Tetesi: CCM inaorodhesha walimu wazalendo

Tetesi: CCM inaorodhesha walimu wazalendo

Umenikumbusha kimbunga cha PERESTROIKA
Enzi hizo kule iliyokuwa USSR ile iliyokuwa chama pekee huko The Communist Party of USSR ilikuwa na nguvu zaidi ya hii ccm mbali sana.

Hata mtoto alikuwa akizaliwa tu anapewa kadi ya chama. Kila raia alikuwa ni lazima awe mwanachama lkn hilo halikuzuia chama hicho kufa sambamba na iliyokuwa Soviet Union.

Haya yanayofanyika hapa leo ni marudio tu ya yale yaliyowahi kufanyika kwingineko na huko mbele yatabaki kwenye simulizi tu za wana historia kama ilivyo huko Russia leo. Hakuna marefu yasiyo na mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wangekuwa wameelewa dhana ya kula kwa mama.... Kulala kwa Baba. Zamani sana ccm ingekuwa ishatoka madarakani.
 
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.

Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.

Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Kwan tatizo lipo wapi kujiunga kwenye kanzi data lakini umbo la ndani ni mpinzani!

Ishi kinafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.

Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.

Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.

please dis is a serious issue, can you come up with some vivid cases.
 
popoma za lumumba ni shida sana yaani wewe binti mumeo atakuwa anapata taabu sana kukuelewa
Akisha pigwa mkuyati anatulia na kueleweka, hivyo Ukiona ujue siku nyingi bilabila
 
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.

Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.

Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.

Mkuu jiorodheshe tu ili tupate inside updates kutoka jikoni!!
 
Miaka miwili ya uenyekiti wa Mzee meko vituko ni lukuki kuliko kipindi jingine chochote tokea 1977.
Nadhani hata mwanzilishi huko aliko wenzake kina Mandela, Samora, Sokoine nk wanamcheka kuwa watoto wako BM na JK walifundwa, ila mjukuu wako Meko ni kituko
 
Kama kuna kada iliyojaa watu-nyumbu nchi hii basi ni Walimu
Juzi kati, memba mmoja wa jf aitwae nzagamba aliandika katika makala yake moja na akaeleza kuwa karibia asilimia 90% ya Wa-Tanzania ni wale ambao elimu yao ni duni (ataniweka sawa) nami nikamuunga mkono kuwa, katika mambo ambayo ccm imefanikiwa tangu kuwepo madarakani ni kuwafanya asilimia kubwa ya watanzania kuwa mbumbumbu.
Endapo kweli uzi uliotelewa ni wa kweli, kuwa mkoani Iringa waalimu wananaandikishwa ili walio na walio wazalendo wafahamike, na waalimu wanakubaliana na hilo, Basi Hii itakuwa ni hatua mojawapo ya kudhirisha yale niliyokuwa support kwa nzagamba na pia juu ya usemi wako huu kuwa kuna nyumbu wengi huko.
Uzalendo ni vitendo na siyo orodha wala kitambulisho.
Na ualimu ni tasnia, lakini inakejeliwa sana na wana siasa wa ccm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata vijana waliokosa mikopo ya kusomea polepole aliwaagiza waende lumumba wakajiorodheshe majina yao. Huenda walisaidiwa kupata mikopo!
Litakuja lingine huko mahosptalinj kuwa ili utibiwe kadi ya bima uionyeshe sambamba na kadi ya ccm ndipo upate matibabu sahihi! Hii ni hatari kubwa na wanaobuni hizi mbinu ni chakubanga na dr wetu mpya kwani naye kawageuka walimu wenzake. Ama kweli adui wa mwalimu ni mwalimu!
 
Ukweli ni kwamba adui wa maendeleo Tanzania ni CCM
 
Back
Top Bottom