Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka umenena kabisaHuyu hawezi kushitakiwa kwa uchochezi. Ila atokee mtu aseme kwamba UKAWA wanajiandaa kwa uchaguzi wa Rais utakaofanyika miezi michache ijayo, atakiona cha moto!!
Ikiwa ni miezi michache kabla ya kura ya kumchagua mbunge mpya wa Arusha mjini CCM imeanza kujidhatiti vyema katika jimbo hilo ambalo inalitamani kwa muda mrefu.
Wananchi pia wanaonekana wanaunga mkono kutokana na kuchoshwa na Mjelajela Godbless Lema ambaye amekua akitumia Ubunge kupata umaarufu wa kisiasa bila kutatua kero za wananchi.
Tatu nawapongeza wananchi wa Arusha kwa kumuachia msalaba wake na wananchi wanaendelea na shughuli zao na mahakamani wanaonekana ndugu zake tuu!
Mbona ndo imetoka hiyo!
Lema kesha kuwa historia.
kweli hizo pikipiki ni utangulizi,CCM wanatumia udhaifu au mapungufu wa hali harisi.Lakini Arusha sio kazi rahisi,labda watumie bajeti nzima ya serikali.inawezekana sana tu CCM waka engineer lema kufungwa ili jimbo liwe wazi..Very Possible
Ikiwa ni miezi michache kabla ya kura ya kumchagua mbunge mpya wa Arusha mjini CCM imeanza kujidhatiti vyema katika jimbo hilo ambalo inalitamani kwa muda mrefu.
Wananchi pia wanaonekana wanaunga mkono kutokana na kuchoshwa na Mjelajela Godbless Lema ambaye amekua akitumia Ubunge kupata umaarufu wa kisiasa bila kutatua kero za wananchi.
Tatu nawapongeza wananchi wa Arusha kwa kumuachia msalaba wake na wananchi wanaendelea na shughuli zao na mahakamani wanaonekana ndugu zake tuu!
Ikiwa ni miezi michache kabla ya kura ya kumchagua mbunge mpya wa Arusha mjini CCM imeanza kujidhatiti vyema katika jimbo hilo ambalo inalitamani kwa muda mrefu.
Wananchi pia wanaonekana wanaunga mkono kutokana na kuchoshwa na Mjelajela Godbless Lema ambaye amekua akitumia Ubunge kupata umaarufu wa kisiasa bila kutatua kero za wananchi.
Tatu nawapongeza wananchi wa Arusha kwa kumuachia msalaba wake na wananchi wanaendelea na shughuli zao na mahakamani wanaonekana ndugu zake tuu!
Wana mpango wa kumfanyia mbunge fitina na uhuni ili chadema iachie jimboKumbe hampati hichoo kuti mpaka mutie ndani wagombea?
Kweli mmekataliwa
inawezekana sana tu CCM waka engineer lema kufungwa ili jimbo liwe wazi..Very Possible
Ishu sio Lema , hapa tatizo ni CCM.
Hata wa CDM wakimsimamisha SOKWE, atashinda tu dhidi ya mgombea wa CCM
Kama CCM wanadhani hizo pikipiki 200 ndo zinawatia kiburi, ngoja tuone
Mazuzu wa lumumba mnafikiria kwa kutumia masaburi yenu labda uchaguzi wa mwenyekiti wenu uvccm mkoa ndio mfanye uchaguzi mnafuga matapeli mpka gesti mnakopaIkiwa ni miezi michache kabla ya kura ya kumchagua mbunge mpya wa Arusha mjini CCM imeanza kujidhatiti vyema katika jimbo hilo ambalo inalitamani kwa muda mrefu.
Wananchi pia wanaonekana wanaunga mkono kutokana na kuchoshwa na Mjelajela Godbless Lema ambaye amekua akitumia Ubunge kupata umaarufu wa kisiasa bila kutatua kero za wananchi.
Tatu nawapongeza wananchi wa Arusha kwa kumuachia msalaba wake na wananchi wanaendelea na shughuli zao na mahakamani wanaonekana ndugu zake tuu!