Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
1. Kikwete
2. Kinana
3. Makamba
4. Rostam Aziz
5. Na Mzee wangu naye nashukuru sasa amerudi amekuwa Mnec.
Hawa ndio wanaweka Rais wanayeona anafaa. Hawa ndiyo wenye mapenzi na hii nchi na wanafahamu CCM kwa ukaribu.
Mlituletea mtu mgeni akawa hasikilizi anachoambiwa anafanya atakalo na hajali wenye chama. Hawaamini wengine. Chama kimerudi kwa wenyewe sasa.
Msitegemee tena yatatokea makosa yale ya kipindi kile. Will never happen. Na hii ndo mpaka msahau kabisa. Aliye na sikio na asikie.
2. Kinana
3. Makamba
4. Rostam Aziz
5. Na Mzee wangu naye nashukuru sasa amerudi amekuwa Mnec.
Hawa ndio wanaweka Rais wanayeona anafaa. Hawa ndiyo wenye mapenzi na hii nchi na wanafahamu CCM kwa ukaribu.
Mlituletea mtu mgeni akawa hasikilizi anachoambiwa anafanya atakalo na hajali wenye chama. Hawaamini wengine. Chama kimerudi kwa wenyewe sasa.
Msitegemee tena yatatokea makosa yale ya kipindi kile. Will never happen. Na hii ndo mpaka msahau kabisa. Aliye na sikio na asikie.