CCM inapaswa kudhibiti ufisadi na wizi wa pesa za umma. Sio kudili na picha za ngono ambazo VPN inapiga kazi

CCM inapaswa kudhibiti ufisadi na wizi wa pesa za umma. Sio kudili na picha za ngono ambazo VPN inapiga kazi

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Mnafahamu kabisa pesa za umma zinaliwa. Sasa mnadili na minor issues ili iweje?

Unafahamu huu wizi kwa nini sasa mnakomaa na vitu kama hivi ambavyo hata kwa VpN mtu anaviaccess?

Huu sio wakati wa kudili na minor issues. Tunataka mdhibiti ufisadi.

👇
20230210_181039.jpg
 
Kweli wajikite kwenye mambo ya msingi
Haya ya ngono wawaachie wazazi na waalimu wawatahadharishe watoto wangali bado wadogo
 
Kwa kweli mimi huwa nashangaa mambo na namna watawala wetu wanavyojikita katika kutudhibidi kifikra ilhali maendeleo hawajishugulishi nayo. Siyo kwamba wajenge uchumi bali waturahisishie miundombinu ili tusikwame badala yake wanajikita na vitu vya hovyo kabisa.
HAPO VPN KWISHA HABARI YA KUFUNGA TOVUTI.
Mtu anatumia server ya Germany ku-access.
😳😂😂😂😂😂
 
Wewe mwenyewe unadili na petty issues kama hizi
 
Bado wanaweza pia kuifunga app ya VPN mkuu
Ndiyo wanaweza!
Govt Can block VPN’s if they really want to but they wont as “Internet” is a open network and many companies/govt sect’s use vpn to connect with server offices and other network which are very private to them to blocking vpn means blocking all these important thing of work , remember that vpn is not just to hide IP vpn is a very useful utilities for network engineers and security experts
 
Ni kweli Serikali ina wajibu wa kulinda maadili ya taifa lake , isipokuwa kwenye hili inatakiwa ishughulikie chanzo sio matokeo, kwa sasa Dunia ni kijiji,
Kudili na matokeo unapromote zaidi
Bahati mbaya mbaya Kuna aina mawaziri wanapenda cheap popularity , agenda zinazompa umaarufu badala agenda zinazotatua matatizo ya wananchi from the roots
 
Bado wanaweza pia kuifunga app ya VPN mkuu
Thubutu, hata kipind cha wasiopenda technology ya utandawaz walijaribu kufungia Twitter lkn wasela tulikua tunainjoi through VPN 😂😂😂. Huez pambana na technology never!!
 
Mnafahamu kabisa pesa za umma zinaliwa. Sasa mnadili na minor issues ili iweje?

Unafahamu huu wizi kwa nini sasa mnakomaa na vitu kama hivi ambavyo hata kwa VpN mtu anaviaccess?

Huu sio wakati wa kudili na minor issues. Tunataka mdhibiti ufisadi.

[emoji116]
View attachment 2512762
SIO Rahisi kudhibiti UFISADI wakati Wao ndio Mafisadi tuliaminishwa kuwa ni Mtetezi wa Wanyonge akatuambia Tanzania imechezewa sana kumbe na YEYE ni Mchezaji Pesa za PLEA BARGAINING kazipiga
 
SIO Rahisi kudhibiti UFISADI wakati Wao ndio Mafisadi tuliaminishwa kuwa ni Mtetezi wa Wanyonge akatuambia Tanzania imechezewa sana kumbe na YEYE ni Mchezaji Pesa za PLEA BARGAINING kazipiga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naipataje van?!! Msaada kwenye tuta la huku nanjilinji karibu na nainokwe.
 
Back
Top Bottom