Tetesi: CCM inaorodhesha walimu wazalendo

Mwaka wa uchaguzi mdogo hata magroup ya whatzapp yameshaanza kuundwa huku mitaani kuhakikisha wembe ni ule ule. Ujumbe huu ndio wa kumpa Zitto and etal mnapokuwa mnasubiria tarehe ya tume wenzenu wanakuwa washatoka kambani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
Pohamba nakipenda chama changu,lakini kama tumefika huko no,no,no.Hatuwezi kuanza kubagua wananchi wetu kiasi hicho kwa kutanguliza maslahi binafsi mbele.It is morally wrong.
 
Huku ni kutapatapa tu! Kutoka mwalimu mwenye wito awamu ya 1, 2, 3, 4 ya 5 yametushinda kwa sababu walimu hawana with tena eti walimu wazalendo!
 
Kama ni kweli, tuseeme ubaguzi umepita hodi.
Tatetatara....
 
Hiyo kada unayoiita nyumbu hawafiki laki tano, je nyie ambao sio manyumbu zaidi ya milioni 50 mmefanya nini???



[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anayeeita waalimu ni nyumbu, yeye mwenyewe kaletwa humu JF na hao anaowaita nyumbu. Sasa yeye ni nani? Pmfff zake
 
Simple tu, huwezi kufananisha wazungu na nyumbu wa nchi ya maziwa matatu. Sasa kama walim tu ambao atleast wana uelewa kwa maana wana elimu. Je bibi yangu na bibi yako kule nanjilinji si watapelekeshwa mpaka nyinyiem waamue wenyewe. Mtaji mkubwa wa Ccm ni ujinga wa watanzania zaidi ya 60% ya pop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiki iliyopita wakati Mizengo Pinda ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Iringa akiongea na waalimu "Wazalendo" kule Mafinga niliwaza sana. Kwanza mimi naamini kila mtu bila ya kujali aina ya kazi aifanyayo ana haki ya kuwa mfuasi wa chama chochote cha siasa akipendacho.

Lakini nawaza kama itawezekana pia na CHADEMA kuwa na waalimu wake "wazalendo" na kukaa nao kujadili jinsi ya kuisadia CHADEMA kushinda kwenye uchaguzi wa mwaka 2020?
 
Kutoka walimu wenye wito mpaka walimu wazalendo!!! Heroic failure!
 
Unachosema ni kweli kabisa,Ukitaka kujua hilo nenda Shule ya msingi mapinduzi.Pale ukionekana tu una mawazo tofauti na chama tawala hauna chako.Kuna kitu kinajengwa Iringa hakina afya kwa taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…