Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Tena na tozo juuVyote hivi viwili ni sumu kubwa kwa vijana wa kesho na nguvukazi ya taifa lakini serikali ya ccm imebariki viwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena na tozo juuVyote hivi viwili ni sumu kubwa kwa vijana wa kesho na nguvukazi ya taifa lakini serikali ya ccm imebariki viwepo
Tozo kila sehemu ipo mkuuTena na tozo juu
Hizo changamoto za kiutendaji na tunazifanyia kazi mkuuZilifanyika juhudi kubwa za kupinga pombe kali za viroba sasa zimerudi kwa mgongo wa chupa za plastic.
Madhara ya kamari yanajulikana duniani kote lakini leo hii kamari zipo mpaka vichochoroni
Hilo nalo linahitaji pongezi bwana kikongwe?Tozo kila sehemu ipo mkuu
Tozo inaleta mapato mkuuHilo nalo linahitaji pongezi bwana kikongwe?
Kwani boom si nikodi yangu na mali ya nchi yangu hata rais analipwa mshahara kwa pesa yetu ...kwaizo akili zako inaelekea unadhani serikali ni kampuni binafsi ya wahuni wa sisiem hivyo tuishukuru kwa kutoa boomKijana wewe si umesoma na boom la serikali???
Kweli mkuu unatukosea heshima kutuita sisi wana CCM wahuni.Kwani boom si nikodi yangu na mali ya nchi yangu hata rais analipwa mshahara kwa pesa yetu ...kwaizo akili zako inaelekea unadhani serikali ni kampuni binafsi ya wahuni wa sisiem hivyo tuishukuru kwa kutoa boom