Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Ni rushwa.Takukuru ichunguzeHiyo ni Takrima kwa bodaboda, Ni rushwa, ni asante kwa bodaboda au ni nini? Walipewa kwa vigezo gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rushwa.Takukuru ichunguzeHiyo ni Takrima kwa bodaboda, Ni rushwa, ni asante kwa bodaboda au ni nini? Walipewa kwa vigezo gani?
weka muongozo hapa unaokuelekeza kuitisha uchaguzi jimbo la Arusha mjini,Ikiwa ni miezi michache kabla ya kura ya kumchagua mbunge mpya wa Arusha mjini CCM imeanza kujidhatiti vyema katika jimbo hilo ambalo inalitamani kwa muda mrefu.
Wananchi pia wanaonekana wanaunga mkono kutokana na kuchoshwa na Mjelajela Godbless Lema ambaye amekua akitumia Ubunge kupata umaarufu wa kisiasa bila kutatua kero za wananchi.
Tatu nawapongeza wananchi wa Arusha kwa kumuachia msalaba wake na wananchi wanaendelea na shughuli zao na mahakamani wanaonekana ndugu zake tuu!
CCM Arusha hata wamsimamishe Yesu wa Nazareti watashindwa tu!!!
Nitatubu mkuu.Pamoja na yote ndugu hapa umekosea sana kumfananisha Yesu, hata kama humwamini, Lema wala CCM hawawezi kuwa sawa na Yesu. Toba inakuhusu ndugu yangu
Chuga ipi hiyo hii ninayoishi Mimi waliomuacha Lema anahangaika peke yake Jela hata hawaendi kusikiliza Kesi yake imagine miaka ya 2010 watu walivyokufa kwa ajili yake!Huyu mburula kweli anaifahamu chuga.!!!!.....au kwa vile wameleta vibodaboda vyao...usije kuwazia hilo ata siku moja.....
CCM Arusha hata wamsimamishe Yesu wa Nazareti watashindwa tu!!!
Freedom of expressionIkiwa ni miezi michache kabla ya kura ya kumchagua mbunge mpya wa Arusha mjini CCM imeanza kujidhatiti vyema katika jimbo hilo ambalo inalitamani kwa muda mrefu.
Wananchi pia wanaonekana wanaunga mkono kutokana na kuchoshwa na Mjelajela Godbless Lema ambaye amekua akitumia Ubunge kupata umaarufu wa kisiasa bila kutatua kero za wananchi.
Tatu nawapongeza wananchi wa Arusha kwa kumuachia msalaba wake na wananchi wanaendelea na shughuli zao na mahakamani wanaonekana ndugu zake tuu!
Wao watumie kigezo chochote pikipki wamechukua lakini kura kwa C D M zingine ni mbwebwe tu Arusha SIO Katavi nduguHiyo ni Takrima kwa bodaboda, Ni rushwa, ni asante kwa bodaboda au ni nini? Walipewa kwa vigezo gani?
We unaongelea chuga gani hivi wewe mwaka 2015 ulipiga kura kweli ukiwa hapa chuga.?? au unaongelea nn kwanza ulikuwa wapi kipindi hicho na ulipigia kura kituo gani....maana naona uko mbali sana na mkoa huu (geneva) ya tzChuga ipi hiyo hii ninayoishi Mimi waliomuacha Lema anahangaika peke yake Jela hata hawaendi kusikiliza Kesi yake imagine miaka ya 2010 watu walivyokufa kwa ajili yake!
Acha kukufuru,yesu wa nazareti akiamua hata wewe utashindwa kupost jf,punguza dharau kuhusu imani za watu.CCM Arusha hata wamsimamishe Yesu wa Nazareti watashindwa tu!!!
Kwa Jina lake tu Mungu AMESHAMBARIKI God Bless Lema. Twatakiwa tu kusema Ameeeeeeeen!....Mungu mbariki Lema.......