana kurepair kulikokua kunavuja haswa kwa wapiga kura
Bado nasisitiza "kama hiyo ndio misingi imara mnayodai " ni wazi mna matatizo ya akili". Maana ni wazi mnatuambia kuwa hata jeshi leo likiamua kuchukua madaraka kwa kuiondoa serikali ya ccm mtaona ni sawa tu kwa kuwa "jeshi lina misingi imara"