Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
watapanda madaraja fasta na mwakani watatsimamia uchaguzi mkuu
Huo ndio utaratibu wa ajira siku hizi? Uzalendo unapimwa kwa kujiandikisha kwenye hilo daftari la ccm?
Na Pia sio dhambi kujiandikisha ndio sababu nimeshauri wote wajiandikishe wapate hizo favor Kuliko kukosa Kwa Kuwa tu hawajajiandikisha
Lengo la kujiandikisha mbona haliko wazi, kama ni jambo lenye nia njema?
Siasa Ni akili Na mbinu
Mngekuwa mnaa Akili mngewaambia Walimu wote wajiandikishe Kwenye hiyo data base ili Kama Ni favor Basi wapate wote Au wakose wote
Sasa nyie mnaleta hayo Malalamiko Hapa tusikitike wote Au tuwasaidie kuwapa mbinu mbadala
Kweli mkuu. Lkn pia naona watumishi wote was umma ni tatizo.Kama kuna kada iliyojaa watu-nyumbu nchi hii basi ni Walimu
CCM ni chama cha kishamba sana !Kama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
tena database ya ccm tu .