Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Chadema bwana!!!CCM bwana!!!
Info ndio nini??Hizi info mmezitolea wapi?
Like Genius!! 😎😎😎Katika harakati za kutafuta kura za kanda ya ziwa sio.
Ileile ya kuzizima...Mpango ana shida gani??
Inasemekana kuwa ndani ya CCM kwenye Uchaguzi wa mwaka 2025 chama hicho kinatarajia kumfanya Dotto Biteko kuwa Mgombea mwenza kwa Samia Suluhu Hassan kwenye uchaguzi huo.
CCM bwana!!!
Wewe siyo CCM ila ni mwanachama wa CCM.CCM ya wapi hiyo? Au Chadema mmeshatunga habari yenu alafu mnatuwekea mdomoni maneno CCM
Hata sijui naona nimekurupukaInfo ndio nini??
du unawaza mapinduzi tena,God ForbidKwa msaada wa vyombo vya dola ( polisi, jeshi, usalama) ccm washashinda uchaguzi wa 2025 kwa wizi wa kura wa kishindo. Vinginevyo labda kifo, mvurugano chamani ili bitozo asigombee au mapinduzi yatokee hapa katikati