Tetesi: CCM inataka Dotto Biteko awe Mgombea Mwenza kwa Samia 2025

Tetesi: CCM inataka Dotto Biteko awe Mgombea Mwenza kwa Samia 2025

Maisha ya binadamu yanaendeshwa kwa matukio.

Kabla ya "smartphones" kulikuwa hakuna matumizi makubwa ya "Data". Kwa ivo Sasa zipo Kwa wingi ni muafaka kuwepo wachambuzi wa matumizi ya Data na bei za vifurshi.
Tetesi yako naweza kuifananisha na hii scenario: Rais Samia(CCM)na Lissu(CHADEMA) wanashindana kinyang'anyiro Cha Urais 2025 halafu mtu aseme Mbowe(CHADEMA) atashinda wakati mshindi ni Rais Samia au Lissu.

DPM Biteko kwa sasa anatazamiwa kwa nafasi kubwa zaidi ya hapo, anatazamiwa kwa u-PM, VP au Urais sasa kusema Biteko atakuwa mgombea mwenza wa Rais Samia 2025 ni jambo linaloeweka na linatazamiwa kisiasa.

Naamini umeelewa lakini kama hujaelewa nitatoa ufafanuzi Zaidi kama utahitaji
 
Kutembelea ofisi za umma Kwa kutumia lugha eti kushtukiza [emoji3][emoji3][emoji3] wakati na waandishi wapo yaani Slaa ........ukishtukiza inabidi waandishi wafike ulishaondoka.....ni kushtukiza gani wakati media zinastream live
Kwa wasiyo mjua Slaa ndiyo watamshangilia lkn kwetu sisi tunamjua hana jipya zaidi ya kutembea na [emoji342]
 
Si tulikubaliana kwamba sukuma gang hawatakiwi tunawaondoa kwenye system? Au mziki wa kanda ya ziwa mmeanza kuukubali?
 
Kwani Kanda ya ziwa ndiyo wanapiga kura pekee yao?

We mwendawazimu nini?
Bila sisi,mtu hashindi urais.Uliza kanda yenye population kubwa hapa Tanzania ni ipi?Na huwa tunapiga kura hatudorge hata kidogo.
 
Si tulikubaliana kwamba sukuma gang hawatakiwi tunawaondoa kwenye system? Au mziki wa kanda ya ziwa mmeanza kuukubali?
Tulikubalinangeresha lakini tumeona CHadema wameend hukohuko tukagundua walitundanganya kwenye maridhiano..Tena tumeamua chato inakuwa mkoa rasmi
 
Inasemekana kuwa ndani ya CCM kwenye Uchaguzi wa mwaka 2025 chama hicho kinatarajia kumfanya Dotto Biteko kuwa Mgombea mwenza kwa Samia Suluhu Hassan kwenye uchaguzi huo.

CCM bwana!!!
Yaani Hawa watu hawawazi kuiletea nchi na wananchi maendeleo! Wanawaza madaraka tu Ili kulinda ufisadi wao na kuishi maisha ya kifahari. Hovyo sana.
 
Mama Arudi tu Kizimkazi akale pension yake atupishe
 
Back
Top Bottom