CCM ina wenyewe na wenyewe ndio Sisi. Wale wakuja wote tumewaondoa

Amen mkuu, hata wana wa Israel walikaa utumwani karne 4 au zaidi, finally Mungu akasikia vilio vyao na kuwafuta machozi, akawapiga pigo zito wale walijiita miungu watu.
Sisi ndio kwanza tuna miaka 61 toka uhuru.
Dec 9 njema mkuu, happy Uhuru Day
 
Historia ipi? washamba hawatakaa warudii madarakani milele yote
 
Magufuli aliwekwa na hao hao watu.
Kipi kipya au ajabu?
CCM ni Chama cha Mambuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…