Tetesi: CCM inawaka moto kwa ndani, siku si nyingi yataibuka makubwa

Tetesi: CCM inawaka moto kwa ndani, siku si nyingi yataibuka makubwa

Ccm haiwezi kutoboa chaguzi tatu zijazo. Mnaodhani ccm itaongoza maisha mnajidanganya. Nasubiri mziki wa 2020 kwanza!
 
Ha
Muda sio mrefu madai ya wanaCCM yataibuka na kuwekwa wazi, ikiwa ni kilio na malalamiko juu ya uwezo wa Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa, kwamba anashindwa kukiongoza chama, sababu za msingi hazikuwekwa wazi ni nini hasa kinachomfanya mwenyekiti huyo mpya ambaye hajamaliza hata mwaka mmoja kuonekana hatoshi, lakini wachambuzi wachache wa masuala hayo walidai ni ukiukwaji wa demokrasia, ukiukwaji wa utawala bora na kukiuka sheria na taratibu, kutokusikiliza ushauri na kuendesha nchi kwa hisia, mapenzi, chuki na matakwa binafsi bila kufuata utaratibu.

Kubwa zaidi; ndani ya chama hicho kuna ubadhilifu mkubwa wa fedha ambao mwenyekiti huyo ameshindwa kuushughulikia na kuudhibiti, kuna matumizi mabaya ya fedha ambayo yanazidi kukiondolea chama hicho sifa, kuna vyanzo vya mapato vya chama hicho ambavyo havijulikano, yaani hewa, lakini wadadisi wanavyosema kuwa inawezekana fedha hizo zinatoka serikalini na zinaingizwa kwenye chama hicho tayari kwa kuanza rasmi kazi za chama.. ambapo wachache hao wazalendo walidai kuwa chama hakipaswi kuihujumu mali ya umma kwani hata kama wananchi hawatakichagua tena, ni halali kwani ni kweli kimepoteza sifa, mvuto na nguvu kiliyokuwa nayo awali.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho ambao nilipata kuwadadisi kwa kufanya mazungumzo nao kwa njia ya VoiP, walinihakikishia kuwa chama hicho mpaka sasa hakina Dira, na waliyakumbuka maneno ya marehemu Horace Kolimba.

Malalamiko na manung'uniko hayo ni ya chini kwa chini yaliyodumu kwa muda mrefu sasa, yaliyopelekea maafisa kadhaa kwenye chama hicho kuondolewa nyadhifa zao na kuonywa vikali kutokuzungumza chochote, pia wengine kuamua kuachia nafasi zao bila taarifa rasmi..Lakini mwengi wamedai uwezo wake ni mdogo kushika madaraka makubwa mawili, yaani zile kofia mbili.

Taarifa kamili nitazileta kadiri nitakavyozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chama hicho, chama cha mapinduzi CCM.

Hayakuhusu bibi
 
Acheni unafiki wanalalama si sababu ya kuua demokrasia,wala matumizi ya mali za chama hapana kabisa.CCM hawajawahi kukuza demokrasia ndani ya chama na nje ya chama,hawana historia hiyo tokea kuundwa kwake hadi sasa.Ni kwamba Mh raisi kawanyanganya tonge mdomoni,sasa wanahaha sababu ya kufunga mianya ya ufisadi.CCM walioizoea kula bila kunawa sasa hakuna imefutika,iliopo ni CCM hapa kazi.
 
CCM gani hikihiki ninachokijua MM au KINGINE kipya ???...........
 
Muda sio mrefu madai ya wanaCCM yataibuka na kuwekwa wazi, ikiwa ni kilio na malalamiko juu ya uwezo wa Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa, kwamba anashindwa kukiongoza chama, sababu za msingi hazikuwekwa wazi ni nini hasa kinachomfanya mwenyekiti huyo mpya ambaye hajamaliza hata mwaka mmoja kuonekana hatoshi, lakini wachambuzi wachache wa masuala hayo walidai ni ukiukwaji wa demokrasia, ukiukwaji wa utawala bora na kukiuka sheria na taratibu, kutokusikiliza ushauri na kuendesha nchi kwa hisia, mapenzi, chuki na matakwa binafsi bila kufuata utaratibu.

Kubwa zaidi; ndani ya chama hicho kuna ubadhilifu mkubwa wa fedha ambao mwenyekiti huyo ameshindwa kuushughulikia na kuudhibiti, kuna matumizi mabaya ya fedha ambayo yanazidi kukiondolea chama hicho sifa, kuna vyanzo vya mapato vya chama hicho ambavyo havijulikano, yaani hewa, lakini wadadisi wanavyosema kuwa inawezekana fedha hizo zinatoka serikalini na zinaingizwa kwenye chama hicho tayari kwa kuanza rasmi kazi za chama.. ambapo wachache hao wazalendo walidai kuwa chama hakipaswi kuihujumu mali ya umma kwani hata kama wananchi hawatakichagua tena, ni halali kwani ni kweli kimepoteza sifa, mvuto na nguvu kiliyokuwa nayo awali.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho ambao nilipata kuwadadisi kwa kufanya mazungumzo nao kwa njia ya VoiP, walinihakikishia kuwa chama hicho mpaka sasa hakina Dira, na waliyakumbuka maneno ya marehemu Horace Kolimba.

Malalamiko na manung'uniko hayo ni ya chini kwa chini yaliyodumu kwa muda mrefu sasa, yaliyopelekea maafisa kadhaa kwenye chama hicho kuondolewa nyadhifa zao na kuonywa vikali kutokuzungumza chochote, pia wengine kuamua kuachia nafasi zao bila taarifa rasmi..Lakini mwengi wamedai uwezo wake ni mdogo kushika madaraka makubwa mawili, yaani zile kofia mbili.

Taarifa kamili nitazileta kadiri nitakavyozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chama hicho, chama cha mapinduzi CCM.
Mkuu unamaanisha Mwenyekiti wa CCM au ulitaka kumuongelea Katibu Mkuu wa CHADEMA? Hivi yupo?
 
Propaganda za ufipa utaziweza!! hamna lolote hapo...mmemaliza uchambuzi dhidi ya bombardier..sasa mmehamia ccm, Magufuli sio saizi yenu..hangaikeni na professor, Ngosha ni wa kimataifa.
Nahifadhi jina lako katika kitabu cha kumbukumbu,ntakurudia pindi muda utakapowadia.
 
Siku wakijua ccm ni genge la wezi linalojivika utakatifu kuwakwapua watanzania.......

Ndipo mtaanza kudai haki zenu kote ndani ya ccm na nje hapo ndipo itakuwa mwisho wa ccm.........
Tatizo yanayodai hizo haki unazosema , ni mafisi. Mara nyingi Mafisi huwa ni mabemdera fuata upepo. Yanafuata ulaji unakopeperukia, ni machumia tumbo. Hata kwa umoja wao na zengwe wanalotaka kumfanyia Magu, hawamuwezi, atawalamba panga waishe, na akiwafyeka, chama pendwa kitasalimika, maana ni wepesi kama bua.
Huu ubaya na uhalifu unaofanywa ndani ya vyama vya siasa kuhujumu pesa za waliowengi, ni dondandugu lililotamalaki sana kwenye vyama vyote. Tunataka viongozi madikteta watakaochukua hatua madhubuti kunusuru vyama vya siasa nchini.
Mwisho wa siku tupate chama chenye viongozi waadilifu kuweza kuliletea maendeleo taifa hili.
 
Hivi mtoa mada kweli, mbona sijawahi kukusikia hata siku1 unamzungumzia Mimvi?
Umwamba wako wote wa kujenga hoja ulimalizwa na nini?
Ama nawewe mzee "ulitulizwa"? Tuambie ukweli na msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Haiwezekani!!.Ni miezi miwili tu tangu wanachama wote 100% wamempitisha kuchukua kijiti. Kwa takwimu za 100% ndani ya chama hakuna asiemkubali
 
Siku wakijua ccm ni genge la wezi linalojivika utakatifu kuwakwapua watanzania.......

Ndipo mtaanza kudai haki zenu kote ndani ya ccm na nje hapo ndipo itakuwa mwisho wa ccm.........
CCM kama chama kimeshakufa zamani. Hiki kinachoitwa CCM leo ni chama dola, au chama cha dola. Siku vyombo vya dola na taasisi zake zikitumika kidola na sio kichama, wapiga kura na vyama vya upinzani vitasukuma mlevi tu. Mlevi na mg'ang'anizi wa madaraka aliyejipa kazi ya kuwagawia wadanganyika umasikini na ahadi hewa.
 
Mleta huu UZI bila shaka utakuwa Kada wa UKUTA,na hapo umegonga mwamba ndg CCM ni chama kikuu 60yrs ahead
 
Muda sio mrefu madai ya wanaCCM yataibuka na kuwekwa wazi, ikiwa ni kilio na malalamiko juu ya uwezo wa Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa, kwamba anashindwa kukiongoza chama, sababu za msingi hazikuwekwa wazi ni nini hasa kinachomfanya mwenyekiti huyo mpya ambaye hajamaliza hata mwaka mmoja kuonekana hatoshi, lakini wachambuzi wachache wa masuala hayo walidai ni ukiukwaji wa demokrasia, ukiukwaji wa utawala bora na kukiuka sheria na taratibu, kutokusikiliza ushauri na kuendesha nchi kwa hisia, mapenzi, chuki na matakwa binafsi bila kufuata utaratibu.

Kubwa zaidi; ndani ya chama hicho kuna ubadhilifu mkubwa wa fedha ambao mwenyekiti huyo ameshindwa kuushughulikia na kuudhibiti, kuna matumizi mabaya ya fedha ambayo yanazidi kukiondolea chama hicho sifa, kuna vyanzo vya mapato vya chama hicho ambavyo havijulikano, yaani hewa, lakini wadadisi wanavyosema kuwa inawezekana fedha hizo zinatoka serikalini na zinaingizwa kwenye chama hicho tayari kwa kuanza rasmi kazi za chama.. ambapo wachache hao wazalendo walidai kuwa chama hakipaswi kuihujumu mali ya umma kwani hata kama wananchi hawatakichagua tena, ni halali kwani ni kweli kimepoteza sifa, mvuto na nguvu kiliyokuwa nayo awali.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho ambao nilipata kuwadadisi kwa kufanya mazungumzo nao kwa njia ya VoiP, walinihakikishia kuwa chama hicho mpaka sasa hakina Dira, na waliyakumbuka maneno ya marehemu Horace Kolimba.

Malalamiko na manung'uniko hayo ni ya chini kwa chini yaliyodumu kwa muda mrefu sasa, yaliyopelekea maafisa kadhaa kwenye chama hicho kuondolewa nyadhifa zao na kuonywa vikali kutokuzungumza chochote, pia wengine kuamua kuachia nafasi zao bila taarifa rasmi..Lakini mwengi wamedai uwezo wake ni mdogo kushika madaraka makubwa mawili, yaani zile kofia mbili.

Taarifa kamili nitazileta kadiri nitakavyozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chama hicho, chama cha mapinduzi CCM.
Kichekesho!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi ulikumbuka hata kusoma ulichokiandika?? Ama umepost tu alimuradi umeingiza siku??
Naona leo umetuunganishia na VoIP humo humo ili kuongeza manjonjo kwenye bandiko lako..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bavicha mna mambo...
Anyway it's good lakini angalau umetuongezea siku za kuishi kwa kutupa burudani ya kichekesho chako...

Am watching you... na jinsi unavyokaukiwa na mada za kuandika...
Slowly but sure unaendelea kufifia kama moto wa bua...
I gave you until mid 2017 utakua umeisha kabisa... hutosikika tena maana udaku udaku wote utakua umekuishia...
By 2019 i ll bring you a proposal, hard to swallow but too tempting to let go...
And coming 2020 i will make use of you in my divide and destroy quest...
Unakipaji kizuri cha kutumika, si vibaya nikakutumia...
 
Muda sio mrefu madai ya wanaCCM yataibuka na kuwekwa wazi, ikiwa ni kilio na malalamiko juu ya uwezo wa Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa, kwamba anashindwa kukiongoza chama, sababu za msingi hazikuwekwa wazi ni nini hasa kinachomfanya mwenyekiti huyo mpya ambaye hajamaliza hata mwaka mmoja kuonekana hatoshi, lakini wachambuzi wachache wa masuala hayo walidai ni ukiukwaji wa demokrasia, ukiukwaji wa utawala bora na kukiuka sheria na taratibu, kutokusikiliza ushauri na kuendesha nchi kwa hisia, mapenzi, chuki na matakwa binafsi bila kufuata utaratibu.

Kubwa zaidi; ndani ya chama hicho kuna ubadhilifu mkubwa wa fedha ambao mwenyekiti huyo ameshindwa kuushughulikia na kuudhibiti, kuna matumizi mabaya ya fedha ambayo yanazidi kukiondolea chama hicho sifa, kuna vyanzo vya mapato vya chama hicho ambavyo havijulikano, yaani hewa, lakini wadadisi wanavyosema kuwa inawezekana fedha hizo zinatoka serikalini na zinaingizwa kwenye chama hicho tayari kwa kuanza rasmi kazi za chama.. ambapo wachache hao wazalendo walidai kuwa chama hakipaswi kuihujumu mali ya umma kwani hata kama wananchi hawatakichagua tena, ni halali kwani ni kweli kimepoteza sifa, mvuto na nguvu kiliyokuwa nayo awali.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho ambao nilipata kuwadadisi kwa kufanya mazungumzo nao kwa njia ya VoiP, walinihakikishia kuwa chama hicho mpaka sasa hakina Dira, na waliyakumbuka maneno ya marehemu Horace Kolimba.

Malalamiko na manung'uniko hayo ni ya chini kwa chini yaliyodumu kwa muda mrefu sasa, yaliyopelekea maafisa kadhaa kwenye chama hicho kuondolewa nyadhifa zao na kuonywa vikali kutokuzungumza chochote, pia wengine kuamua kuachia nafasi zao bila taarifa rasmi..Lakini mwengi wamedai uwezo wake ni mdogo kushika madaraka makubwa mawili, yaani zile kofia mbili.

Taarifa kamili nitazileta kadiri nitakavyozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chama hicho, chama cha mapinduzi CCM.
ugomnvi wao mkubwa ni pesa za chama kupewa lipumba badala ya maendeleo kibaya kinachowakera ni hiyo pesa kupewa January moja kwa moja badala ya kupitia kwa viongozi wachuje matumizi vizuri, pesa nyingi inatumika kudhoofisha Ukawa badala ya kuimaarisha chama na Madalali wa siasa ndani ya CCM wanapiga pesa kuliko viongozi wenyewe hata miladi ya kuvuruga vyama mfano CUF kwa sasa wanakula Wajanja wachache wengi wamebakia kuwa mashabiki tu .
 
Back
Top Bottom