TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Hili ndilo tatizo la kuishi kwenye nyumba ya vioo huku ukijifanya baunsa wa kurushia mawe watu wenye hasira kali waliokaribu na sehemu ya kupigia kokoto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka kuna nini huko ndani kwenyu? Mbona mnakuwa wapinzani ndani yenyu wenyewe? Ombwe la upinzani linaonekana wazi sasa.. Kweli mwendazake alituwezaKuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika?
Can it be accounted for?
Mawakili wa serikali ndo maana mnafeli kila siku. Hapa umetetea au umeongeza tatizo?Una hakuka alikopa kiasi hicho? Kabla hujakurupuka be analytical.
Wewe unafikiri mikopo iliyokopwa enxi za Mwinyi, Mkapa na Kikwete iliishalipwa ikaisha? Hujui riba za hiyo mikopo ndio zimechangia kuongeza deni kwa kasi!
Eli ya jambazi kuliko gaidi maana gaidi linapoteza maisha ya hata wasiokuwamo.Tusisahau na ile 1.5T aliyoitafuna mwendazake...
Naona mataga wana mbinu nyingi sana ya kututoa kwenye mstari wa kumjadili jambazi wa Taifa
Nawaombea ndigu zangu Maccm wapigane risasi za moto moto kwenye viunga vya ChimwagaHicho chama chenu sasa kina makundi makubwa mawili, ngoja ifike 2025 tuone kitakachotokea.
Too lateKuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika?
Can it be accounted for?
Kwa kuwa awamu ya sita ndio imebariki wanaCCM wenye mitazamo tofauti kufitiana na kushughulikiana kisa ama walitengwa kwenye teuzi enzi za hayati, haitaishia hapo ni lazima watatoana damu na kufungana kudhihirisha namna walivyokuwa wanachukiana.Kuna muda huwa tunakaa kimya tu.
Hivi ile the so called Ziara ya kuamsha chama ya Nape na Kinana ilikiwa necessary?Kiasi gani cha fedha kilitumika?
Can it be accounted for?