Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,270
- 2,822
Wa - Tanganyika tutakuwa hatuna akili kabisa kama bado tutaendelea kuruhusu raia wa kigeni toka nchi ya kigeni iitwayo Zanzibar kutawala nchini kwetu..!!Inasemekana kuwa ndani ya CCM kwenye Uchaguzi wa mwaka 2025 chama hicho kinatarajia kumfanya Dotto Biteko kuwa Mgombea mwenza kwa Samia Suluhu Hassan kwenye uchaguzi huo.
CCM bwana!!!
Huu ukoloni hapana, haukubaliki asilani..!!