Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Chato mmevurugwaKuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika ?
Can it be accounted for?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chato mmevurugwaKuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika ?
Can it be accounted for?
Ccm hakuna msafiKuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika ?
Can it be accounted for?
Majizi ndani ya chama chini ya baraka za chamaWazee wa mahelikopta, jamaa waliitafuna nchi na chama sana hawa. Kinana anaenda na helikopta vijijini kulalamikia serikali kwanini haipeleki hela za madarasa na maji.
Naona chuki zoote zinaelekezwa kwetu sisi wa mkojaniHicho chama chenu sasa kina makundi makubwa mawili, ngoja ifike 2025 tuone kitakachotokea.
Wacha watoane macho maana hawana faida kwa taifaAcheni Hii Mtafukua Mkute Marehemu Hajaoza
Hili Nalo Zito Ila Ni La Ndani Ya Ccm Huko Huko
Wana mshambulia Nape baada ya kuhoji mbinu za Meco alivyopiga mpunga wa kutishaSababu ya kutaka uchunguzi hivi sasa ni nini ?
Kawadanganye MATAGA wenzako huko lumumbaUna hakuka alikopa kiasi hicho? Kabla hujakurupuka be analytical.
Wewe unafikiri mikopo iliyokopwa enxi za Mwinyi, Mkapa na Kikwete iliishalipwa ikaisha? Hujui riba za hiyo mikopo ndio zimechangia kuongeza deni kwa kasi!
Wacha wavuane nguo hao majiziHizo riba za mikopo za marais waliopita ndio ilikuwa sana wakati wa Magufuli tu? Tafuta utetezi mwingine, vinginevyo tulieni ifanyike special auditing ya pesa alizokopa mwendakuzimu tujue zilienda wapi.
Pipa na funiko tu wacha mvuane nguo vichaaaNaunga mkono hoja!
Majizi wakubwaKaribu sana
Malizieni kutekenyana, tunasubiri muanze kucheka.... mtafukunyua siri zote majinga nyie!!Kuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika ?
Can it be accounted for?
Nape kawashika ka lio mnawayawaya mitandaoni...stupid nonsense hatuongelei mambo ya chama tunajadili masuala ya kitaifa jibuni hoja shwaini. Mambo yalichama lenu kajadilini Lumumba mmeibiana toka enzi Leo mnahoji ziara??Kuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika ?
Can it be accounted for?
Kuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika ?
Can it be accounted for?
Kumekucha, kwa sababu amehoji deni la taifa na wewe umemgeuzia kibao, yaleyale ya Mbowe.Kuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika?
Can it be accounted for?
Naona mnararuana kimya kimya tu dadeeeki safi sana, Nape anauliza swali la msingi sanaKuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika?
Can it be accounted for?
Hao wote ni kundi la wezi na majambazi,wanagombea tu mianya ya wizi.Mnatia huruma watoto yatima na wajane, na ile repoti ya mali za Chama ya Dr Bashiru mbona kichaa wenu mwendakuzimu aliikalia tu? Kwa nini hakuitowa hadharani?