nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
Naomba sifa ya mwalimu mzalendoKama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba sifa ya mwalimu mzalendoKama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
waingie tu huko lakini 2020 kura kule.Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Siasa Ni akili Na mbinu
Mngekuwa mnaa Akili mngewaambia Walimu wote wajiandikishe Kwenye hiyo data base ili Kama Ni favor Basi wapate wote Au wakose wote
Sasa nyie mnaleta hayo Malalamiko Hapa tusikitike wote Au tuwasaidie kuwapa mbinu mbadala
Usihamishe magoli tunajadili data base ya Walimu Wazalendo Iringa, toa ushauri wako Kwa WalimuSubirini mtaona matunda ya hizo siasa zenu "za akili". Kama mnadhani mtu anaenunuliwa hubagua mnunuzi sawa; msije tu kuanza kulialia na kuomba mshikamano kutoka kwa watu "wasio na siasa za akili". Unaposema "huyu ni mwenzetu" unakuwa at the same time umesema - indirectly- kuwa "wale si wenzetu". Subirini kidogo tu; hakuna rangi mtakayoacha kuiona.
Usihamishe magoli tunajadili data base ya Walimu Wazalendo Iringa
Kumiliki kadi ya ccm
Wewe alikufundisha nani ,? Hadi leo unaandika maneno hayo. Lets respect because all experts are produced by them. MkuuKama kuna kada iliyojaa watu-nyumbu nchi hii basi ni Walimu
popoma za lumumba ni shida sana yaani wewe binti mumeo atakuwa anapata taabu sana kukuelewaKama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
Hapa ndipo tunapopotelea-ccm hii imeshasema haiwezi kundoshwa kwa kura-bahati mbaya hata wale wanajifanya kuichukia ccm wameshindwa kuuelewa ukweli huu? Hivi mnadhani PhD holder like magufuli hajui umuhimu wa katiba nzuri kwa nchi yetu VS ndege na STR?kama hatutafuta njia nyingine ya kuyachiulia makaburi mbali-kura mtapiga sanawaingie tu huko lakini 2020 kura kule.
wacha wale vya wajinga!!
angekuwa amesoma asingeongea utumbo huoWewe alikufundisha nani ,? Hadi leo unaandika maneno hayo. Lets respect because all experts are produced by them. Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia ndiyo kada inayoongoza kwa kutoa First Ladies, Viti maamlum, nkKama kuna kada iliyojaa watu-nyumbu nchi hii basi ni Walimu
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Mungu wangu mungu wanguHapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Hapa ndipo tunapopotelea-ccm hii imeshasema haiwezi kundoshwa kwa kura-bahati mbaya hata wale wanajifanya kuichukia ccm wameshindwa kuuelewa ukweli huu? Hivi mnadhani PhD holder like magufuli hajui umuhimu wa katiba nzuri kwa nchi yetu VS ndege na STR?kama hatutafuta njia nyingine ya kuyachiulia makaburi mbali-kura mtapiga sana
Mnatumiwa kama matauro ya kike pediKama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
Unaungwaje Kwa database ya chama?Kama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?