Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Timieni akili kufikiri, viungo vingine vina kazi zake… Kuna tofauti kati ya uzalendo na uanachama wa CCM...Kama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
Nji ndiyo nini mkuu au ni kichaga?
Nyie na lichama lenu ni wapumbavu mliotukuka.Kama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
Timieni akili kufikiri, viungo vingine vina kazi zake… Kuna tofauti kati ya uzalendo na uanachama wa CCM...
Hivi mnadhani nje ya CCM hakuna wazalendo?
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
'Rais anaweza kutoka Chama chote lakin Rais Bora lazima atoke ccm'-Mwl Nyerere
Hayo sio Maneno ya Pohamba ya Baba Na Muasisi wa Taifa hili kishakwambia hivyo Mie Nani niongeze walau nukta
Inahusiana nini na nilichokiandika?'Rais anaweza kutoka Chama chote lakin Rais Bora lazima atoke ccm'-Mwl Nyerere
Hayo sio Maneno ya Pohamba ya Baba Na Muasisi wa Taifa hili kishakwambia hivyo Mie Nani niongeze walau nukta
Hapo unajiunga tu. Moyo wako ndiyo utakuwa unajua upo wapi,kwenye kura unapiga upinzani,ukiwa pembeni kampeni kwa wapinzaniHapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Unajiona mjanja kupost huu ujinga. Babako, mamako bila elimu wasingekufikisha hapo ulipo.Kama kuna kada iliyojaa watu-nyumbu nchi hii basi ni Walimu
Sijawahi kuzusha jambo hapa JF!Tumeambiwa Na Mleta uzi lengo Ni kupata favor Labda atakuwa mzushi Mleta uzi
Acha matusi, mbona hata mama yako naye ni mwalimu kwani naye ni nyumbu?Kama kuna kada iliyojaa watu-nyumbu nchi hii basi ni Walimu
CCM imekuwa kama Kokoro, inabeba kila uchafu. Haya pia ni maneno ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.'Rais anaweza kutoka Chama chote lakin Rais Bora lazima atoke ccm'-Mwl Nyerere
Kwan wale huwa na akili!! ukiona wanavyoshangilia viposho vya kusimamia mtihani au uchanguzi ni kama watu wasiojielewakura ni siri, haiwasaidii