Tetesi: CCM inawaka moto kwa ndani, siku si nyingi yataibuka makubwa

Tetesi: CCM inawaka moto kwa ndani, siku si nyingi yataibuka makubwa

Acha majungu, majungu na fitina hazijengi ndiyo maana kuna watu kama wewe wanadiriki kumdanganya rais waziwazi(kama mama wa Airport). Sasa mama kama huyo kishasema uongo juu ya wafanyakazi wenzake mara ngapi ili kulinda/kusudi la kupandishwa cheo!!!!! narrate the truth and give evidence by pinpointing particular incidents so as for the Party Chairman(the President) to take action, Rais huyu hana simile wala hamumunyi maneno.
Kumbe sikihizi ukweli ni majungu kwa ccm
 
Sheikh wangu, ama weye kiboko( ktk heri, na uchangamfu wa barza la JF)...ktk ilmu na burdani ndani ya jamvi la GT, we nafasi yako sawia na brazil kwenye kombe la dunia...
...navutiwa mno na michango yako yote (imejaa ilmu, burdan, na hata uchokozi)...
...I salute u bro!
Sasa huo wako ni uchokozi au uchochezi? maana Brazil sasa katika kombe la dunia imekuwa ni shamba la bibi.Salute accepted my Jr. brother!
 
Muda sio mrefu madai ya wanaCCM yataibuka na kuwekwa wazi, ikiwa ni kilio na malalamiko juu ya uwezo wa Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa, kwamba anashindwa kukiongoza chama, sababu za msingi hazikuwekwa wazi ni nini hasa kinachomfanya mwenyekiti huyo mpya ambaye hajamaliza hata mwaka mmoja kuonekana hatoshi, lakini wachambuzi wachache wa masuala hayo walidai ni ukiukwaji wa demokrasia, ukiukwaji wa utawala bora na kukiuka sheria na taratibu, kutokusikiliza ushauri na kuendesha nchi kwa hisia, mapenzi, chuki na matakwa binafsi bila kufuata utaratibu.

Kubwa zaidi; ndani ya chama hicho kuna ubadhilifu mkubwa wa fedha ambao mwenyekiti huyo ameshindwa kuushughulikia na kuudhibiti, kuna matumizi mabaya ya fedha ambayo yanazidi kukiondolea chama hicho sifa, kuna vyanzo vya mapato vya chama hicho ambavyo havijulikano, yaani hewa, lakini wadadisi wanavyosema kuwa inawezekana fedha hizo zinatoka serikalini na zinaingizwa kwenye chama hicho tayari kwa kuanza rasmi kazi za chama.. ambapo wachache hao wazalendo walidai kuwa chama hakipaswi kuihujumu mali ya umma kwani hata kama wananchi hawatakichagua tena, ni halali kwani ni kweli kimepoteza sifa, mvuto na nguvu kiliyokuwa nayo awali.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho ambao nilipata kuwadadisi kwa kufanya mazungumzo nao kwa njia ya VoiP, walinihakikishia kuwa chama hicho mpaka sasa hakina Dira, na waliyakumbuka maneno ya marehemu Horace Kolimba.

Malalamiko na manung'uniko hayo ni ya chini kwa chini yaliyodumu kwa muda mrefu sasa, yaliyopelekea maafisa kadhaa kwenye chama hicho kuondolewa nyadhifa zao na kuonywa vikali kutokuzungumza chochote, pia wengine kuamua kuachia nafasi zao bila taarifa rasmi..Lakini mwengi wamedai uwezo wake ni mdogo kushika madaraka makubwa mawili, yaani zile kofia mbili.

Taarifa kamili nitazileta kadiri nitakavyozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chama hicho, chama cha mapinduzi CCM.
ANAONGEA KI CHEMACHADEMA, NA YASIYOFIKIRIKA
 
Lumumba hirizi zinabana kuliko mikanda wanayovaa,mwenyekiti hana uwezo wa kuongoza ni kinyonga anabadilika rangi kila akiguswa panapouma
 
Mmh umeshindwa kumshauri mbowe aachane na cuf sasa unaanza kufanya kazi ya shekh yahaya
 
Eee mungu sikiliza vilio vya watanzania kwa kuliangamiza zimwi lililojipachika jina la CCM..
 
Hii nayo ni tetesi tuu kama tetesi zingine.............!!!!!!!!!!!!🙂🙂🙂🙂
 
Muda sio mrefu madai ya wanaCCM yataibuka na kuwekwa wazi, ikiwa ni kilio na malalamiko juu ya uwezo wa Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa, kwamba anashindwa kukiongoza chama, sababu za msingi hazikuwekwa wazi ni nini hasa kinachomfanya mwenyekiti huyo mpya ambaye hajamaliza hata mwaka mmoja kuonekana hatoshi, lakini wachambuzi wachache wa masuala hayo walidai ni ukiukwaji wa demokrasia, ukiukwaji wa utawala bora na kukiuka sheria na taratibu, kutokusikiliza ushauri na kuendesha nchi kwa hisia, mapenzi, chuki na matakwa binafsi bila kufuata utaratibu.

Kubwa zaidi; ndani ya chama hicho kuna ubadhilifu mkubwa wa fedha ambao mwenyekiti huyo ameshindwa kuushughulikia na kuudhibiti, kuna matumizi mabaya ya fedha ambayo yanazidi kukiondolea chama hicho sifa, kuna vyanzo vya mapato vya chama hicho ambavyo havijulikano, yaani hewa, lakini wadadisi wanavyosema kuwa inawezekana fedha hizo zinatoka serikalini na zinaingizwa kwenye chama hicho tayari kwa kuanza rasmi kazi za chama.. ambapo wachache hao wazalendo walidai kuwa chama hakipaswi kuihujumu mali ya umma kwani hata kama wananchi hawatakichagua tena, ni halali kwani ni kweli kimepoteza sifa, mvuto na nguvu kiliyokuwa nayo awali.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho ambao nilipata kuwadadisi kwa kufanya mazungumzo nao kwa njia ya VoiP, walinihakikishia kuwa chama hicho mpaka sasa hakina Dira, na waliyakumbuka maneno ya marehemu Horace Kolimba.

Malalamiko na manung'uniko hayo ni ya chini kwa chini yaliyodumu kwa muda mrefu sasa, yaliyopelekea maafisa kadhaa kwenye chama hicho kuondolewa nyadhifa zao na kuonywa vikali kutokuzungumza chochote, pia wengine kuamua kuachia nafasi zao bila taarifa rasmi..Lakini mwengi wamedai uwezo wake ni mdogo kushika madaraka makubwa mawili, yaani zile kofia mbili.

Taarifa kamili nitazileta kadiri nitakavyozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chama hicho, chama cha mapinduzi CCM.
umetumwa na............................................ ilikulipiza kisasi cha..................................... na kwa taarifa yako wote mmepanga tu................................ na nwisho wenu n............................................................................. poleni sana
 
Muda sio mrefu madai ya wanaCCM yataibuka na kuwekwa wazi, ikiwa ni kilio na malalamiko juu ya uwezo wa Mwenyekiti wa Chama hicho ngazi ya Taifa, kwamba anashindwa kukiongoza chama, sababu za msingi hazikuwekwa wazi ni nini hasa kinachomfanya mwenyekiti huyo mpya ambaye hajamaliza hata mwaka mmoja kuonekana hatoshi, lakini wachambuzi wachache wa masuala hayo walidai ni ukiukwaji wa demokrasia, ukiukwaji wa utawala bora na kukiuka sheria na taratibu, kutokusikiliza ushauri na kuendesha nchi kwa hisia, mapenzi, chuki na matakwa binafsi bila kufuata utaratibu.

Kubwa zaidi; ndani ya chama hicho kuna ubadhilifu mkubwa wa fedha ambao mwenyekiti huyo ameshindwa kuushughulikia na kuudhibiti, kuna matumizi mabaya ya fedha ambayo yanazidi kukiondolea chama hicho sifa, kuna vyanzo vya mapato vya chama hicho ambavyo havijulikano, yaani hewa, lakini wadadisi wanavyosema kuwa inawezekana fedha hizo zinatoka serikalini na zinaingizwa kwenye chama hicho tayari kwa kuanza rasmi kazi za chama.. ambapo wachache hao wazalendo walidai kuwa chama hakipaswi kuihujumu mali ya umma kwani hata kama wananchi hawatakichagua tena, ni halali kwani ni kweli kimepoteza sifa, mvuto na nguvu kiliyokuwa nayo awali.

Baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho ambao nilipata kuwadadisi kwa kufanya mazungumzo nao kwa njia ya VoiP, walinihakikishia kuwa chama hicho mpaka sasa hakina Dira, na waliyakumbuka maneno ya marehemu Horace Kolimba.

Malalamiko na manung'uniko hayo ni ya chini kwa chini yaliyodumu kwa muda mrefu sasa, yaliyopelekea maafisa kadhaa kwenye chama hicho kuondolewa nyadhifa zao na kuonywa vikali kutokuzungumza chochote, pia wengine kuamua kuachia nafasi zao bila taarifa rasmi..Lakini mwengi wamedai uwezo wake ni mdogo kushika madaraka makubwa mawili, yaani zile kofia mbili.

Taarifa kamili nitazileta kadiri nitakavyozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chama hicho, chama cha mapinduzi CCM.
Yani pamoja nakuhusiwa kote bado anaendelea na hujuma? kweli sikio lakufa halisikii dawa sasa mlimpokeaje huko upande wa pili kwa mbwembwe na vifijo na leo mnaulizia habari za upande wapili?
 
Uhuru wanalipwa malimbikizo yao ya muda mrefu. Kazi ya gazeti ni kuifanya kazi ya kuelezea kwa undani malengo ya chama. Ule ni ujanja wa hali ya juu sana, unaanza na morali ya wahusika wa gazeti mengine yanafanywa kitaalam na hao hao ambao malipo yao yamefanyika.
 
RAIS MAGUFURI WANYOOSHE TU..!/
HAKUNA NAMNA INGINE/ WALISHA ZOEA VYA KUNYONGA/ KANDAMIZA MWANI-WANE...
 
Mwenyekiti hawezi kushindwa kufanya kaz katika chama kwani nchi ilikuwa pabaya kutokana na watu kutokuwa waadilifu.lkn kwa sasa Tanzania katika mstari.sihivyo bali kafanya yafuatayo kwa kipindi cha mwaka mmoja.1.kaondoa watumishi hewa.2.kainua pato la taifa.3.kaondoa wanafunzi hewa.4.kanunua ndege2.5.madawati shuleni yapo.6.katoa duty allowance kwa walimu wakuu 7.elimu Bure ngazi ya awali hadi kidato cha nne ipo. 8.kasawazisha huduma za Afya muhimbili hosp. 9.katoa fedha za kusaidia Mahakama.10.kaweka sawa mambo bandari ya dar. We sema tu kama unalako jambo na Ccm lkn kwa jembe letu mim sina shaka mile tu.
 
umetumwa na............................................ ilikulipiza kisasi cha..................................... na kwa taarifa yako wote mmepanga tu................................ na nwisho wenu n............................................................................. poleni sana
***
Ni lazima mnyooke kama ruler hakuna namna./
magufuli ni rais wa kitaifa/ popote pale patanyooka tu./ hata chato,ndani ya ccm au nje au upinzani hakuna jinsi ni "MWENDO WA RULER TU"
 
Moto wa ndani kwandani utadhibitiwa tu, kw vile magari ya washwasha na yale ya fire yatatumika kwa pamoja kunusuru hali hiyo kabla ya kuleta athari. CCM ni wazoefu
Hii ina maana CCM ni ya wachache wa utawala huu na wanajiona wana upeo wa kufikiri kuliko wengi waliopo?
 
Back
Top Bottom