Tetesi: CCM inawaka moto kwa ndani, siku si nyingi yataibuka makubwa

Tetesi: CCM inawaka moto kwa ndani, siku si nyingi yataibuka makubwa

Mtasubiri sana
Hakuna tukio lolote ambalo limekipa ccm changamoto ya kiungozi na utendaji tokea magufuli awe mwenyekiti,sasa nyie team lowassa mmejuaje kama hatoshi?Mafisadi na mawakala wao wanatapa tapa na wamestushwa na ziara ya ghafla UPL.Bado UVCCCM,UWT na WAZAZI kote huko magufuli atafyeka vichwa,ndio katiba ya ccm inamruhusu
Watu wa Lowassa mnatamani sana Magufuli afeli ndani ya ccm,lakini halitatokea,wachawi wote wameondoka na waliobaki wanaendelea kukusanywa ili waoneshwe mlango wa kutokea
Nafikiri maneno yangu unaanza kuyaona November si mbali
 
Binafsi ccm imepoteza mvuto kabisa. Wakina lowassa Ndio viongozi ambao walikuwa wakikipa ccm uhai kwa kipindi ichi ambacho viongozi mashuhuri na wazalendo ndani ya taifa letu wanapatikana ndani ya Vyama vya upinzani tu.ccm hakina kiongozi mzalendo hata hata huyo mmoja aliyeko sasa naona anaigiza tu.
 
Back
Top Bottom