CCM ina wenyewe na wenyewe ndio Sisi. Wale wakuja wote tumewaondoa

CCM ina wenyewe na wenyewe ndio Sisi. Wale wakuja wote tumewaondoa

Nimepata faraja kubwa sana kuona kuwa kumbe tuna watu wanaoamini kuhusu mabadiliko kutokea huko mbeleni.
Mimi sikuingia siasani wala kupambana front, lakini vizazi vyangu vilivyo,vinatia matumaini makubwa sana kuwa huko mbeleni watakuja kubadilisha mambo tu kwenye nchi yetu pendwa.
Mungu akubariki na awabariki wote wenye maono kama haya.
Amen mkuu, hata wana wa Israel walikaa utumwani karne 4 au zaidi, finally Mungu akasikia vilio vyao na kuwafuta machozi, akawapiga pigo zito wale walijiita miungu watu.
Sisi ndio kwanza tuna miaka 61 toka uhuru.
Dec 9 njema mkuu, happy Uhuru Day
 
Hapo Rostam mtoe. Rostam alimtaka Lowasa na akampa urais kupitia UKAWA.

Hao kina JK wana nguvu kidogo ndio maana 2015 JK alimtaka Membe akapita Magu. Hao hata wanaCCM wenzao waliwakataa 2105 chama kikataka kuwafia mkononi.

Ona 2025 historia inavyojirudia tena. Kinana na Kikwete hawaaminiki hata na ccm wenzao. Huyo Rostam wanamuweka karibu sababu wanaijua nguvu yake. Ni mastermind.
Historia ipi? washamba hawatakaa warudii madarakani milele yote
 
1. Kikwete
2. Kinana
3. Makamba
4. Rostam Aziz
5. Na Mzee wangu naye nashukuru sasa amerudi amekuwa Mnec.

Hawa ndio wanaweka Rais wanayeona anafaa. Hawa ndiyo wenye mapenzi na hii nchi na wanafahamu CCM kwa ukaribu.

Mlituletea mtu mgeni akawa hasikilizi anachoambiwa anafanya atakalo na hajali wenye chama. Hawaamini wengine. Chama kimerudi kwa wenyewe sasa.

Msitegemee tena yatatokea makosa yale ya kipindi kile. Will never happen. Na hii ndo mpaka msahau kabisa. Aliye na sikio na asikie.
Magufuli aliwekwa na hao hao watu.
Kipi kipya au ajabu?
CCM ni Chama cha Mambuzi.
 
Back
Top Bottom